Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
- Thread starter
-
- #61
Majukumu yao ni tofauti toka asili. Ndio maana nimesema kuwa hawa wataalam wa TARURA na kazi zao zilikuwepo hata wakati ule TANROAD ilishaanzishwa. Na walikuwa wakifanya shughuli zao za ujenzi wa bara bara hata wakati ule. Na kwa wakati huu majukumu yao hayajabadilika ni yale yale, sasa kwanini waunganishwe TANROAD. Kumbuka TANROAD hawataki na wala hawakuwa na majukumu ya wataalam hawa wa TARURA, hivyo ingekuwa ni kuwaongezea mzigo juu ya mzigo.Kwani wangetoka halmashauri wakaenda moja kwa moja TANROAD kungekuwa na tatizo gani?
WE NI MPUUZI SANA🙄🙄🙄😃😃🤣🤣🤣Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.
Nadhani huelewi hata unatetea nini, kwani majukumu hayawezi kuunganishwa na core activity ni barabara?Majukumu yao ni tofauti toka asili. Ndio maana nimesema kuwa hawa wataalam wa TARURA na kazi zao zilikuwepo hata wakati ule TANROAD ilishaanzishwa. Na walikuwa wakifanya shughuli zao za ujenzi wa bara bara hata wakati ule. Na kwa wakati huu majukumu yao hayajabadilika ni yale yale, sasa kwanini waunganishwe TANROAD. Kumbuka TANROAD hawataki na wala hawakuwa na majukumu ya wataalam hawa wa TARURA, hivyo ingekuwa ni kuwaongezea mzigo juu ya mzigo.
Wewe utakuta ni wale waliotolewa bongo zao,kisha wanaendeshwa kwa remote,pumbav.MI-5 tena. Yaani mtu kanisaidia shida yangu, watoto wangu walikuwa wanasomea chini ya miti, kajenga madara. Hivi kibinaadamu hapo unasema nini. Mi wazazi wangu walinifundisha nisema:
Asante sana na ubarikiwe, Shukran, M Mungu aendelee kukujaza hayo maarifa na akili katika kutuongoza, Wewe ni chaguo la M Mungu akuongezee umri mrefu na uendelee kuiongoza TZ.
Hayo ndio baadhi ya maneno niliyofundishwa kuyasema nikifanyiwa mazuri, sio kukashifu.
Hata mimi siwaelewi. Tena si 1000 tu bali kwa maendeleo ya ujenzi wa madarasa na zahanati. Jamani, jamani acheni kukufuruYaani shs. 1,000 ya tozo kwa mwezi kwa majengo yaliyopo mijini mtu unalalamika!
Hata mimi siwapendi, lakini katika hili wala halina chama.Ccm ni chukizo kuu hata mbele za Muumba
Unajua serikali inapotenga maeneo kama hayo, maana yake mkuu mmoja anaelemewa na usimamizi wa shughuli hiyo. Kwa mfano kwa nini utengenezaji wa barabara kuu kama Dar - Moshi, Mtwara - Ruvuma hawapewi TANROAD?Nadhani huelewi hata unatetea nini, kwani majukumu hayawezi kuunganishwa na core activity ni barabara?
Kazi ya TANROAD na TARURA ni kusimamisha na siyo kutengeneza ndiyo maana wanatangaza tenda mkuuUnajua serikali inapotenga maeneo kama hayo, maana yake mkuu mmoja anaelemewa na usimamizi wa shughuli hiyo. Kwa mfano kwa nini utengenezaji wa barabara kuu kama Dar - Moshi, Mtwara - Ruvuma hawapewi TANROAD?
You are rightWatanzania ni watu poa sana, huko nje kila mtu anataka kuishi Tanzania. Si unaona mwenyewe Wa - Ethiopia wanavyokimbilia bongo pamoja na kuwa nchi yao ni kubwa kuliko yetu. Sijawasema akina .................... Jaribu tu kuachia mipaka uone wakenya na majirani watavyofurika TZ.
Hawa watu wataweza kuishi kwenye nchi zilizoendelea kweli ?Yaani shs. 1,000 ya tozo kwa mwezi kwa majengo yaliyopo mijini mtu unalalamika!
Unajitekenya. Kamuulize akwambie anapata Tshs ngapi kwa mwezi ndio utajua hujuiWatanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.