Malalamiko ya watumishi shule ya secondary Bulima

Malalamiko ya watumishi shule ya secondary Bulima

Njegele

Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
61
Reaction score
100
Leo ikiwa ni siku ya wafanyakazi duniani, khari ni tofauti kwenye shule ya secondary Bulima.

Shule hii inamilikiwa na umoja wa wazazi Tanzania (CCM) Kwa mwaka huu(2023) shule imejifunga baada ya kukosa wanafunzi.

Hasa tatizo lipo Kwa watumishi ambapo mpka Sasa uongozi wa shule hautaki kuwandikia watumishi barua za ukomo wa ajira ili wakachukue mafao yao NSSF.

Toka mwezi kwanza mpka Sasa viongozi hawataki Kwa kigezo kuwa shule Bado ipo, la sivyo mtumishi aandike barua ya kuacha kazi na kufanya hivyo anakosa haki zake zingine
 
Leo ikiwa ni siku ya wafanyakazi duniani, khari ni tofauti kwenye shule ya secondary Bulima.
Shule hii inamilikiwa na umoja wa wazazi Tanzania (CCM) Kwa mwaka huu(2023) shule imejifunga baada ya kukosa wanafunzi. Hasa tatizo lipo Kwa watumishi ambapo mpka Sasa uongozi wa shule hautaki kuwandikia watumishi barua za ukomo wa ajira ili wakachukue mafao yao NSSF, Toka mwezi kwanza mpka Sasa viongozi hawataki Kwa kigezo kuwa shule Bado ipo, la sivyo mtumishi aandike barua ya kuacha kazi na kufanya hivyo anakosa haki zake zingine
Hii sekondari si ni ya zamani sana, imekumbwa na shida gani tena?
 
Leo ikiwa ni siku ya wafanyakazi duniani, khari ni tofauti kwenye shule ya secondary Bulima.
Shule hii inamilikiwa na umoja wa wazazi Tanzania (CCM) Kwa mwaka huu(2023) shule imejifunga baada ya kukosa wanafunzi. Hasa tatizo lipo Kwa watumishi ambapo mpka Sasa uongozi wa shule hautaki kuwandikia watumishi barua za ukomo wa ajira ili wakachukue mafao yao NSSF, Toka mwezi kwanza mpka Sasa viongozi hawataki Kwa kigezo kuwa shule Bado ipo, la sivyo mtumishi aandike barua ya kuacha kazi na kufanya hivyo anakosa haki zake zingine
Daaa!!hiyo shule nilisoma hapo kidogo,hivi ile nyingine KINANGO, ipo Magu unaingilia pale ilungu au kahangara?bado ipo mkuu?!!
 
Sio simiyu hata katavi huko shule nzima inakuwa nawafunzi 4 tu mpaka walim wanakimbia shule milala shule wazaz ccm mbakwama wapi?
 
Back
Top Bottom