Malalamiko ya Dreva wa Bajaji: Naniino Imeshuka bei sana

Malalamiko ya Dreva wa Bajaji: Naniino Imeshuka bei sana

Hahahahhahhahahahah Mkuu umenichekesha sana, kwamba nikatabasamu na kukataaa. Hii Dunia raha sana wakati mwingine.

Ni kweli. Nilimuangalia, nikatabasmu nae akatabasamu mara mbili yake. nikakataa kwa kichwa. Yani nikapuuza na kuendelea kuwa busy kwenye simu yangu.
 
Unayosema ni kweli kabisa mkuu, nakumbuka kipindi cha nyuma nilikuwa natumia fcbk. Ile account haina Hata pic yangu moja lakini watoto wadogo wananifata private kuomba pesa na mawasiliano, tena pesa hizo hizo ndogo, ukweli nina vidume 2 sina hamu na mtoto wa kike kabisa kabisa,


Kuna wanawake wapo hivi kweli. Yani kajipendezea zake na ni mzuri wa haja. Ukimuangalia kwa kumthaminisha tu kosa. Hawana soni anakuomba pesa bila aibu. Ukimpa tu, keshakuwa wako huyo.
 
Kila mahali wapo. Mpaka huruma. Jana nilikuwa najitokea town, kwenye daladala wakati nipo busy na simu yangu. Mwanamke mdogo ki muonekane ila mzuri sana, nikasikia ananiambia naomba elfu2. Nikamuangalia sikusema kitu nikatoa elfu kumi nikampa. Baada ya muda akasema naomba number yako. Nikatabasamu na kukataa...
Hahaaa !! kweli ulikataa kumpa # yako mkuu, basi angalao ungempa ya kwangu, haha hahaaa!
 
Back
Top Bottom