Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Sasa inaleta tabia za utomasoSidiria za nini asubuhi asubuhi😂😂😂
Kama mtu ana misumari mwache aringe na misumari yake bwana😂😂
Habari za muda huu wadau ningeomba nuende moja kwa moja juu ya muda.
Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunio labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani nyonyo nazo zinachungulia deli sasa inaleta mtafaruko kidogo tuko kwenye uchumi mgumu na mnazidi kuurudisha nyuma, Ningeomba serikali labda kama inaweza ingilia kati itapendeza asante.
uswazi kuna mengiNo sidiria no chupi,dera linapepea na nyama tu! Dooh kazi kweli kweli
Na kama ni malapa afanye nn?Sidiria za nini asubuhi asubuhi😂😂😂
Kama mtu ana misumari mwache aringe na misumari yake bwana😂😂
Short and clear🤣🤣🤣🤣Malalamiko - manyonyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
unatafuta ban😀Picha iko wapi sasa vinginevyo huu ni uchochezi.
sasa unakuta sampuli zingine mbovu asee🤣🤣🤣🤣🤣
Ila hili jukwaaa!!
Mkuu achana na manyonyo yetu yapunge upepo. Wewe uza tu vitumbua vyako.
Badae mtuiite wanaume wote mbwaa sio😅[emoji23][emoji23][emoji23]tulieni hivo hivo dawa iwaingie
Alivyo mpuuzi hajaweka hata pichaMalalamiko - manyonyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣