Tetesi: Malalamiko dhidi ya afisa utumishi wa wilaya ya Hai juu ya upendeleo kwa watumishi

Tetesi: Malalamiko dhidi ya afisa utumishi wa wilaya ya Hai juu ya upendeleo kwa watumishi

Hai ile wilaya iangalie tu Mimi nimekulia pale yani kama huna mtu Wa kukusika mkono hats nafasi ya kujitolea utakosa

Hai kinacholeta baadhi ya wätumishi kuwa wababe ni UCCM na UCHADEMA maana hao ambao wanaketwa na chama huwa wanajikutaga miungu watu
Huko wilaya ya hai Kuna corona ambapo corona yenyewe ni mtindo wa kuchukua walimu darasani na kuwapeleka Ofisi za Halmashauri na kuwapa kazi kwenye idara bila kupangiwa kazi hizi kutoka Tamisemi mkiwadanganya mtawafanyia recategorization.ushauri kwa waziri mwenye dhamani na Tamisemi, recategorization ifutwe na iwapo Kuna nafasi imetokea au mtumishi amesomea kozi nyingine nafasi hizo zitangwazwe ili zishindanishwe ili kupata mtumishi mwenye sifa na uwezo wa kufanya kazi.
 
Majungu????
Kati ya watu ambao huwa nawaona wajinga ni ninyi ambao mtu akileta tuhuma mnakimbilia kusema majingu nadhan hamjui uendeshwaji wa ofisi hizo za umma kuna wakati unakosa mahali ambapo unaona kilio chako kitasikika na walio juu ya huyo unaye mtuhumu na baada ya hapo ukabaki salama bila bugudha.

Ndio maana wengi wana kimbilia hapa kwa sababu jukwaa hili linatembelewa na watu wakubwa na wa naweza kupata taarifa na kufanyiwa uchunguzi bila na hatua kuchukuliwa lakini bado mtoa taarifa akabaki salama .

wengi wenu huwa hamuelewi kwanini wengi wanakimbilia kutoa malalamiko yao huku badala ya kufuata taratibu zankiofisi inshu huwa ipo kwenye usalama wao na kazi zao no hilo tu.

Maana wakati mwingine unaweza peleka malalamiko yako hiyo tume ya utumishi wilaya kumbe unapo peleka tuhuma wana maslahi na unaye mtuhumu na ukawa umejiongezea tatizo nankusakamwa zaid.

Bora huku taarifa hii anaweza kuona aliye juu zaid ya hao wote angalau hatua zikachukuliwa na bado mtoa tuhuma ukabaki sama na kama ni tuhuma za kweli au uongo basi vyombo husika vitatoa majibu

Swala lako limefika mahali husika na limesha ripotiwa na litafanyiwa kazi nikutoe wasiwasi mtoa mada.
 
mmteule,
Nikutoe ujinga kidogo hakuna tuhuma iliyo thibitishwa kwa sababu ikisha thibitishwa sio tuhuma tena bali ni hatia hivyo sidhan kama kuna haja ya mods kufanya unacho washauri maana kupitia tuhuma za humu humu serikali imeokoa mabilion ya fedha na watu wengi wamepona.

Kumbuka kwamba tuhuma sio hatia hivyo kama hauhusiki uliyetuhumiwa utabaki salama baada ya tuhuma hiyo kufanyiwa uchunguzi na kubainika kweli hauhusiki hivyo hatia yeyote huanza na tuhuma.
 
Mimi sijaona pointi hata moja labda eleza yakwako ulofanyiwa wewe binafsi labda kutakuwa kakitu fikirish! Au IT asiyefanyiwa recategolization ni wewe!
 
polokwane,
Sina hakika umefika darasa la ngapi? maana naona umeshindwa kutambua kuwa comment yangu ilikuwa ni swali...Halafu kuna sababu kweli kumwambia mwenzio mjinga? Huoni kuwa unakosa ustarabu wa mijadala?
 
Sina hakika umefika darasa la ngapi? maana naona umeshindwa kutambua kuwa comment yangu ilikuwa ni swali...Halafu kuna sababu kweli kumwambia mwenzio mjinga? Huoni kuwa unakosa ustarabu wa mijadala?
Wewe jitafakari mwenyewe sina la zaid.
 
Wewe jitafakari mwenyewe sina la zaid.
Ok...nijitafakari mwenyewe na wewe huna la zaidi..sawa..nimejitafakari na pia kukutafakari wewe...nimegundua kuwa wewe ni mropokaji na uelewa wako ni wa kiwango cha chini kabisa...umejaa mihemuko ya kijamii na pengine ya kisiasa...

una uelewa mdogo mno wa jamii...na unatumia mitandao Kama ndiyo kichaka Cha kuonesha chuki na mihemuko dhidi ya wengine...huna lugha ya ustaarabu hata kidogo...una dharau na pia kiburi...umeshindwa kutambua kuwa comment yangu ilikuwa ni swali kwa hiyo wewe ndiye mjinga hasa...
 
Back
Top Bottom