Malalamiko: Wanawake kutokuvaa sidiria kufunika Nyonyo

Waterbender

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
7,573
Reaction score
10,063
Habari za muda huu wadau ningeomba niende moja kwa moja juu ya mada.

Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunwa labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani nyonyo nazo zinachungulia deli sasa inaleta mtafaruko kidogo.

Tuko kwenye uchumi mgumu na mnazidi kuurudisha nyuma. Ningeomba Serikali labda kama inaweza ingilia kati itapendeza, asante.
 

Aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…