(Malalamiko)Mtandao wa YAS rudisheni pesa yangu.

DCI Comrade One

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
557
Reaction score
718
Happy New Year,

Mods tafadhari musidelete post yangu.

Tarahe 24 Dec 2024 nilikuwa nalipia Netflix Subscription kwa kutumia Mastercard ya MIXX BY YAS lakini kwa bahati mbaya ikawa rejected huku kiwa imetoa ujumbe ufuatao,''Payment declined,please contact your card issuer'' na Uzuri ni kwamba account ilikuwa na Salio la kutosha kuweza kufanya hayo malipo.Kilichotokea ni kwamba hawa jamaa walideduct ile amount 4 times licha ya kuwa mimi nimefanya mara moja na ikawa rejected;angalia picha hii



Sasa Basi;
Niliwapigia Simu customer service kuweza kuwajulisha changamoto yangu nikajibiwa litafanyiwa kazi ndani kwa maana transactions 3 zirudi kwa account yangu ila moja itawalazimu wawasiliane na wahusika ili niweze kupata huduma nikakubaliana nao nami nikakaa kimya.

Leo; nimekuwa pissed off baada ya kupiga Simu Huduma kwa Wateja na akapokea binti ambaye baada ya kumuelezea tatizo langu kwa kina na mazungumzo Yetu yamechukua dakika 49;kwanza alikiri kuwa nikweli miamala ameiona ila natakiwa niwasiliane na mastercard ili waweze kunirudishia hizo fedha zangu,jambo ambalo nilipingana nae kwakuwa me sijaomba Virtual Master card kutoka kwa master card direct isipokuwa ni huduma ambayo yatolewa na YAS na pesa zimekatwa direct kwa account yangu.Mwisho alikata simu.

Tamko Langu:
Najua kuna wafanyakazi wa YAS humu please rudisheni pesa yangu na msiniletee utapeli wenu.
 
- Piga simu tena, atakaye pokea, eleza tatizo kwa ufupi, kisha mwambie unahitaji kuzungumza na superior wao au mkuu wa department.

- Ukweli ni kuwa wengi wa customer care huwa hawana ufahamu wa kina wa haya maswala.
 
WATANZANIA WENGI SISI SIO WAJANJA NA HATUNA AKILI NA UELEWA KUNGEKUA NA MFULULIZO WA MAKESI MAHAKAMANI HALI INGEBADILIKA KWENYE MAKAMPUNI MENGI AU YOTE YENYE KUFANYA UTAPELI WA KIMACHO MACHO AU KUJIZIMA DATA
 
- Piga simu tena, atakaye pokea, eleza tatizo kwa ufupi, kisha mwambie unahitaji kuzungumza na superior wao au mkuu wa department.

- Ukweli ni kuwa wengi wa customer care huwa hawana ufahamu wa kina wa haya maswala.
Asante Kwa ushauri na naufanyia kazi Sasa hivi
 
Mkuu hukupitia uzi wangu nilitahadharisha watu humu jukwaani
 
Sikuupitia mkuu ngoja niusome
 
Hivi hawa Yas virtual card yao ina wallet yake tofauti na hiyo ya Mixx by Yas?
 
Tigo hawapo vizuri katika masuala ya pesa hata ikitokea umekosea bahati mbaya hesabu maumivu
 
Watanzania ni kichwa cha mwendawazimu
Voda nao nimekuwa nikisitisha matumizi bila bando iwe kwa kupiga au sms au data ila kwakua wanajua kabisa mimi ni kichwa cha mwendawazimu nakuta pesa haipo. Hapo si kuwasha data wala na nikipiga naambiwa nimezyia matumizi bila bando. Najiuliza pesa yangu huwa wanakata kwa matumizi gani.
Kama ni namna ya kutafuta pesa basi hata mimi natafuta ila sio kwa kudhulumu watu.
 
Siku nyingine weka pesa ile ile inayohitajika kukatwa kwenye mix by yas yako ukitaka kulipia bidhaa


Hapo ungetakiwa uweke hiyo elf28 tu kwenye account usingepata hiyo hasara
 
Sasa NI mtandao Gani Una nafuuu?
 
Siku nyingine weka pesa ile ile inayohitajika kukatwa kwenye mix by yas yako ukitaka kulipia bidhaa


Hapo ungetakiwa uweke hiyo elf28 tu kwenye account usingepata hiyo hasara
Kumbuka hiyo NI main account yangu ambayo unatumika Kwa matumizi mengine.Cha msingi hawa Mbwa ni Bora wangekuwa na Wallet
 
Kumbuka hiyo NI main account yangu ambayo unatumika Kwa matumizi mengine.Cha msingi hawa Mbwa ni Bora wangekuwa na Wallet
Ni kweli ila kwa mfumo wao ni bora ukitaka kulipia bakisha kiasi husika tu zingine zitoe au tumia lain nyingine mtandao hata ukiyumba hautapata hasara kama ulizopata hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…