Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
25,874
Reaction score
36,030
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.
 
Hawa viongozi wa dini wanatumia pesa bila kufuata kanuni za uchumi
Wanaoumia ni waamini sishangai vijana kuwa na mwitikio mdogo wa misa
Unaenda kanisani unaambiwa sisi tumetengewa tuchange million miambili ya deni lilipotoka haujui watasema wanajenga mradi wa nini sijui
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.

Mods naombeni hii mada ibaki hapa maana sina pa kulalamikia.
Kiongozi kwani kila kitu ni cha kupeleka mitandaoni? Mengine si maliza katika ngazi zenu? Kuyaleta hapa unaongeza faida kwa kanisa lako? Huo mchango mmelazimishwa?
 
Hawa viongozi wa dini wanatumia pesa bila kufuata kanuni za uchumi
Wanaoumia ni waamini sishangai vijana kuwa na mwitikio mdogo wa misa
Unaenda kanisani unaambiwa sisi tumetengewa tuchange million miambili ya deni lilipotoka haujui watasema wanajenga mradi wa nini sijui
Mkuu nyie mmeambiwa mchnagie milioni 200?
 
Kule arusha kulikuwa na mradi wa kujenga hotel wakakopa bilioni kadhaa, na pia walikuwa na bank yao ya dayosisi.

Wachaga wakafanya yao mzigo ukabaki kwa waumini sijui kama wamemaliza kulipa
Hotel iliisha, sema returns hazikua nzuri, na upigaji+ janja janja
 
Kiongozi kwani kila kitu ni cha kupeleka mitandaoni? Mengine si maliza katika ngazi zenu? Kuyaleta hapa unaongeza faida kwa kanisa lako? Huo mchango mmelazimishwa?
Wewe kama ni kiongozi pale Dayosisi jua mnatuumiza sana waumini wenu.

Yani mtu unakuja kabisa tunadaiwa bilion 1.6 na husemi linatokana na nini alafu unatupiga pin tusihoji unataka tukaongelee wapi?
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.

Mods naombeni hii mada ibaki hapa maana sina pa kulalamikia.
"Religion is regarded by the common people as true, by the wise as false, and by the rulers as useful" - Seneca
 
Back
Top Bottom