Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hata "Rizimoja" nilisoma post yake kule TWITA sikupenda kwa kweli kuhusu sura ya huyu kaka, aliandika vibaya mno!!!!Kitendo kilicho fanywa na watu kumdhihaki huyu mwenzetu siyo cha kiungwana kabsaaa , hizi tabia zinapaswa kukemewa vikali,
Sisi waafrika ndo wakwanza kulalamika tunabaguliwa na raia wa mataifa mengne nje na Africa, Leo hii tunajisahau na tunaanza kufanya dhihaka juu ya mwafrika mwenzetu.
Tunapaswa kuacha Mara moja hizi tabia
Hata "Rizimoja" nilisoma post yake kule TWITA sikupenda kwa kweli kuhusu sura ya huyu kaka, aliandika vibaya mno!!!!
Unamaanisha nini?Ila hapo kwenye picha ameng'aa tofauti na alivyo ukweli ukweli
Hapo kwenye picha anaonekana na ile picha iliyokuwa inasambaa ya kumdhihaki, nyingine ile akiwa na "mzungu".Unamaanisha nini?
Sio Wabongo tuu, almost Nchi zote za Africa wanamdhihakiKumbe Wabongo walivyomsema vibaya kumbe kasikia. Pole sana Ndiatta
Ila hii ya juzi alipowafunga Watanzania bao tamu sana ndio imechochea zaidi, maana Wtz nowdays wako active sana kwa social mediaSio Wabongo tuu, almost Nchi zote za Africa wanamdhihaki
Kumbe Wabongo walivyomsema vibaya kumbe kasikia. Pole sana Ndiatta
Inahuzunisha sana, ki ukweli hakikua kitendo kizuri cha kutumia picha yake kufanyia dhihaka ili hali kila siku tunalalamika kubaguliwa na wenzetu wazungu kumbe hata sisi ni wabaguzi
Mkuu licha ya sisi kwa sisi kubaguana..Kitendo kilicho fanywa na watu kumdhihaki huyu mwenzetu siyo cha kiungwana kabsaaa , hizi tabia zinapaswa kukemewa vikali,
Sisi waafrika ndo wakwanza kulalamika tunabaguliwa na raia wa mataifa mengne nje na Africa, Leo hii tunajisahau na tunaanza kufanya dhihaka juu ya mwafrika mwenzetu.
Tunapaswa kuacha Mara moja hizi tabia