wende
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 714
- 66
Nina mtoto wa mwaka 1 na miezi mi2 todate. For the 1st time,aligundulika na malaria 5 akatibiwa na kupata nafuu kabisa. Miezi mi2 baadaye akaanza kuonekana na dalili za malaria. Alipimwa again akakutwa na malaria 3. Akatibiwa,once again baada ya kama miezi mi2 ivi akaugua the same na kukutwa na malaria 2! This time tukashauriwa atumie sindano,akachomwa sindano 5 za quinin. Juzi tena ameonekana na dalili za malaria,alivyopimwa this time amekutwa na malaria 1 na amepewa quinin ya syrup. We dont know what is next!
To you doctors na wote wenye uzoezi na this terrible parasite,naombeni ushauri nifanye nini?
NB:Nahisi hili tatizo limemrudisha nyuma sana ata kutembea kwa sababu at this age bado hawezi to walk on her own,,,,anatembea by being supported na vitu kama vile baiskeli ya tairi 3 ya watoto,tables,walls,makochi n.k.
Kwa heshima,nawasilisha.
To you doctors na wote wenye uzoezi na this terrible parasite,naombeni ushauri nifanye nini?
NB:Nahisi hili tatizo limemrudisha nyuma sana ata kutembea kwa sababu at this age bado hawezi to walk on her own,,,,anatembea by being supported na vitu kama vile baiskeli ya tairi 3 ya watoto,tables,walls,makochi n.k.
Kwa heshima,nawasilisha.