Malalamiko ya Dreva wa Bajaji: Naniino Imeshuka bei sana

Hahahahhahhahahahah Mkuu umenichekesha sana, kwamba nikatabasamu na kukataaa. Hii Dunia raha sana wakati mwingine.

Ni kweli. Nilimuangalia, nikatabasmu nae akatabasamu mara mbili yake. nikakataa kwa kichwa. Yani nikapuuza na kuendelea kuwa busy kwenye simu yangu.
 


Kuna wanawake wapo hivi kweli. Yani kajipendezea zake na ni mzuri wa haja. Ukimuangalia kwa kumthaminisha tu kosa. Hawana soni anakuomba pesa bila aibu. Ukimpa tu, keshakuwa wako huyo.
 
Hahaaa !! kweli ulikataa kumpa # yako mkuu, basi angalao ungempa ya kwangu, haha hahaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…