Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

hivi kumbe kuna watu bado huwa mnaenda makanisani hadi leo?.

huko vyuoni mlikopata elimu ya juu, mlienda kusomea nini?, ujinga?.
Wewe hapo ndugu yako akifa unawanyenyekea madheikh na makasisi kama vile ndio wenye funguo za kuzimu.
Mpaka sasa sijawahi kuona mtanzania anayezikwa Kama mbwa, yaani bila ibada.
Labda wewe utakua wa kwanza.
 
Wewe hapo ndugu yako akifa unawanyenyekea madheikh na makasisi kama vile ndio wenye funguo za kuzimu.
Mpaka sasa sijawahi kuona mtanzania anayezikwa Kama mbwa, yaani bila ibada.
Labda wewe utakua wa kwanza.
Anawapa ndugu zake kazi
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.

Mods naombeni hii mada ibaki hapa maana sina pa kulalamikia.
Malasusa ni mwananCcm kindakindaki, mpambe na rafiki wa Magufuli.

CCM ni Chama Cha Madhalimu, CCM ni CHANZO CHA MATATIZO.

Hata Magufuli alishindwa kutuambia 1.5 trillion imeyeyukaje.

Usimshangae sana Askofu Alex Gehaz Malalusa
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.
Huyu mheshimiwa alikuwa analindwa na mwendazake naye hayupo tena, mnashindwaje kumuondoa?
 
The people that you should not trust completely,but Live with caution.

1. Your Pastor
2. Your political leader
3. Your Parents
4. Your relatives
5.Your Friends
6.Yourself

Point ya mwisho ni kwamba usiache kujihoji juu ya maamuzi yako na tabia zako.
 
Eee mola naomba hekima zako walau 1 ya 100 ya hekima za solomon.
MCH.MALASUSA FAFANULIA MAJIMBO YA DENI LILIPO,MNATUKIMBIZA MAKANISANI,TUKIKIMBIA MNATUTISHA ASIYE MSHARIKA KANISA HALIMTAMBUI NA WALA HALITAMZIKA.
Mungu awajaze hekima Amen
 
Eee mola naomba hekima zako walau 1 ya 100 ya hekima za solomon.
MCH.MALASUSA FAFANULIA MAJIMBO YA DENI LILIPO,MNATUKIMBIZA MAKANISANI,TUKIKIMBIA MNATUTISHA ASIYE MSHARIKA KANISA HALIMTAMBUI NA WALA HALITAMZIKA.
Mungu awajaze hekima Amen
Waliokufa bila kuzikwa na kanisa sio mwanadamu..acheni uoga hojini..msiishi kulalamika humu..viongozi wa kanisa nao ni wanadamu kama wewe na mimi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Religion is regarded by the common people as true, by the wise as false, and by the rulers as useful" - Seneca

Religion is a Man made way of worshipping God
So because a wise man questions everything as is so ordered of us in the holy writ, a wise man can’t trust in anything man made including Religion, Although he Be a Theist.
A wise man Trusts in One Person alone and that is God alone.

Do not wait till you are Old enough to know these things.

Rulers/ politicians Are opportunistic people, using anything and everyone to their gain..
I say if God was to be lied to, politicians would choose to USE Him as well... Idiocy.

Common people who are ignorant of human nature and of themselves are of the fact that they can easily be deceived by other people, are easy to trust and are too emotional that Clever( not necessarily Wise) people may put them to Use as material objects.
 
Mimi ndio maana nimesimama kidogo kwenda kanisani,sadaka yangu nitaendelea kuitoa kwa watoto yatima na wasiojiweza.
Eeh! Mungu nisaidie na unionyeshe njia ya kweli.
Hiyo ndio maana halisi ya sadaka - kuwapa wenye uhitaji. Wape maskini, wenye ulemavu, watoto, wagonjwa, nk. Mungu atakubariki hapa duniani na milele mbinguni.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom