MALALAMIKO DHIDI YA AFISA UTUMISHI WA WILAYA YA HAI JUU YA UPENDELEO KWA WATUMISHI
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Hai dhidi ya afisa utumishi wao. Mwana mama huyu amekuwa na kiburi na ubaguzi mkubwa/UBABE/upokeaji wa rushwa/fitna/kejeli/masimango kwenye kutoa haki kwa baadhi ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya hai. Anatoa upendeleo kwa marafiki zake na watu ambao wanao uwezo wa kumpa rushwa ili aweze kutekeleza au kutekelezewa Suala Lake;(usipotoa chochote Hai utakwama tu)
Kwa leo nitazungumzia idara mbili tu na watumishi 2 tu ;
1; IDARA YA AFYA
MTUMISHI WA IDARA YA AFYA ANYWA SUMU KUJIUA WILAYA YA HAI
Tarehe 1/4/2020 mtumishi mmoja ambaye inasadikika ni nurse hospitali ya wilaya ya Hai alimemeza vidonde kutaka kujiua kwa kile kinachosadikiwa ni manyanyaso na mateso ya kuonewa na kunyanyaswa na afisa utumishi wa wilaya ya Hai kwa kutokumsikiliza matatizo yake. Mtumishi huyu alisikika (jina tunalihifADHI) Alisikika akiwa anapiga yowe kwenye ofisi za afisa utumishi kwa kile anachodai amechoka kuonewa kazini;
Swali; hadi mtumishi anafikia kujiua kweli ketengo cha rasilimali watu hamuoni kuna matatizoooo; na matatizo yanaanzia hapo hapo kwenu?; ni dhahiri pasipo na shaka kuwa idara hii imekuwa inawatesa watumishi kwa vitendo; kuna wengine hawajafikia kunywa sumu au kujiua lakini wanaumia na wanateseka mmno;je nani wa kuwasikiliza kama idara yenyewe ipo hivyo?
2; KITENGO CHA TEHAMA
IDARA YA ITs (TEHAMA) HAI
Katika hali ya kushangaza afisa utumishi wa wilaya ya Hai amemwamisha shosti wake wa karibu (Jina limehifadhiwa) kutoka Moshi Vijijini akiwa kama mwalimu na kumhamishia wilaya ya Hai (uhamisho ulipangwa kwa makusudi); Baada ya kumhamishia huyo shosti wake afisa utumishi huyu alifanya lobbing na kuazimwa idara ya Tehama ya wilaya na mpango uliopo kwa sasa ni wa kumfanyia recategorization shosti huyo;
Kinachoshangaza; ni kuwa katika wilaya ya Hai wapo walimu na watumishi wa kada nyingine waliosomea ITs ambao wana sifa KULIKO SHOSTI HUYO za kufanya kazi hiyo ya tehama ;
swali; ni kwanini ahamishe mtu kutoka moshi vijijini aje afanyiwe recategorization wilaya ya Hai angali hapahapa Hai wapo watumishi wenye sifa hiyo?
Cha kushangaza zaidi kwenye idara hiyohiyo yupo mtumishi ambaye ni mwalimu(Jina limehifadhiwa) ameazimwa na anafanya kazi kama IT na hadi leo hii hajafanyiwa recategorization kwa kuwa hajatoa chochote kwa afisa utumishi huyo; Huu ni uonevu mkuwa sana,wapo wengi wenye matatizo HAI ambao wakisema hawasikilizwi kwa kuwa hawajatoa rushwa ili mambo yao yafanikiwe ( ) Kuna shida wilaya ya HAI;
HATA HIVYO; KWA KUWEKA KUMBUKUMBU SAWA AFISA UTUMISHI WA WILAYA YA HAI ALIHAMISHWA KUTOKA MOSHI VIJIJINI AKALETWA WILAYA YA HAI .HIVYO AMERUDISHA FADHILA KWA SHOSTI WAKE;
Viongozi wapo na hawajui matatizo ya watumishi wake; mkurugenzi yupo ila hajui matatizo ya watumishi wake?
Nitaedelea kutoa wengine toleo lijalo kwa watu wengine na idara nyingine ambazo watumishi wake wananyanyasika na kuteswa kazini ….stay tune THIS WEEK////NITACHAMBUA IDARA MOJA BAADA YA NYINGINE
MZALENDO
HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Hai dhidi ya afisa utumishi wao. Mwana mama huyu amekuwa na kiburi na ubaguzi mkubwa/UBABE/upokeaji wa rushwa/fitna/kejeli/masimango kwenye kutoa haki kwa baadhi ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya hai. Anatoa upendeleo kwa marafiki zake na watu ambao wanao uwezo wa kumpa rushwa ili aweze kutekeleza au kutekelezewa Suala Lake;(usipotoa chochote Hai utakwama tu)
Kwa leo nitazungumzia idara mbili tu na watumishi 2 tu ;
1; IDARA YA AFYA
MTUMISHI WA IDARA YA AFYA ANYWA SUMU KUJIUA WILAYA YA HAI
Tarehe 1/4/2020 mtumishi mmoja ambaye inasadikika ni nurse hospitali ya wilaya ya Hai alimemeza vidonde kutaka kujiua kwa kile kinachosadikiwa ni manyanyaso na mateso ya kuonewa na kunyanyaswa na afisa utumishi wa wilaya ya Hai kwa kutokumsikiliza matatizo yake. Mtumishi huyu alisikika (jina tunalihifADHI) Alisikika akiwa anapiga yowe kwenye ofisi za afisa utumishi kwa kile anachodai amechoka kuonewa kazini;
Swali; hadi mtumishi anafikia kujiua kweli ketengo cha rasilimali watu hamuoni kuna matatizoooo; na matatizo yanaanzia hapo hapo kwenu?; ni dhahiri pasipo na shaka kuwa idara hii imekuwa inawatesa watumishi kwa vitendo; kuna wengine hawajafikia kunywa sumu au kujiua lakini wanaumia na wanateseka mmno;je nani wa kuwasikiliza kama idara yenyewe ipo hivyo?
2; KITENGO CHA TEHAMA
IDARA YA ITs (TEHAMA) HAI
Katika hali ya kushangaza afisa utumishi wa wilaya ya Hai amemwamisha shosti wake wa karibu (Jina limehifadhiwa) kutoka Moshi Vijijini akiwa kama mwalimu na kumhamishia wilaya ya Hai (uhamisho ulipangwa kwa makusudi); Baada ya kumhamishia huyo shosti wake afisa utumishi huyu alifanya lobbing na kuazimwa idara ya Tehama ya wilaya na mpango uliopo kwa sasa ni wa kumfanyia recategorization shosti huyo;
Kinachoshangaza; ni kuwa katika wilaya ya Hai wapo walimu na watumishi wa kada nyingine waliosomea ITs ambao wana sifa KULIKO SHOSTI HUYO za kufanya kazi hiyo ya tehama ;
swali; ni kwanini ahamishe mtu kutoka moshi vijijini aje afanyiwe recategorization wilaya ya Hai angali hapahapa Hai wapo watumishi wenye sifa hiyo?
Cha kushangaza zaidi kwenye idara hiyohiyo yupo mtumishi ambaye ni mwalimu(Jina limehifadhiwa) ameazimwa na anafanya kazi kama IT na hadi leo hii hajafanyiwa recategorization kwa kuwa hajatoa chochote kwa afisa utumishi huyo; Huu ni uonevu mkuwa sana,wapo wengi wenye matatizo HAI ambao wakisema hawasikilizwi kwa kuwa hawajatoa rushwa ili mambo yao yafanikiwe ( ) Kuna shida wilaya ya HAI;
HATA HIVYO; KWA KUWEKA KUMBUKUMBU SAWA AFISA UTUMISHI WA WILAYA YA HAI ALIHAMISHWA KUTOKA MOSHI VIJIJINI AKALETWA WILAYA YA HAI .HIVYO AMERUDISHA FADHILA KWA SHOSTI WAKE;
Viongozi wapo na hawajui matatizo ya watumishi wake; mkurugenzi yupo ila hajui matatizo ya watumishi wake?
Nitaedelea kutoa wengine toleo lijalo kwa watu wengine na idara nyingine ambazo watumishi wake wananyanyasika na kuteswa kazini ….stay tune THIS WEEK////NITACHAMBUA IDARA MOJA BAADA YA NYINGINE
MZALENDO
HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI