Malaria sugu inanitesa! Dawa gani itanipa tiba ya kudumu?

Malaria sugu inanitesa! Dawa gani itanipa tiba ya kudumu?

Hamsinij,

Vitunguu vya kutosha ndio kiasi gani? na kwa muda gani utatumia?
 
Nenda Pale Muhimbili CPL , Pima malaria na watakuambia aina na kiasi cha wadudu wa malaria ulio nao. Baada ya kupata majibu na kama Malaria watakuwa bado wapo Muone Dr. Zul Premj kwa matibabu.

PS.
Usipime malaria kwenye maabara za vichochoroni i.e. wale wanaojalitu pesa zaidi ya afya yako
 
Utwange vifike nusu glass then weka maji ya moto yajae upate juice only twice a day. Siku moja tu
 
Bata Mimi Nina tatizo Hilo la MALARIA SUGU.
Naomba Wenye dawa waendelee kutujuza. Yule aliyetoa dawa za virutubisho tunaomba bei mkuu.
Namshukuru sana aliyetoa dawa ya JUISI YA VITUNGUU SWAUMU. Nitaaza kujaribu hii kwani VITUNGUU SWAUMU vinasaidia kwa magonjwa mbalimbali.
Mimi nimefikia kipindi MALARIA inajirudia kila baada ya wiki tatu.
 
Mkuu Ngafu

Pole sana kwa matatizo yako. Kwa sababu umetumia madawa ya hospitali kwa muda mrefu, ukichanganya na mfumo wa maisha tunaoishi sasa hivi, TIBA ya tatizo lako ipo kwenye VIRUTUBISHO.

Hakika, ukitumia virutubisho vifuatavyo kwa pamoja: SHAKE OFF PHYTO FIBER, SPLINA LIQUID CHLOROPHYLL, RED YEAST COFFEE NA GINSENG COFFEE tatizo lako litakwisha kwa USALAMA kabisa, bila MADHARA (SIDE EFFECTS). Suala ni UAMUZI TU.


1. SHAKE OFF Phyto Fiber

Ni kinywaji kinachotokana na virutubisho asilia (roselle, oats, inulin n.k) kilicho na nguvu ya kusafisha kabisa na kuondoa mgandamano wote wa taka ktk utumbo mpana ikiuacha ukiwa msafi na wenye afya zaidi.

Faida za Shake Off

  • Imetengenezwa kwa virutubisho asilia, haina madhala kwa mtumiaji.
  • Ni njia ya haraka, salama, uhakika na nafuu ya kuondoa mgandamano wa taka tumboni hivyo kukupa kinga ya saratani ya utumbo mpana(colon cancer) na madhala mengine kiafya.(coprostasis)
  • Inakupa matokeo chanya masaa 8 - 12 tu baada ya kutumia.
  • Inapunguza uzito uliozidi na mgandamano wa mafuta kwenye mishipa ya damu (cholesterol)
  • Inaondoa tatizo la kukosa choo (Constipation) na kusaidia ukuaji wa baktelia wazuri tumboni.

2. Splina Liquid Chlorophyll

Imetengenezwa kutokana na mmea wa “Mulberry ” unaotambulika kama chanzo bora cha “Chlorophyll”.

Mlo wa kila siku unatakiwa uwe na Asidi 20% and Alkali 80% ili kuuweka mwili katika afya”. - Kutokana na Prof. Ragnar Berg, Mwanalishe wa Marekani.

Kijiko Kimoja cha Chakula cha Splina Liquid Chlorophyll ni sawa na Kilogram Moja ya Mbogamboga (Mboga za Majani)

Ni vyakula vipi vyenye Asidi/Alkali

Vyakula asid:
Nyama, Vyakula vya baharini, nafaka, sukari, mafuta, na Vyakula vya makopo.

Vyakula vya Alkali:
Mboga za majani (Mbogamboga), Matunda, na Vyakula vya Mizizi (Karoti, Mihogo, Viazi, n.k)

“Splina” Liquid Chlorophyll is RICH with the following nutrients:

Zinc - helps in cell division and cell growth for faster wound healing.

Selenium - Provides protection from the toxic effects of heavy metals and other substances

Vitamin E - Nourishes the skin and keeps the brain active.

Vitamin C - Promotes healthy teeth and gums. Increases alertness and possesses anti-cancer properties.

Vitamin A - Helps in the formation and maintenance of healthy teeth, skeletal and soft tissue, mucous
membrane and skin. Promotes good vision. Strengthens the heart function.

Protein - Helps in growth and development especially for children and adolescents. Maintains the cell,
muscles, tendons and ligaments.

Biotin – essential for the metabolism of proteins and carbohydrates.

Folic Acid – Acts as a co-enzyme with vitamin B12 and Vitamin C in the breakdown and synthesis of
hormones and cholesterol.

Pantothenic – Essential in the synthesis of Acid hormones and cholesterol

Calcium – important for growth and reproduction of human body, maintains also healthy teeth and
bones.

Chromium – Stimulates fatty acid and cholesterol synthesis and an activator of of several enzymes.

Phosphorous – Assists in the contraction of muscles in functioning of kidneys, maintaining of regularity
of heartbeat

Potassium – It is necessary for muscle building and normal body growth.

Magnesium – Helps in Muscle relaxation and contraction

Iron – Essential to the formation of haemoglobin which carries the oxygen in the blood and muscles.

Faida za kutumia “Splina Liquid Chlorophyll”
1. Inasaidia kuhuisha seli na kuongeza kinga.
2. Inaondoa harufu mbaya mwilini na sores.
3. Inaondoa tatizo la mmeng’enyo wa chakula.
4. Inasafisha Ini kwa kuondoa sumu kwenye Ini
5. Inaondoa kwa haraka sumu zilizo ingia mwilini
kupitia dawa za kuua wadudu.
6. Inaweka uwiano sahihi wa tindikali na alkali mwilini.
7. Inaongeza chembe hai nyekundu za damu
8. Inaaondoa mikunyanzi ya uzee na kupunguza kasi ya kuzeeka.
9. Inapunguza uzito kwa haraka.


Nani anatakiwa kutumia “Splina Liquid Chlorophyll”

  • Watu wenye matatizo ya moyo
  • Watu wanao toka jasho sana
  • Watu wenye matatizo ya Ini
  • Watu wenye matatizo ya upumuaji (Pumu,TB n.k)
  • Watu wenye matatizo ya mifupa na viungo
  • Watu wenye upungufu wa damu
  • Watu wenye ngozi iliyo pauka
  • Watu wenye matatizo ya uzito (uzito uliozidi au uzito pungufu)
  • Watumiaji wa pombe na sigara
  • Watu wasiopenda kula mboga za majani
  • Wanaosumbuliwa na tatizo la kukosa choo
  • Wanopata maumivu wakati wa hedhi
  • Wenye kisukari,vidonda vya tumbo na vidonda sugu.
  • Watu wanao ugua mafua mara kwa mara
  • Watu wenye matatizo ya koo (kukereketa n.k)
  • Watu wanaotoa harufu mbaya mwilini na mdomoni
  • Watu walio bize sana na wenye msongo wa mawazo
  • Watu wanaopenda kula vyakula vya harakaharaka (chips, burger, pizza n.k)

Kahawa za Ginseng & Red Yeast


Njia Salama ya Kurejesha hali ya ujana na kuondoa Mafuta mabaya kwenye damu”lehemu”(Bad Cholesterol)

Faida za kahawa ya Ginseng

  1. Inaboresha akili na kumbukumbu.
  2. Inakuweka katika hali ya kuchangamka.
  3. Inaongeza umakini na uwezo wa kuona na kusikia
  4. Inaongeza nguvu mwilini.
  5. Inaondoa mafuta mabaya (bad cholesterol).
  6. Inashusha presha ya juu.
  7. Inaongeza nguvu ya kujamiiana.

Faida za utumiaji wa kahawa ya Red Yeast

  1. Inashusha kiwango cha mafuta mabaya (bad cholesterol) na “triglycerides”.

  1. Inaongeza kiwango cha mafuta mazuri (good cholesterol.)

  1. Inasaidia afya ya mfumo mzima wa damu (cardiovascular system).

  1. Inaupa lishe na virutubisho mzunguko wa damu (circulatory system).

  1. Inaboresha mmeng’enyo wa chakula.

Naamini maelezo haya yatakuwa msaada kwako na jamii yako inayokuzunguka pamoja na Wanajamvi kwa ujumla.

Kwa taarifa zaidi, piga: 0713 366 473 or 0767 277 223.

KARIBUNI. FEEL LOVE NOW!
Mkuu.@MoneyMakers Dawa ulizo zitowa ni za Virutubisho lakini hazitibu Ugonjwa wa Malaria tunataka utoe dawa zenye kutibu Ugonjwa wa Malaria sio virutubisho asante samahani kama nitakukwaza .
 
Bata Mimi Nina tatizo Hilo la MALARIA SUGU.
Naomba Wenye dawa waendelee kutujuza. Yule aliyetoa dawa za virutubisho tunaomba bei mkuu.
Namshukuru sana aliyetoa dawa ya JUISI YA VITUNGUU SWAUMU. Nitaaza kujaribu hii kwani VITUNGUU SWAUMU vinasaidia kwa magonjwa mbalimbali.
Mimi nimefikia kipindi MALARIA inajirudia kila baada ya wiki tatu.
Dawa ya maleria sugu ni kutokunywa dawa. Nilikuwa na tatizo kama lenu wakati naingia Dar es salaam. Nilikuwa naumwa maleria kila baada ya wiki mbili na nilikuwa daima nikipima nakutwa nina maleria. Siku moja nikiwa nimetoka maabara nilipita kwenye duka moja la dawa kununua dawa wakati huo ni hizi SP ndiyo zimetoka kutoka tu. Nikamwelezea yule daktari hali ninayokabiliana nayo. Akaniambia yafuatayo:
Dawa ukishazinywa kwa muda mrefu sana hugeuka kuwa sumu mwilini, na si ajabu ukienda maabara wanachokiona si plasmodia bali ni chembechembe za dawa ambazo zinaingia kwenye red blood cells. Mapendekezo yake yakawa, badala ya kunywa dawa za malaria ninywe maji kwa wingi, na nikiona maumivu yanazidi sana ninywe dawa za kutuliza maumivu, huku nikiendelea kunywa maji kwa wingi. Na huyu jamaa kuonyesha kwamba yupo serious, aligoma kuniuzia dawa. Mwezi wa kwanza wa zoezi hili ulikuwa mgumu sana kwangu, maana nilikuwa naumwa sana, na nilikuwa natamani nipate dawa ya kunitibu, lakini nikaamua kwamba sitakunywa, baada ya mwezi mmoja mwingine ile hali ilianza kutoweka na baadaye kupona kabisa. Na hadi hivi sasa huwa nachukua hadi miezi sita bila kuugua malaria. Hii njia inahitaji ujasiri, maana kuna wakati utazidiwa kabisa kiasi cha kukata tamaa.
 
Malaria is one of the most common diseases found in the tropical and sub-tropical regions. It is basically caused by protozoan parasites of the genus Plasmodium. It is the female Anopheles mosquito that carries the malarial parasites. When it bites a person, the parasites

enter the body, wherein they multiply and spread. Malaria mostly affects people with weak immune system or those living in unhealthy living conditions. The most common symptoms of malaria include high fever - accompanied by chills, headache and shivering. Malaria

may also result in other complications, such as anemia, kidney failure and dysentery. In this article, we have provided some home remedies for treating malaria.


Home Remedy For Malaria


  • In a glass of water, add a tsp of cinnamon powder, a tsp of honey and a dash of pepper powder. Boil this concoction and have it after it cools down a bit. This is beneficial in treating malaria.
  • Dhatura, an Indian herb, is beneficial in treating malaria. Take two and a half freshly sprouted leaves of Dhatura and rub them with jaggery. Convert this mixture into a pill and have it on a daily basis.
  • In 60ml of water, dissolve 3 gram of lime and the juice of 1 lemon. Start consuming this, once in a day, right from the time of the onset of fever.
  • Roast alum over a hot plate and then powder it. Take a tsp of it when you still have fever. It is a useful remedy for curing malaria.
  • Holy basil leaves proves beneficial in treating malaria. You can consume the leaves raw or make a decoction of them and then drink it.
  • If the malaria is in the initial stages, an orange juice and water diet can help treat it.
  • For the fever in malaria, applying a cold pack on the forehead proves to be beneficial.
  • In 250 ml of water, add 15 gm Chirayita herb, along with some cloves or cinnamon. Have 15-30 ml of this solution once in a day, for 15-25 days.
  • In a glass of water, put a small piece of ginger and 2-3 teaspoon raisins. Boil this decoction until it gets reduced to half its quantity. Cool down the decoction and consume.
  • Avoid junk food, packed food as well as spicy and oily food. It would work to your detriment.
 
Dawa ya Malaria sugu jaribu hivi :

Chukua vitunguu swaumu vilivyo menywa kipimo cha kiganja kimoja cha mkono wako, twanga vilainike, halafu kamulia limao moja au mawili. Acha vikae angalao kwa masaa 2 halafu weka maji ya kunywa ya uvuguvugu ndo mazuri. Chuja na unywe.

Fanya hivyo mara 2 kwa siku, halafu angalau Tumia siku 3 au zaidi kwa uhakika zaidi.

Huo mpango pia inatibu pia typhoid sugu.

Pia kunywa maji mengi ya uvuguvugu ili kuondoa sumu Mwilini.

Dawa za asili kama Vitunguu Saumu na Malimao hazina Madhara kwa binadamu No Side Effects. Of course hivi ni vyakula
 
Tumia malimao 120 kwa siku 10 na malaria yako itakuwa historia, mimi sasa sikumbuki niliugua lini malaria.
Dose
Day 1- 4
Day 2-8
Day 3-12
Day 4-16
Day 5-20
Day 6-20
Day 7-16
Day 8-12
Day 9-8
Day 10-4
Kamua limau na unywe kidogo kidogo kwa saa kuminambili kila siku,
Usichanganye na chochote hata sukari.
Si tu tiba bali na kinga ya miezi sita.
Binafsi nimemaliza dose yangu ya januari nasubiri ya Julai.
Tiba hiyo pia inatibu infection kwenye njia ya mkojo na figo pia.
NB. Mimi ni mfamasia kitaaluma.
 
Jamani hivi nyie mnaijua malaria kweli? Sijajua ni vigezo gani mnavyotumia mpaka kusema malaria sugu! Ni kweli kuna aina ya vijidudu vya malaria vyenye uwezo wa kujificha ktk ini kwa muda mrefu,ila vinapokuwa vimejitokeza ktk damu na vikaanza uharibifu,hakuna namna ambayo mtu unaweza kupona bila kutumia dawa ya uhakika,tusidanganyane jamani.Halafu naona siku hizi mtu akiwa hajisikii vizuri basi atasema ana malaria hata kama siyo.Na watu hawa ndio wanaotushawishi tuamini kuwa malaria inaweza ikapona bila kutumia dawa.Malaria inaua jamani,acheni masikhara,ohoo..

Halafu kuna maabara na vidispensari vya mtaani;viiinachezea watu hivi..! Na haka kaimani tulikojijegea kwamba ukipimwa hospitali ukakosekana na ugonjwa fulani basi hiyo hospitali haijui kutibu..sasa hivi vidispensari na vimaabara vyetu vinatumia udhaifu huo kutuibia senti zetu.Maana kila ukienda leo utaambiwa una malaria 3,kesho malaria 2,kesho kutwa malaria 7,wakati hamna lolote! Utasikia "nimepima taifod kwa dr.fulani nikatumia dawa sikupona,nikaenda kwa maabara fulani nikapima tena ikakutwa bado imo" kumbe wizi mtupu! Currently,techniques za uhakika kupima typhoid zipo chache na hivi vizahanati vyetu vya mtaani au hizo maabara haziwezi kuzifanya.

Ushauri: Nenda hospitali,tena sio lazima Muhimbili au Aga Khan,umweleze daktari jinsi unavyoumwa,mweleze kila kitu,atakupatia dawa utatumia utapona.Kumbuka sio kila mara unapojisikia kuumwa lazima iwe malaria.Halafu kwa taarifa yako,kuna ugonjwa unaotokana na fikira,tena huu ndio mbaya zaidi! Utakuta unaonesha dalili zote za malaria unazozifahamu wewe,lakini kiukweli sio malaria!

Kalagabaho.. Akili za kuambiwa...
 
Tumia malimao 120 kwa siku 10 na malaria yako itakuwa historia, mimi sasa sikumbuki niliugua lini malaria.
Dose
Day 1- 4
Day 2-8
Day 3-12
Day 4-16
Day 5-20
Day 6-20
Day 7-16
Day 8-12
Day 9-8
Day 10-4
Kamua limau na unywe kidogo kidogo kwa saa kuminambili kila siku,
Usichanganye na chochote hata sukari.
Si tu tiba bali na kinga ya miezi sita.
Binafsi nimemaliza dose yangu ya januari nasubiri ya Julai.
Tiba hiyo pia inatibu infection kwenye njia ya mkojo na figo pia.
NB. Mimi ni mfamasia kitaaluma.

Ndugu mfamasia,sina tatizo na tiba yako,ila nina shaka na taluma yako! 'Kunywa kidogo kidogo kwa saa kumi na mbili' maana yakea nini?
 
Ndugu mfamasia,sina tatizo na tiba yako,ila nina shaka na taluma yako! 'Kunywa kidogo kidogo kwa saa kumi na mbili' maana yakea nini?

Basi ni vema ukabaki na mashaka yako juu ya taaluma yangu pamoja na ugonjwa wako.
Lakini ukichoka na ugonjwa huo tumia dose hiyo na utapona KWAHERI
 
Wapendwa wanabidi,

Mimi nasumbuliwa na malaria sasa ni zaidi ya miaka kumi, nimetumia dawa karibia zote za hospitali wataalamu mpaka wamenichanganyia dozi lakini malaria inatoka baada ya cku mbili au wiki inarudia tena mpaka sasa ninahisi hizi dawa ninazokunywa ndio zitakazoniondoa mapema na sio malaria. Naombeni msaada wanabodi

Mtwangie huyu 0716 19 55 53,amemsaidia sana mamangu na malaria imebaki historia,ukipona njoo hapa utoe ushuhuda.
 
Mkuu.@MoneyMakers Dawa ulizo zitowa ni za Virutubisho lakini hazitibu Ugonjwa wa Malaria tunataka utoe dawa zenye kutibu Ugonjwa wa Malaria sio virutubisho asante samahani kama nitakukwaza .

Mkuu Mzizi Mkavu

Niwe muwazi tu kwamba UMENIKWAZA kwani hujanitendea HAKI. Hujatumia VIRUTUBISHO VYA EDMARK kutibu Malaria sugu kama nilivyoeleza ukajua mbivu na mbichi. Sasa huo ujasiri wa kuniambia kwamba, "Dawa ulizo zitowa ni za Virutubisho lakini hazitibu Ugonjwa wa Malaria tunataka utoe dawa zenye kutibu Ugonjwa wa Malaria sio virutubisho" umeupata wapi?!!

Siku zote, kama haujafanya utafiti basi huna haki ya kuongea. Mimi niliyechangia uzi nina ushuhuda kutoka kwa watu wangu wa karibu juu ya hicho nilichokisema. Hebu tuache kufanya mambo kwa mazoea. Tiba ya Malaria au Magonjwa mengine kwa ujumla sio DAWA za hospitali au miti shamba kama unavyodhani Mkuu Mzizi Mkavu. Hakika, VIRUTUBISHO VYA EDMARK NI TIBA MBADALA isyokuwa na MADHARA inayotibu na sio KUTULIZA.

MAONI YANGU
Natoa wito kwa Mkuu Ngafu, Mzizi Mkavu na Wanajamvi kwa ujumla kutumia VIRUTUBISHO VYA EDMARK kutibu magonjwa mbalimbali. Nipo tayari kuandikishiana kwamba, kama mtu atatumia virutubisho kwa kufuata maelekezo halafu asipone tatizo lake, basi niwajibike kumlipa gharama zake. Kumbuka, magonjwa mengi tunayoumwa, MALARIA SUGU mojawapo, yanatokana na KINGA YA MWILI KUWA DHOOFU.

KUDHOOFIKA kwa kinga ya mwili kunatokana na sababu kuu mbili.

1. Acidic Body.

Miili yetu imekuwa ni Acidic Body kufuatia kula vyakula vyenye acid kwa wingi kuliko vyakula vya alkaline hivyo kupelekea miili yetu kuwa na acidi nyingi zaidi kuliko alkaline.

Ifahamike kwamba, "Mlo wa kila siku unatakiwa uwe na Asidi 20% na Alkali 80% ili kuuweka mwili katika afya". - Kutokana na Prof. Ragnar Berg, Mwanalishe wa Marekani.


Ni vyakula vipi vyenye Asidi/Alkali


Vyakula asidi:
Nyama, Vyakula vya baharini, nafaka, sukari, mafuta, na Vyakula vya makopo.

Vyakula vya Alkaline:
Mboga za majani (Mbogamboga), Matunda, na Vyakula vya Mizizi (Karoti, Mihogo, Viazi, n.k)

KUMBUKA
Vyakula vya Alkaline ndio vinahusika katika kuimarisha kinga ya mwili.

Kijiko Kimoja cha Chakula cha Splina Liquid Chlorophyll ni sawa na Kilogram Moja ya Mbogamboga (Mboga za Majani)


2. Kutokufanya kazi vizuri kwa Utumbo Mpana

Asilimia 90 ya magonjwa yote husababishwa na kutokufanya kazi vizuri kwa Utumbo Mpana kutokana na msongamano wa uchafu (sumu) mwilini zinazotokana na Vyakula visivokuwa na ubora unaotakiwa, Maji yasiyo salama, Kuvuta hewa zenye sumu, Mifumo ya maisha hatarishi na Matumizi ya mara kwa mara ya Madawa ya Hospitali. Hali hii hupelekea kutokupata haja kubwa vizuri (Tatizo la kukosa choo - Constipation). Sababu kubwa ya matokeo hayo ni kutokufanya kazi vizuri kwa mfumo mzima wa usagaji wa chakula. Pale ambapo chakula huwa hakisagiki vizuri hususani katika utumbo mpana basi tuelewe kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kupata maradhi mengi kama yafuatayo:

  • Saratani ya utumbo mkubwa
  • Vidonda vya tumbo
  • Shinikizo la damu
  • Kisukari
  • Kufunga na kukosa choo mara kwa mara
  • Figo kushindwa kufanya kazi vizuri
  • Matatizo ya moyo
  • Kukua kwa Tezi ya Prostrate (Prostrate gland)
  • Kiharusi
  • Ngiri
  • Magonjwa ya ngozi
  • Unene uliopindukia
  • Lehemu (Cholesterol)
  • Harufu mbaya mdomoni na hata Kikwapa

Sasabasi, hebu tuzungumzie uwezo wa VIRUTUBISHO VYA EDMARK kutibu si tu MALARIA SUGU bali hata magonjwa mengine katika MUKTADHA tajwa hapo juu. Kamwe tusikimbilie kusema VIRUTUBISHO VYA EDMARK havitibu bila kujua chanzo cha Malaria sugu na Magonjwa mengine. Suala sio MBU aenezae MALARIA bali UWEZO/ UIMARA WA KINGA YAKO YA MWILI KATIKA KUKUKINGA DHIDI YA VIMELEA WA MALARIA NA MAGONJWA MENGINE.

KARIBUNI

FEEL LOVE NOW!

Kwa mawasiliano, piga: 0713 366 473 au 0767 277 223

au tembelea Edmark International Official Website

Hebu jioneeni wenyewe jinsi VIRUTUBISHO NA BIDHAA ZINGINE ZA EDMARK zinavyozalishwa katika ubora wa hali ya juu kwa kubofya links zifuatazo hapa chini.

https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=uEKo-PtYnjQ

https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=uEKo-PtYnjQ
 
Jamani hivi nyie mnaijua malaria kweli? Sijajua ni vigezo gani mnavyotumia mpaka kusema malaria sugu! Ni kweli kuna aina ya vijidudu vya malaria vyenye uwezo wa kujificha ktk ini kwa muda mrefu,ila vinapokuwa vimejitokeza ktk damu na vikaanza uharibifu,hakuna namna ambayo mtu unaweza kupona bila kutumia dawa ya uhakika,tusidanganyane jamani.Halafu naona siku hizi mtu akiwa hajisikii vizuri basi atasema ana malaria hata kama siyo.Na watu hawa ndio wanaotushawishi tuamini kuwa malaria inaweza ikapona bila kutumia dawa.Malaria inaua jamani,acheni masikhara,ohoo..

Halafu kuna maabara na vidispensari vya mtaani;viiinachezea watu hivi..! Na haka kaimani tulikojijegea kwamba ukipimwa hospitali ukakosekana na ugonjwa fulani basi hiyo hospitali haijui kutibu..sasa hivi vidispensari na vimaabara vyetu vinatumia udhaifu huo kutuibia senti zetu.Maana kila ukienda leo utaambiwa una malaria 3,kesho malaria 2,kesho kutwa malaria 7,wakati hamna lolote! Utasikia "nimepima taifod kwa dr.fulani nikatumia dawa sikupona,nikaenda kwa maabara fulani nikapima tena ikakutwa bado imo" kumbe wizi mtupu! Currently,techniques za uhakika kupima typhoid zipo chache na hivi vizahanati vyetu vya mtaani au hizo maabara haziwezi kuzifanya.

Ushauri: Nenda hospitali,tena sio lazima Muhimbili au Aga Khan,umweleze daktari jinsi unavyoumwa,mweleze kila kitu,atakupatia dawa utatumia utapona.Kumbuka sio kila mara unapojisikia kuumwa lazima iwe malaria.Halafu kwa taarifa yako,kuna ugonjwa unaotokana na fikira,tena huu ndio mbaya zaidi! Utakuta unaonesha dalili zote za malaria unazozifahamu wewe,lakini kiukweli sio malaria!

Kalagabaho.. Akili za kuambiwa...
Waambie na wakuelewe. Na mimi nasisitiza hapa:Malaria haiponyeshwi na malimao wala vitunguu saumu wala mdalasini au phyto fiber-nenda hospitali
 
Mkuu Mzizi Mkavu

Niwe muwazi tu kwamba UMENIKWAZA kwani hujanitendea HAKI. Hujatumia VIRUTUBISHO VYA EDMARK kutibu Malaria sugu kama nilivyoeleza ukajua mbivu na mbichi. Sasa huo ujasiri wa kuniambia kwamba, "Dawa ulizo zitowa ni za Virutubisho lakini hazitibu Ugonjwa wa Malaria tunataka utoe dawa zenye kutibu Ugonjwa wa Malaria sio virutubisho" umeupata wapi?!!

Siku zote, kama haujafanya utafiti basi huna haki ya kuongea. Mimi niliyechangia uzi nina ushuhuda kutoka kwa watu wangu wa karibu juu ya hicho nilichokisema. Hebu tuache kufanya mambo kwa mazoea. Tiba ya Malaria au Magonjwa mengine kwa ujumla sio DAWA za hospitali au miti shamba kama unavyodhani Mkuu Mzizi Mkavu. Hakika, VIRUTUBISHO VYA EDMARK NI TIBA MBADALA isyokuwa na MADHARA inayotibu na sio KUTULIZA.

MAONI YANGU
Natoa wito kwa Mkuu Ngafu, Mzizi Mkavu na Wanajamvi kwa ujumla kutumia VIRUTUBISHO VYA EDMARK kutibu magonjwa mbalimbali. Nipo tayari kuandikishiana kwamba, kama mtu atatumia virutubisho kwa kufuata maelekezo halafu asipone tatizo lake, basi niwajibike kumlipa gharama zake. Kumbuka, magonjwa mengi tunayoumwa, MALARIA SUGU mojawapo, yanatokana na KINGA YA MWILI KUWA DHOOFU.

KUDHOOFIKA kwa kinga ya mwili kunatokana na sababu kuu mbili.

1. Acidic Body.

Miili yetu imekuwa ni Acidic Body kufuatia kula vyakula vyenye acid kwa wingi kuliko vyakula vya alkaline hivyo kupelekea miili yetu kuwa na acidi nyingi zaidi kuliko alkaline.

Ifahamike kwamba, "Mlo wa kila siku unatakiwa uwe na Asidi 20% na Alkali 80% ili kuuweka mwili katika afya". - Kutokana na Prof. Ragnar Berg, Mwanalishe wa Marekani.


Ni vyakula vipi vyenye Asidi/Alkali


Vyakula asidi:
Nyama, Vyakula vya baharini, nafaka, sukari, mafuta, na Vyakula vya makopo.

Vyakula vya Alkaline:
Mboga za majani (Mbogamboga), Matunda, na Vyakula vya Mizizi (Karoti, Mihogo, Viazi, n.k)

KUMBUKA
Vyakula vya Alkaline ndio vinahusika katika kuimarisha kinga ya mwili.

Kijiko Kimoja cha Chakula cha Splina Liquid Chlorophyll ni sawa na Kilogram Moja ya Mbogamboga (Mboga za Majani)


2. Kutokufanya kazi vizuri kwa Utumbo Mpana

Asilimia 90 ya magonjwa yote husababishwa na kutokufanya kazi vizuri kwa Utumbo Mpana kutokana na msongamano wa uchafu (sumu) mwilini zinazotokana na Vyakula visivokuwa na ubora unaotakiwa, Maji yasiyo salama, Kuvuta hewa zenye sumu, Mifumo ya maisha hatarishi na Matumizi ya mara kwa mara ya Madawa ya Hospitali. Hali hii hupelekea kutokupata haja kubwa vizuri (Tatizo la kukosa choo - Constipation). Sababu kubwa ya matokeo hayo ni kutokufanya kazi vizuri kwa mfumo mzima wa usagaji wa chakula. Pale ambapo chakula huwa hakisagiki vizuri hususani katika utumbo mpana basi tuelewe kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kupata maradhi mengi kama yafuatayo:

  • Saratani ya utumbo mkubwa
  • Vidonda vya tumbo
  • Shinikizo la damu
  • Kisukari
  • Kufunga na kukosa choo mara kwa mara
  • Figo kushindwa kufanya kazi vizuri
  • Matatizo ya moyo
  • Kukua kwa Tezi ya Prostrate (Prostrate gland)
  • Kiharusi
  • Ngiri
  • Magonjwa ya ngozi
  • Unene uliopindukia
  • Lehemu (Cholesterol)
  • Harufu mbaya mdomoni na hata Kikwapa

Sasabasi, hebu tuzungumzie uwezo wa VIRUTUBISHO VYA EDMARK kutibu si tu MALARIA SUGU bali hata magonjwa mengine katika MUKTADHA tajwa hapo juu. Kamwe tusikimbilie kusema VIRUTUBISHO VYA EDMARK havitibu bila kujua chanzo cha Malaria sugu na Magonjwa mengine. Suala sio MBU aenezae MALARIA bali UWEZO/ UIMARA WA KINGA YAKO YA MWILI KATIKA KUKUKINGA DHIDI YA VIMELEA WA MALARIA NA MAGONJWA MENGINE.

KARIBUNI

FEEL LOVE NOW!

Kwa mawasiliano, piga: 0713 366 473 au 0767 277 223

au tembelea Edmark International Official Website

Hebu jioneeni wenyewe jinsi VIRUTUBISHO NA BIDHAA ZINGINE ZA EDMARK zinavyozalishwa katika ubora wa hali ya juu kwa kubofya links zifuatazo hapa chini.

https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=uEKo-PtYnjQ

https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=uEKo-PtYnjQ
Mkuu MoneyMakers Jina lako tu tosha unatengenneza pesa wewe (MoneyMakers) Maana yake ni mtengenezaji wa pesa sasa hilo jina tu peke yake ni biashara kwako.Mim Dawa zako nina mashaka nazo kuweza kutibu Malaria nina kuacha watakao jaribu ni shauri yao wenyewe asante samahani kwa kukwaza Mkuu kuambizana ni ukweli kuko kusikilizana hakuko.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom