DCI Comrade One JF-Expert Member Joined Oct 14, 2012 Posts 557 Reaction score 718 Jan 1, 2025 Thread starter #21 Kazanazo said: Ni kweli ila kwa mfumo wao ni bora ukitaka kulipia bakisha kiasi husika tu zingine zitoe au tumia lain nyingine mtandao hata ukiyumba hautapata hasara kama ulizopata hapo Click to expand... Thanks π
Kazanazo said: Ni kweli ila kwa mfumo wao ni bora ukitaka kulipia bakisha kiasi husika tu zingine zitoe au tumia lain nyingine mtandao hata ukiyumba hautapata hasara kama ulizopata hapo Click to expand... Thanks π
Kazanazo JF-Expert Member Joined Aug 16, 2023 Posts 2,582 Reaction score 4,554 Jan 1, 2025 #22 Kuna mifumo mingi sana ukilipia pesa hairudi mfano Ukinunua salio au kifurushi Ukituma mitandao mingine Nahisi na hiyo huduma pia hivyo ukifanya miamala yako lazima uwe makini kuliko umakini wenyewe
Kuna mifumo mingi sana ukilipia pesa hairudi mfano Ukinunua salio au kifurushi Ukituma mitandao mingine Nahisi na hiyo huduma pia hivyo ukifanya miamala yako lazima uwe makini kuliko umakini wenyewe