Malawi nao wapiga stop Kenya airways

Malawi nao wapiga stop Kenya airways

Ule ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.

Kafariki Moi JPM alituma ujumbe mzito ukiongozwa na maRais wawili, washenzi wakae kwao tutakaa kwetu.
Unauhakika na unachokisema? Mbona Kenya haijasema hivyo??
 
Imagine passanger wa oversea alikua ameshafanya connection via kenya airways to tz na malawi
 
Malawi wamepiga stop kivipi, kwani kingereza ndio hamuelewi au vipi, wao walishapiga stop ndege zote na hapa wamesema hawapo tayari kufungua hadi hali ya corona ibadilike, hehehe mnavyojitekenya.
Kama hamjapigwa stop pelekeni Ndege zenu Kamuzu airport Basi😂🤣😂!
 
Rada mlizofunga mwaka huu ndio unaturingia!. Kabla ya mwaka huu mlikuwa mnatumia rada zetu. Nyie ni aibu tupu

Hata Wakenya wenzio sasa hivi wanaishangaa selikali yako kuiruhusu USA na kuiacha tz!

Yani wanashamgaa mno selikali yako walivyo
 
Kiingereza huwa kinawapinga watz chenga sio mchezo. [emoji1] Yaani hadi sasa hivi kwenye uzi huu hakuna hata mmoja wao ambaye ameelewa kinachozungumziwa kwenye barua hiyo? Eti na wote hawa walifunzwa kwa kiingereza kutoka kidato cha kwanza. Kuna 'scenario' mbili tu hapa; a)Itakuwa wote hawa ni mavichwa boga kupindukia, na b) Wote ni madrop out wa darasa la 7. 😁😁😁
 
Mawaziri kadhaa walitumwa. Rais wetu mstaafu Kibaki ni mgonjwa asingeweza kuja. Endeleeni na mikwara zenu za kutoelewa mambo.
Wakenya bhana tatizo mnapenda kulamba nyayo wazungu kwa sasa TZ ya Magu mtanyooka tu
 
Kwani wakati mnaomba hamkujua kuwa kuna korona!?

Ni namna tu ya kuwapiga chini

Tumeomba kwingi na kukubaliwa kwa baadhi na kukataliwa kwa wengine, na wote hao hakuna mwenye mihemko ya wivu kama nyie, wao wanafanya kwa kutumia ubongo na kushirikisha sababu za kitaalam.
 
Back
Top Bottom