#COVID19 Malawi kuharibu chanjo 19,000 za Covid 19 zilizopitisha muda wa matumizi


Kwani yule mjenga mabarabara nchi nzima hakujua shitimbi nayo ilikuwa ni Tanzania akaishia kuweka hadi viwanja vya ndege kwao tu?
 
Hiyo kamati ya corona ni ya kipuuzi kabisa
 
Unatakiwa umuenzi Kwa Kufa.
 
Dawa zitawasilishwa Kwa helicopter!!
 
Utakufa na pressure ya hayati ndugu yangu, yaani una jazba utafikiri alikotemb..a mkeo

Una akili duni sana kiasi nikikupuuza tu kama tunavyofanya kwa wengine kama wewe, na wewe utajidhania wamo, kumbe ni zaidi ya utopolo.

Kina Ben, Azory, Lissu nk ni wahanga wa moja kwa moja wa mwendazake na vibaraka zake kama wewe. Hao walikuwa na ndugu zao wa damu, jamaa na marafiki zao pia. Sembuse huo uharo unaongea mburula wewe?

Wahanga na jamaa wa ufedhuli wenu hao, wana nini chema juu yenu? Kufa kwa pressure? Wafe mara ngapi sasa baada ya nyinyi kuwa mmekwisha kuwaua?

Nisiache kukufahamisha kuwa upumbafu mnasomea mburula wewe umefuzu kwa kiwango cha uzamivu!

Habari ndiyo hiyo.
 
Yaani hili Bara la watu weusi ni la ajabu sana. Wamepewa dawa adimu ili wawasaidie wananchi wake, dawa zimefichwa mpaka zimeharibika. Matokeo yake? Peleka jalalani. Yaani kule India, wakisikia hizi habari, watahuzunika sana. Maana Covid 19 inawacharaza kwelikweli.

Yaani Malawi imeshindwa hata kuwachanja wagonjwa wa Cancer au chronic respiratory diseases au maradhi ya moyo? Bora wote tukose. Ohhhh! Africa[emoji2962]
 
Baba yako sio wetu uwe na adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…