Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Mtoto mdogo anayedaiwa kuwa alikuwa ni mwanafunzi wa darasa la 6 Shule ya msingi Malamba Mawili amejinyonga eneo la Msikitini.
Mwili huo umegunduliwa ukining'inia chini ya mti mbele ya nyumba ya mtu ambaye inadaiwa watu hawakai hapo.
Polisi wamefika eneo la tukio wamechukua mwili wa marehemu, pamoja na mtoto aliyegundua mwili huo.
Picha: Baadhi ya watu wakikata mti muda mfupi baada ya polisi kuchukua mwili na kuondoka
Mwili huo umegunduliwa ukining'inia chini ya mti mbele ya nyumba ya mtu ambaye inadaiwa watu hawakai hapo.
Polisi wamefika eneo la tukio wamechukua mwili wa marehemu, pamoja na mtoto aliyegundua mwili huo.
Picha: Baadhi ya watu wakikata mti muda mfupi baada ya polisi kuchukua mwili na kuondoka