luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
We ni ki JINGA sanaaa sijui kama ulisoma commwnt yangu mpaka mwisho ..sijui ww mitihan yako ya darasa la. Saba ulikuwa unajibu vipi ? Yan una soma mstari wa kwanza then unakimbilia kutoa majibu.Mambumbumbu katika ubora wenu. Sasa kiherehere ni cha nini kama hamuelewi kilichoandikwa kwenye barua hiyo? Si mngeitisha tu tafsiri kwa kiswahili, kabla ya kutupia comment zenu za kiboya. Tangia mwezi wa Aprili hadi sasa hivi hakuna ndege zozote, kwenye route za kimataifa, ambazo zimekubaliwa kutua Malawi. Yaani 'International commercial flights', kama bado hamjaelewa subirini ntawachorea kibonzo.
Andika *yaani sio yani, *wewe sio we. Hoja yako ni ipi kuhusu mada hii wewe kinyangarika? Au ni hicho kiswahili chako cha Kariakoo?Yani we NGUCHIRO fanya tu uharishe ukalale,
Kiswahili hujui, kiingereza huelewi, Yani JICHO KUUUBWA ila huoni.
VYENYE UMEKASIRIKA HATA HUJUI UTA DO WHAT..
Ule ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.
Kafariki Moi JPM alituma ujumbe mzito ukiongozwa na maRais wawili, washenzi wakae kwao tutakaa kwetu.
Hao uliowataja wameomba kutua Malawi..!? Wakati mnaomba hamkujua kwamba COVID IPO? Wakati mnapiga BAN wenzenu, mlitegemea wengine wawafanye nini!?Yea na kuna vichaa watz hapa ambao wanacomment kuhusu suala ambalo hawajalielewa hata kidogo. Kisa lugha gongana, alafu wameamua kufa nayo hivyo hivyo, tu mithili ya mtu anayesoma gazeti juu chini. [emoji1] Kiswahili kinatosha pia, wapo wengi humu ambao wanaweza wakawapa tafsiri, acheni ubishoo. KQ wameulizia kuhusu uwezekano wa usafiri wa anga kurejea nchini Malawi, wakiwa na nia ya kuanza safari zao. Ila wamalawi wakajibu kwamba hawajafungua anga zao kwa ndege zozote kutoka nje ya Malawi. Wanasema kwa sasa bado wanaendelea na shughuli za kuwezesha usafiri wa anga ambao utatilia maanani tahadhari dhidi ya maambukizi ya COVID-19. Eti KQ imepigwa stop, kwani ATCL au hata ET na Emirates wamekubaliwa? [emoji1] Si huwa mnafunzwa kwa kiingereza kuanzia kidato cha kwanza? Sasa nikisema kwamba wote ambao hamkuelewa hata sentensi moja tu ya barua hiyo ni madrop out wa darasa la saba nimekosea? [emoji1]
Walinyooka kitambo miaka ya 80s na 90s wakati Tanzania alikuwa ndio kiongozi EAC kiuchumi, Sasa ni muda wa Tanzania kunyooka.Hawa nyang'ao watanyooka tu na uzungu wao fake!
Kama kunyooka na njia hapo sawa.Walinyooka kitambo miaka ya 80s na 90s wakati Tanzania alikuwa ndio kiongozi EAC kiuchumi, Sasa ni muda wa Tanzania kunyooka.
Sio lugha yetu Kwan we kingereza unahisi imetoka mbinguni mpaka unatukuza kiasi hicho ? Kingereza kimetoka Kwa wakoroni wenyewe hasa United Kingdom Sisi chetu Kiswahili hakijatoka Kwa mkoroni yeyote .Sisi kama china tu lugha yetu Kwanza nyengine baadayeKiingereza huwa kinawapinga watz chenga sio mchezo. [emoji1] Yaani hadi sasa hivi kwenye uzi huu hakuna hata mmoja wao ambaye ameelewa kinachozungumziwa kwenye barua hiyo? Eti na wote hawa walifunzwa kwa kiingereza kutoka kidato cha kwanza. Kuna 'scenario' mbili tu hapa; a)Itakuwa wote hawa ni mavichwa boga kupindukia, na b) Wote ni madrop out wa darasa la 7. [emoji16][emoji16][emoji16]
Sijakitukuza kiingereza, ila hutanipata hata siku moja nikitoa maoni ya kipumba kuhusu taarifa au habari ambazo zimeandikwa labda kwa kijapani, kireno au kimandarin. Au lugha yeyote ile nyingine ambayo siielewi. Huo ni ukichaa wa hali ya juu, jambo la busara ni kutafuta tafsiri kwanza. Alafu ni mkoloni, sio mkoroni.Sio lugha yetu Kwan we kingereza unahisi imetoka mbinguni mpaka unatukuza kiasi hicho ? Kingereza kimetoka Kwa wakoroni wenyewe hasa United Kingdom Sisi chetu Kiswahili hakijatoka Kwa mkoroni yeyote .Sisi kama china tu lugha yetu Kwanza nyengine baadaye
Wenyewe unajiona muelewa kama wema sepetu na maringo juu.Sijakitukuza kiingereza, ila hutanipata hata siku moja nikitoa maoni ya kipumba kuhusu taarifa au habari ambazo zimeandikwa labda kwa kijapani, kireno au kimandarin. Au lugha yeyote ile nyingine ambayo siielewi. Huo ni ukichaa wa hali ya juu, jambo la busara ni kutafuja tafsiri kwanza. Alafu ni mkoloni, sio mkoroni.
Hicho Kiingereza cha nini sasa?Kiingereza huwa kinawapinga watz chenga
Sasa utajuaje kwamba kinanipiga chenga wakati wewe mwenyewe hapo hakipandi hata kwa dawa? Me cago en la madre que te parió. Gilipuertas!Hicho Kiingereza cha nini sasa?
Kiswahili kinatutosha sana mpaka kinabaki!
Ndio maana leo hata wewe mzungu-pori usiyejua Kiingereza wala Kiswahili umeamua kuandika Kiswahili kwa sababu unajua Kakiingereza kako uchwara hakahitajiki!