TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ulikuwa upepo!? Sidhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo kimya ila tunaumia sana. Na kimya kingi kina kishindo. Subiri kuona madhara ya kimya hiki kwenye hali ya uchumi na uchaguzi mkuu wa 2025 chini ya tume huru ya uchaguzi.Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Watanzania wakiona tozo zinaleta jibu ya kero zao, watavumilia tu na kukaza kamba. Hata katika familia wakati wazazi wanajenga, huwa familia inakubali kula milo miwili hata mmoja kwa siku wakijua baada ya miaka kadhaa watajikomboa.Tupo kimya ila tunaumia sana. Na kimya kingi kina kishindo. Subiri kuona madhara ya kimya hiki kwenye hali ya uchumi na uchaguzi mkuu wa 2025 chini ya tume huru ya uchaguzi.
Kama hujalogwa basi utakuwa ulizaliwa njitiWatanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.
Jadili hoja mkereketwa au mwanaharakati. Huu uwanja upo wazi kwa wanaopenda kutumia akili na maarifa.Kama hujalogwa basi utakuwa ulizaliwa njiti
Kelele huwa zinazushwa na chadema na mataga kutafuta kikiWatanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.
Mkilalamika mnapata msaada huu: "Maendeleo: Mkoa wa Dodoma wapokea gawio la Tsh mil 500 lililotokana na Tozo, kujenga vituo vya afya."Hata tukilalamika hatupati msaada zaidi yake tunapoteza muda na bando tu
Hivi na wewe una akili ?Jadili hoja mkereketwa au mwanaharakati. Huu uwanja upo wazi kwa wanaopenda kutumia akili na maarifa.
Sahihi kabisa! Bila tozo Raisi atawezaje kutembelea nchi wahisani kama vile Congo DRC? Kilangila.Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.
Hadi safari za kitalii za Raisi wetu mpendwa! Kilangila.Sasa hivi kila kitu kinafanywa na tozo za miamala
Na ndio lengo lao kubwa na limetimia, fedha lazima mrudishe kwenye mzunguko halali kwemye benkiHalafu Sasa hivi wanaofungua na kufufua akaunti zao kwenye mabenki wengi sana.
Mimi nimefungua akaunti mbili mpya kwa ajili ya kukwepa miamala ya simu.
Tozo safiiiii.
Tumia pesa upate pesa. Kama hufanyi muamala inadhihirisha kuwa wewe si mtumiaji wa pesa aka bahili. Ziweke tu hizo pesa bila kuzizungusha ukidhani zitazaliana huko kwenye mabox, chungu au uvunguni mwa kitanda.Sikumbuki mara ya mwisho kufanya muhamala ilikuwa lini
Nimeipenda hii. Ila ukiwa na hoja na ukaweza kuzijadili, hii ni uthibitisho wa huyo mtu kuwa ana akili.Hivi na wewe una akili ?
Je pesa inayokusanywa nyingine kazi yake nini? au ni kulipa mishahara na posho?Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.