KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 110
weka utaratibu wa kunywa maji kama nusu lita au lita na zaidi kila siku alfajiri kabla ya kuswaki..
huu ni ushuhuda ndugu na malaria
_kujamba kitu kinachonuka
_mdomu kutoa harufu
_kikohozi
_mafua
vitakuwa history kwako,kila la heri
TIBA YA MALARIA
Ugonjwa wa malaria umekuwa na tiba za asili nyingi ambazo baadhi tumeshaziandika na zimewasaidia wengi, leo tunawaletea tiba nyingine inayomaliza kabisa maradhi hayo.
Bamia
Chukua mbegu za bamia uzikaange, uzisage mpaka ziwe unga.
Chemsha nusu kikombe cha unga huo katika glasi 2 za maji kisha chuja.
Dozi:
Wakubwa kikombe 1 x 3 kwa siku kila baada ya mlo.
Miaka (7-12 ) anywe nusu kikombe x 3 kwa siku kila baada ya mlo. Huruhusiwi kuchemsha na kuweka bali fanya hivyo kila unapotaka kunywa.
Miaka (2-6) robo kikombe x 3 kwa siku.
Kwa watoto wachanga kijiko kikubwa 1 x 3, mpatie baada ya kunyonya au kunywa maziwa na kushiba.
Papai
Chukua mbegu za papai zikaushe kivulini, baada ya hapo zisage ziwe unga laini.
Dozi:
Weka kijiko kimoja cha chai kwenye uji, kama huwezi kutumia uji unaweza kuweka kwenye chai lakini muhimu sana kwenye uji.
Kwa siku tumia mara tatu.
Kwa mtoto miaka 5-10 unaweza kumgawia nusu ya mtu mzima.
Kwa mtoto wa miaka 3-5 unaweza kumgawia ¼ wote x 3 kutwa.
Alizeti
Chemsha kilo moja ya majani ya alizeti katika lita 2½ za maji kwa dakika 15. Dozi:
Kunywa nusu glasi x 3 kwa siku, tumia tiba hii kwa muda wa siku 5.
Miaka (7-12) ¼ glasi x 3 kwa siku. Miaka (2-6) kijiko 1 x 3 kwa siku.
Habari zenu wakuu, nilisumbuliwa na malaria kwa vipindi viwili tofauti january 2014 na mwanzoni mwa mwezi huu, nilienda vituo vya afya tofauti mara hizo mbili. Huko kote vipimo vimeonyesha malaria ipo ila nilipofika kwa daktari sehemu zote mbili naulizwa "mara ya mwisho ulitumia dawa gani" !! alafu naandikiwa dawa hiyo hiyo niliyotumia mwanzo . Swali langu hapo wataalam wa afya , je hakuna dozi ya vidonge au sindano za uhakika kumponya mgonjwa wa malaria kwa mda mrefu bila kumwuliza alitumia dawa gani mara ya mwisho?
Mkuu kuna dawa ya kipare inaitwa MVORO hiyo ni komesha.ni pmHabari zenu wakuu, nilisumbuliwa na malaria kwa vipindi viwili tofauti january 2014 na mwanzoni mwa mwezi huu, nilienda vituo vya afya tofauti mara hizo mbili. Huko kote vipimo vimeonyesha malaria ipo ila nilipofika kwa daktari sehemu zote mbili naulizwa "mara ya mwisho ulitumia dawa gani" !! alafu naandikiwa dawa hiyo hiyo niliyotumia mwanzo . Swali langu hapo wataalam wa afya , je hakuna dozi ya vidonge au sindano za uhakika kumponya mgonjwa wa malaria kwa mda mrefu bila kumwuliza alitumia dawa gani mara ya mwisho?
tumia aback sauda.
mimi imenisaidia sana kuimarisha afya yangu.
mtumie pm MZIZI MKAVU atakupa maelezo mazuri zaidi.
Ugua pole .
Waungwana poleni sana kwa usumbufu ila naomba msaada wenu... nasumbuliwa sana na malaria,, nimeshatuma ACT (combination therapy ya artesunate na amodiaquine) nimetumia pia IV ya quinine na vidonge vyake. IV niliwekewa ya siku tatu na baadae wakanipatia quinine tabs .. hii ni wiki ya pili toka nitoke hospital lakini dalili za malaria zinaanza chipua tena ,, sasa nauliza kwa madaktari na wanaojua nitumie dawa gani nipone malaria hii?? ahsante sana
Tiba ya ugonjwa wa Malaria bonyeza hapa
TIBA YA UGONJWA WA MALARIA ~ Mzizi Mkavu
Huyo Dr kakosea. Dose ni 1000mg artemisinin/400mg Napthoquine sawa na vidonge 8 ambavyo unameza mara moja tu. Jaribu kuongea naye tena na unaweza kumpa hii doc ingawa madaktari wengi hawapendi kukosolewa.
Artemisinin-naphthoquine combination (ARCOâ„¢) therapy for uncomplicated falciparum malaria in adults of Papua New Guinea: A preliminary report on safety and efficacy
nipigie 0714522518 namimi ni muhanga wa tatizo la malaria suguWana JF naomba msaada wenu, ni takribani mwaka sasa sijawahi kupata nafuu kutokana na huu ugonjwa. Je tatizo hili lipo au ni mimi tu? Nimetumia dawa nyingi, za hospital mpaka mitishamba, huwa napata nafuu ya muda mfupi na ugonjwa unarudi tena. Kwa yeyote mwenye kuijua tiba ya uhakika anijulishe.Nipo DSM, asanteni
mkuu nielekeze namna ya kuitumia zanduNILIELEKEZWA HIYI DAWA NA PROF MMOJA WA KIHINDI KTK CHUO NILICHOSOMA UNDERGRADUATE MIAKA YA TISINI,NA NIMESHAWAELEKEZAWATU WENGI SANA! NAKUELEKEZA BUREEEE!TENA DAWA INAUZWA HADI KATIKA PHARMACY ZA WAHINDI!inaitwa ZANDU!ukiinunua niambie nikuelekeze jinsi ya kuitumia ili malaria isirudirudi tena kwako.ni dawa ya asili ya wahindi na inatibu magonjwa mengi sana hata typhoid,amoeba n.k,nk
mkuu nielekeze namna ya kuitumia zandu