Malamba Mawili, Msikitini: Mtoto ajinyonga hadi kufa, inadaiwa alikuwa anasoma Malamba Mawili Darasa la 6

Malamba Mawili, Msikitini: Mtoto ajinyonga hadi kufa, inadaiwa alikuwa anasoma Malamba Mawili Darasa la 6

Mtoto mdogo anayedaiwa kuwa alikuwa ni mwanafunzi wa darasa la 6 Shule ya msingi Malamba Mawili amejinyonga eneo la Msikitini.

Mwili huo umegunduliwa ukining'inia chini ya mti mbele ya nyumba ya mtu ambaye inadaiwa watu hawakai hapo.

Polisi wamefika eneo la tukio wamechukua mwili wa marehemu, pamoja na mtoto aliyegundua mwili huo.

View attachment 2996476
View attachment 2996480
Picha: Baadhi ya watu wakikata mti muda mfupi baada ya polisi kuchukua mwili na kuondoka​
HUU MWEZI WA.LAÀNA ZA KUJINYONGA AKIKISHE. MKO MBALI NA KAMBA KAMBAAA ZIDIZO NA MANUFAA
 
Hao wamejinyongaaaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-124217_Lite.jpg
    Screenshot_20240522-124217_Lite.jpg
    465.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240522-124145_Lite.jpg
    Screenshot_20240522-124145_Lite.jpg
    417.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240522-123927_Lite.jpg
    Screenshot_20240522-123927_Lite.jpg
    459.9 KB · Views: 2
haliisiinzurii mongoose wa mawazoo mpaka kwa watotooo kha
 
Hawa watoto siku hizi wamekuwa wakituachia simanzi sana sisi wazazi.

Wamepatwa na nini?

Mwingine juzi kanyanganywa simu na kaka yake akajitundika.

Mwingine kapigwa shuleni na Mwl kajimaliza.

Yaani hawawezi kuhandle any kind of stress
stresssianaaaa@work
 
Huo mti utakatwa uishe,,,, magamba ya huo mtiyakitengezwa dawa akapewa mtoto wa mama mkwe mbona atakoma
 
Back
Top Bottom