Unauhakika na unachokisema? Mbona Kenya haijasema hivyo??Ule ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.
Kafariki Moi JPM alituma ujumbe mzito ukiongozwa na maRais wawili, washenzi wakae kwao tutakaa kwetu.
Ndiyo kupiga stop huko kwani huelewi hata kibeberu?Malawi wamepiga stop kivipi, kwani kingereza ndio hamuelewi au vipi, wao walishapiga stop ndege zote na hapa wamesema hawapo tayari kufungua hadi hali ya corona ibadilike, hehehe mnavyojitekenya.
Wanajifanya wamesahau kwamba tulipigania uhuru wa nchi karibu zote za Kusini mwa jangwa la Sahara.Tanzania ndo wababe wa fitna afrika yote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rada zenu zina corona hatuzitaki
Utaelewa tuMalawi ndio chakula ipi?
Kama hamjapigwa stop pelekeni Ndege zenu Kamuzu airport Basiππ€£π!Malawi wamepiga stop kivipi, kwani kingereza ndio hamuelewi au vipi, wao walishapiga stop ndege zote na hapa wamesema hawapo tayari kufungua hadi hali ya corona ibadilike, hehehe mnavyojitekenya.
Rada mlizofunga mwaka huu ndio unaturingia!. Kabla ya mwaka huu mlikuwa mnatumia rada zetu. Nyie ni aibu tupu
Tanzania ndo wababe wa fitna afrika yote
Kwa hiyo Malawi hawajui kama KQ inafika kwao?Hivi KQ alikuwa ana route ya kwenda Malawi?
Utajua tu muda siyo mrefu ujao...mtajua tu...jealous and arrogant Kenyans..Malawi ndio chakula ipi?
kaunti ya Nyeri[emoji1787]Kaunti yenyewe ya maporini
kibeberu[emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo kupiga stop huko kwani huelewi hata kibeberu?
Ila Jf[emoji23][emoji23]Kama hamjapigwa stop pelekeni Ndege zenu Kamuzu airport Basi[emoji23][emoji1787][emoji23]!
In your dreams maybe.Lazima sasa tu conquer Rwanda, Burundi na Congo kibiashara.
Wakenya bhana tatizo mnapenda kulamba nyayo wazungu kwa sasa TZ ya Magu mtanyooka tuMawaziri kadhaa walitumwa. Rais wetu mstaafu Kibaki ni mgonjwa asingeweza kuja. Endeleeni na mikwara zenu za kutoelewa mambo.
Eti na hawa ndio wasomi wa Tz. πMalawi wamepiga stop kivipi, kwani kingereza ndio hamuelewi au vipi, wao walishapiga stop ndege zote na hapa wamesema hawapo tayari kufungua hadi hali ya corona ibadilike, hehehe mnavyojitekenya.
Kwani wakati mnaomba hamkujua kuwa kuna korona!?
Ni namna tu ya kuwapiga chini
Ha ha ha ha ha! na hata humu jf tuwe makini watatuambukiza coronaRada zenu zina corona hatuzitaki