Malawi na Msumbiji si mbali na Tanzania 'Kijiografia' je, tumeshajiandaa kama 'Fred' akijipenyeza au 'tunambwelambwela' tu?

Malawi na Msumbiji si mbali na Tanzania 'Kijiografia' je, tumeshajiandaa kama 'Fred' akijipenyeza au 'tunambwelambwela' tu?

Fure anajulikana anapopita kabla hata hajaja watu wako kwa karibu wakifuatilia nyendo zake nafikiri safari yake inaishia hapo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Majanga kama haya huwa hayatabiriki,swali muhimu ni je tumejiandaa au ndiyo tutategemea kudra za Muumba?
 
Mtoa mada anajaribu kuadress kitu muhimu sana unless umechagua tu kutaka kuvuruga flow ya hii mada.
Mkuu Asante kwa Kunisaidia Kunielimishia huyo Juha na bado wako Majuha wengi tu hapa.
 
Back
Top Bottom