Malawi nao wapiga stop Kenya airways

Malawi nao wapiga stop Kenya airways

Tumeomba kwingi na kukubaliwa kwa baadhi na kukataliwa kwa wengine, na wote hao hakuna mwenye mihemko ya wivu kama nyie, wao wanafanya kwa kutumia ubongo na kushirikisha sababu za kitaalam.
Asante
 
Tutaelewana tu, ngoja tuomyeshane makali kidgo
 
Kiingereza huwa kinawapinga watz chenga sio mchezo. [emoji1] Yaani hadi sasa hivi kwenye uzi huu hakuna hata mmoja wao ambaye ameelewa kinachozungumziwa kwenye barua hiyo? Eti na wote hawa walifunzwa kwa kiingereza kutoka kidato cha kwanza. Kuna 'scenario' mbili tu hapa; a)Itakuwa wote hawa ni mavichwa boga kupindukia, na b) Wote ni madrop out wa darasa la 7. [emoji16][emoji16][emoji16]

Kama kiswahili kinaviwapiga chenga tu
 
Mkuu uko sawa
Hawa wakenya wana kale kauzamani sana hawajui tumeshaamka na shule za kata zimefanya kazi. Zamani kabla hatujaanza kuingia kwenye mitandao ya kijamii walikuwa wanatupakazia mengi sana kwa wazungu hasa kuwadanganya rasilimali zetu zote zipo kwo.Kuna baadhi ya wazungu kwa uongo huo walikuwa wanajua labda bongo ni mkoa katika kenya lakini sasa wakijaribu kuthubutu cha moto wanakiona watashambuliwa lila kona.

Hawa jamaa sijui wakoje na wanarithishana hayo maujinga toka babu hadi mjukuu kujiona wapo superior na ni next o muzungu. Hawa ndio wametuaribia kiswahili kimataifa kwa kuwafundisha wazungu kiswahili cha ajabu kilichokuwa na istilahi za kikikuyu kijaluo na kikamba.Hovyo kabisa.

Sasa bado hawajui kuwa tumeingia UCHUMI WA KATI kwa fujo na tunataka tuwapite kama wamesimama sisi haooooo!!!!tunaelekea uchumi wa kwanza kwa wenzetu marekani na mataifa makubwa tuanze kuwapa misaada maana mnavyopenda misaada ndio sababu ya haya yote mnajipendekeza kutoa data za uongo za covd na kuwapakazia majirani zenu ili mpate misaada .poor kenya mtabaki peke yenu.
 
Kiingereza huwa kinawapinga watz chenga sio mchezo. [emoji1] Yaani hadi sasa hivi kwenye uzi huu hakuna hata mmoja wao ambaye ameelewa kinachozungumziwa kwenye barua hiyo? Eti na wote hawa walifunzwa kwa kiingereza kutoka kidato cha kwanza. Kuna 'scenario' mbili tu hapa; a)Itakuwa wote hawa ni mavichwa boga kupindukia, na b) Wote ni madrop out wa darasa la 7. [emoji16][emoji16][emoji16]
Kingereza bila pesa ni makelele
 
Kiingereza huwa kinawapinga watz chenga sio mchezo. [emoji1] Yaani hadi sasa hivi kwenye uzi huu hakuna hata mmoja wao ambaye ameelewa kinachozungumziwa kwenye barua hiyo? Eti na wote hawa walifunzwa kwa kiingereza kutoka kidato cha kwanza. Kuna 'scenario' mbili tu hapa; a)Itakuwa wote hawa ni mavichwa boga kupindukia, na b) Wote ni madrop out wa darasa la 7. 😁😁😁
Ukiisoma ile barua vizuri utafikiri kama malawi hawaja wapiga ban lkn in reality mzee ile ni ban. Since April ina maana hapo malawi hakuna ndege inayo ingia pale lilongwe ?
 
Kiingereza huwa kinawapinga watz chenga sio mchezo. [emoji1] Yaani hadi sasa hivi kwenye uzi huu hakuna hata mmoja wao ambaye ameelewa kinachozungumziwa kwenye barua hiyo? Eti na wote hawa walifunzwa kwa kiingereza kutoka kidato cha kwanza. Kuna 'scenario' mbili tu hapa; a)Itakuwa wote hawa ni mavichwa boga kupindukia, na b) Wote ni madrop out wa darasa la 7. [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapa umeandika uharisho wa ule unga wa njano.

Vyenye mnapenda kiingereza, wekeni mezani mle icho kiingereza chenu.

Siku nyingine ukishiba uwe unawahi kulala
 
Tumeomba kwingi na kukubaliwa kwa baadhi na kukataliwa kwa wengine, na wote hao hakuna mwenye mihemko ya wivu kama nyie, wao wanafanya kwa kutumia ubongo na kushirikisha sababu za kitaalam.
Hii ni kweli?
Screenshot_20200801-164932_Chrome.jpg
 
Kiingereza huwa kinawapinga watz chenga sio mchezo. [emoji1] Yaani hadi sasa hivi kwenye uzi huu hakuna hata mmoja wao ambaye ameelewa kinachozungumziwa kwenye barua hiyo? Eti na wote hawa walifunzwa kwa kiingereza kutoka kidato cha kwanza. Kuna 'scenario' mbili tu hapa; a)Itakuwa wote hawa ni mavichwa boga kupindukia, na b) Wote ni madrop out wa darasa la 7. 😁😁😁
Kuna vichaa wanaongea kiingereza huko Uingereza...
 
Ule ulikuwa upuuzi wa hali ya juu, kweli msiba mkubwa kama ule ni wa kutuletea sisi senator? kama hawakutaka kuleta kiongozi wa kitaifa basi wangekaa kimya tu.

Kafariki Moi JPM alituma ujumbe mzito ukiongozwa na maRais wawili, washenzi wakae kwao tutakaa kwetu.
Alafu kama hujui Sasa, siku moja kabla Ya kuwatuma, uhuru aliponda Tz vile ina handle Corona, wale wangerudi tu, wangepimwa na kukutwa na Corona afu wangesema wameitolea Tz. Ni wapuuzi hawa
 
Hapa umeandika uharisho wa ule unga wa njano.Vyenye mnapenda kiingereza, wekeni mezani mle icho kiingereza chenu.Siku nyingine ukishiba uwe unawahi kulala
Ukiisoma ile barua vizuri utafikiri kama malawi hawaja wapiga ban lkn in reality ile ni ban. Since April ina maana hapo malawi hakuna ndege inayo ingia pale lilongwe ?
Kingereza bila pesa ni makelele
Kama kiswahili kinaviwapiga chenga tu
Mambumbumbu katika ubora wenu. Sasa kiherehere ni cha nini kama hamuelewi kilichoandikwa kwenye barua hiyo? Si mngeitisha tu tafsiri kwa kiswahili, kabla ya kutupia comment zenu za kiboya. Tangia mwezi wa Aprili hadi sasa hivi hakuna ndege zozote, kwenye route za kimataifa, ambazo zimekubaliwa kutua Malawi. Yaani 'International commercial flights', kama bado hamjaelewa subirini ntawachorea kibonzo.
 
Yani we NGUCHIRO fanya tu uharishe ukalale,

Kiswahili hujui, kiingereza huelewi, Yani JICHO KUUUBWA ila huoni.

VYENYE UMEKASIRIKA HATA HUJUI UTA DO WHAT..
 
Kuna vichaa wanaongea kiingereza huko Uingereza...
Yea na kuna vichaa watz hapa ambao wanacomment kuhusu suala ambalo hawajalielewa hata kidogo. Kisa lugha gongana, alafu wameamua kufa nayo hivyo hivyo, tu mithili ya mtu anayesoma gazeti juu chini. [emoji1] Kiswahili kinatosha pia, wapo wengi humu ambao wanaweza wakawapa tafsiri, acheni ubishoo. KQ wameulizia kuhusu uwezekano wa usafiri wa anga kurejea nchini Malawi, wakiwa na nia ya kuanza safari zao. Ila wamalawi wakajibu kwamba hawajafungua anga zao kwa ndege zozote kutoka nje ya Malawi. Wanasema kwa sasa bado wanaendelea na shughuli za kuwezesha usafiri wa anga ambao utatilia maanani tahadhari dhidi ya maambukizi ya COVID-19. Eti KQ imepigwa stop, kwani ATCL au hata ET na Emirates wamekubaliwa? [emoji1] Si huwa mnafunzwa kwa kiingereza kuanzia kidato cha kwanza? Sasa nikisema kwamba wote ambao hamkuelewa hata sentensi moja tu ya barua hiyo ni madrop out wa darasa la saba nimekosea? [emoji1]
 
Kenyan wanatumiwa sana na mataifa ya nje!!that is a big problem,,and some of african countries have recognized that,they will pay it,
 
Mambumbumbu katika ubora wenu. Sasa kiherehere ni cha nini kama hamuelewi kilichoandikwa kwenye barua hiyo? Si mngeitisha tu tafsiri kwa kiswahili, kabla ya kutupia comment zenu za kiboya. Tangia mwezi wa Aprili hadi sasa hivi hakuna ndege zozote, kwenye route za kimataifa, ambazo zimekubaliwa kutua Malawi. Yaani 'International commercial flights', kama bado hamjaelewa subirini ntawachorea kibonzo.
 
Back
Top Bottom