Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

mashonga

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
595
Reaction score
970
MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU:
Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge.


=====
---
---

---
---
---
---

=====

WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI:

---
---
---
pia soma >
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi wananchi wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuhangaika, hamia TTCL kila siku nakwambia nyumbani kumenoga, huku mabando mpaka huwezi kuyamaliza. CCM oyeeee, Magufuli oyeee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…