Malalamiko ya Wananchi kuhusu mabadiliko na gharama za vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo mwaka 2021

Natumia halotel huu mwaka wa sita ila nilichokiona hawa majamaa wanatukusanya kisha tukifikia idadi waliyo itagert hapo watakua wanatupeleka wao wanavyotaka

Ni ukweli usio pingika kwamba kwa tanzania hii halotel ni kampuni lilioonesha kutoa huduma za gharama nafuu kwa speek kali...ila now dalili zao sio nzuri

Mfano kwenye zile line zao za chuo, zinavyoanza tulikua tunapata package ya MB600 kwa sh 500 huku mitandao mingine ikitoa 150 kwa vifurushi vya kawaida

Siku zimesogea now kifurushi cha chuo kimekosa soko kutoka MB 600 mpaka MB 250. Na hii ni project yao kuua hizi laini za chuo na ndio maana sasa wamekuja na offa ya halopesa ambayo kila ntumiaji anapata

Yote kwa yote ila pigo kubwa lililo wagusa wengi na kuwaona hawa vibopa hawafai ni baada ya kukata lile bando la mida mibovu. Kutoka unlimited mpaka GB5 sio siri hawa wasenge wametuweza
 
Mm huwa najiunga cha chuo 1500/Tsh unapata dk 160, sms 500 na g.b 1.5 kwa wiki na mb zako zinatumika kihalali kabisa.

Au 500/tsh unapata mb 500.
Isivyo bahati, huku Arusha huu mtandao hauna coverage nzuri hata upatikanaji wake ni mgumu sana.
 
Vodacom kuna muda wanajitoaga ufahamu ila naona Tigo wamepitiliza. Sijawahi kutumia mtandao wa Tigo, Karibu vodacom. Naunga cha 2000 GB 1 wiki naongeza cha 1000 GB 1 siku 3, napata 2GB.


 
halotel wan gb 12 kwa mwezi kwa 10,000 na haichachi.... tafuta line ya Royal
navyo vinakera sana; mara line ya chuo, mara line ya royal , mara line ya kawaida; na bado watakuja na labda line ya malaika! Hizi tofauti zote za nini? hela si ni ile ile tu
 
Hii kitu imenikuta leo!! Yani elfu 3 kwa Gb 1!! TIGO ACHENI WIZI!!
Nalazimika kuuhama huu mtandao!!
 
Hii kitu imenikuta leo!! Yani elfu 3 kwa Gb 1!! TIGO ACHENI WIZI!!
Nalazimika kuuhama huu mtandao!!
Me nimechungulia jana nahitaji kununua kifurushi nakuta gb1 tsh 3000 bado hata kwa tsh 3000 gb 2 make waliondoa muda wa mahongezi na sms
lkn kwa hili la leo najilipua napiga line chini..
 
Me nimechungulia jana nahitaji kununua kifurushi nakuta gb1 tsh 3000 bado hata kwa tsh 3000 gb 2 make waliondoa muda wa mahongezi na sms
lkn kwa hili la leo najilipua napiga line chini..
Wanajiamulia tu kupandisha gharama as if ni mtandao pekee wa simu hapa Tz, mm leo ndio mwisho kutumia Tigo...Gb 1 elfu 3!!, wametuchoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…