Tunkamanin
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 955
- 866
Kampuni hii ilijijengea jina na heshima kubwa sana kwa watanzania hususan vijijini kwa kusaidia kutoa suluhisho LA umeme mbadala. Kwa sasa hawa jamaa wanatumia jina lao kulaghai watu.
Ni warongo sana watu hawa kwa wateja wao.
Ukiwalipa pesa ili wakufungie mtambo, pasa wanakula na mtambo hipati utapigishwa story tu za customer care za kuwa mvumilivu, Luna changamoto, nk
Kwakweli serikali itupie jicho huku RAIA wanatapeliwa na hawa wahuni.
Ni warongo sana watu hawa kwa wateja wao.
Ukiwalipa pesa ili wakufungie mtambo, pasa wanakula na mtambo hipati utapigishwa story tu za customer care za kuwa mvumilivu, Luna changamoto, nk
Kwakweli serikali itupie jicho huku RAIA wanatapeliwa na hawa wahuni.