Na huku kwetu hadi hizo chanjo zifike Shitimbi ambako hata umeme hakuna na kufika inabidi upande mtumbwi sijui kama hizo chanjo zitakuwa kwenye ubora wake kama wa hao wanakamati wanaodai chanjo ni salama,bado najiuliza logistic na usalama wa hizo chanjo kuwafikia wananchi huko vijijini ambako hata basi linapita mara moja kwa wiki.
Hiyo kamati ya corona ni ya kipuuzi kabisaNa huku kwetu hadi hizo chanjo zifike Shitimbi ambako hata umeme hakuna na kufika inabidi upande mtumbwi sijui kama hizo chanjo zitakuwa kwenye ubora wake kama wa hao wanakamati wanaodai chanjo ni salama,bado najiuliza logistic na usalama wa hizo chanjo kuwafikia wananchi huko vijijini ambako hata basi linapita mara moja kwa wiki.
Hiyo kamati ya corona ni ya kipuuzi kabisa
Unatakiwa umuenzi Kwa Kufa.Hio Inaweza kuwa ni njia nzuri ya kumuenzi Mpendwa wetu Baba yetu JPM
As far as tumekataa kumtanguliza MUNGU mbele katika janga hili na tunataka kukimbilia chanjo, kitu ambacho alitukaza
Raha ya milele umpe eeeeh bwana na jina lihimidiwe
Innalilaah wainairaih rajioun
Siyo kwa kupigwa risasi?Unatakiwa umuenzi Kwa Kufa.
Dawa zitawasilishwa Kwa helicopter!!Na huku kwetu hadi hizo chanjo zifike Shitimbi ambako hata umeme hakuna na kufika inabidi upande mtumbwi sijui kama hizo chanjo zitakuwa kwenye ubora wake kama wa hao wanakamati wanaodai chanjo ni salama,bado najiuliza logistic na usalama wa hizo chanjo kuwafikia wananchi huko vijijini ambako hata basi linapita mara moja kwa wiki.
Kwani yule mjenga mabarabara nchi nzima hakujua shitimbi nayo ilikuwa ni Tanzania akaishia kuweka hadi viwanja vya ndege kwao tu?
Utakufa na pressure ya hayati ndugu yangu, yaani una jazba utafikiri alikotemb..a mkeo
Baba yako sio wetu uwe na adabu.Hio Inaweza kuwa ni njia nzuri ya kumuenzi Mpendwa wetu Baba yetu JPM
As far as tumekataa kumtanguliza MUNGU mbele katika janga hili na tunataka kukimbilia chanjo, kitu ambacho alitukataza
Raha ya milele umpe eeeeh bwana na jina lihimidiwe
Innalilaah wainairaih rajioun