DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ndo maana Mimi nawapenda wanawake wasafi wa kislamu Mtu unaachaje ndala zilizopiga usingizi njeTeynaa nimeanza vaa sidiria kwa second born tena my co worker alinambia nivae natega watuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana Mimi nawapenda wanawake wasafi wa kislamu Mtu unaachaje ndala zilizopiga usingizi njeTeynaa nimeanza vaa sidiria kwa second born tena my co worker alinambia nivae natega watuuu
Habari za muda huu wadau ningeomba niende moja kwa moja juu ya mada.
Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunwa labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani nyonyo nazo zinachungulia deli sasa inaleta mtafaruko kidogo.
Tuko kwenye uchumi mgumu na mnazidi kuurudisha nyuma. Ningeomba Serikali labda kama inaweza ingilia kati itapendeza, asante.
nadhani ni ngumu kidogo😁Sio kila ukiona kichaka utake kuchimba dawa
Vichaka vingine vione kama nyumba ya nyoka
huyu nyashi inaeNdo maana Mimi nawapenda wanawake wasafi wa kislamu Mtu unaachaje ndala zilizopiga usingizi njeView attachment 2606296
Sasa sidiria za nini.. kwani zamani zilikuepo? Tena zamani ilikua bila sidiria😅🥹Teynaa nimeanza vaa sidiria kwa second born tena my co worker alinambia nivae natega watuuu