Wala siyo ndugu zetu, ni sisi wenyeweTanzania hatuna adui njee adui yupo ndani tena kati ya ndugu zetu .
Hawa tunawapa mgambo tu wahangaike nao.Kwenye ule mgogoro wa Ziwa Nyasa ndo Malawi walitaka vita na Tanganyika/Tanzania? Aisee ngoja nikaushe tu. Ndege inatafutwa siku 2 hapo hapo Lilongwe? Bado mnaomba Msaada dunia nzima. Hapo hapo Chakwera alitaka kwenda holiday Bahamas?
Wewe unaongea tu, wazungu na tech zao walitafuta F-35 wiki nzima, indonesia airline iliyopotea baharini ina kila tech na ikapotea mpaka leo, ni wazungu hawana vifaa?Kwenye ule mgogoro wa Ziwa Nyasa ndo Malawi walitaka vita na Tanganyika/Tanzania? Aisee ngoja nikaushe tu. Ndege inatafutwa siku 2 hapo hapo Lilongwe?
Ndege imeanguka karibu na Lilongwe (mji Mkuu) Rescue and search tunaingia siku ya piliWewe unaongea tu, wazungu na tech zao walitafuta F-35 wiki nzima, indonesia airline iliyopotea baharini ina kila tech na ikapotea mpaka leo, ni wazungu hawana vifaa?
Dunia ni kubwa sana, binadam hafaham kila kitu
Ndiookisa cha kumtoaa kale kabinti mkuu mojawapo n hiloo kalijiona the bestKwenye ule mgogoro wa Ziwa Nyasa ndo Malawi walitaka vita na Tanganyika/Tanzania? Aisee ngoja nikaushe tu. Ndege inatafutwa siku 2 hapo hapo Lilongwe? Bado mnaomba Msaada dunia nzima. Hapo hapo Chakwera alitaka kwenda holiday Bahamas?
Bila shakaHuyo makamu wamemtoa kikowa tu.
Huyowashampata wanajipanga mkuu mazikoyamkubwa sio simple sekta zote mnajipangaaaa ulinzi waimbaj wakostudio sasahizi wakimaliza unasiksia tanziaNdege imeanguka karibu na Lilongwe (mji Mkuu) Rescue and search tunaingia siku ya pili
Okay. Wacha nasi tujipange tukahudhurie mazikoHuyowashampata wanajipanga mkuu mazikoyamkubwa sio simple sekta zote mnajipangaaaa ulinzi waimbaj wakostudio sasahizi wakimaliza unasiksia tanzia
Kabisa mkuu akili zetu udhubutu wetu na tamaa zetu anaweza kuwa adui wa kwanza .Wala siyo ndugu zetu, ni sisi wenyewe
Naweza kubet: huyo adui ni ccm.Tanzania hatuna adui njee adui yupo ndani tena kati ya ndugu zetu .
Mimi sijui mkuu ila kuna jini linatunyonya bila kujijua mkuuNaweza kubet: huyo adui ni ccm.
Hata kifo cha Prof Bingu walichelewa sana kutangaza.Huyowashampata wanajipanga mkuu mazikoyamkubwa sio simple sekta zote mnajipangaaaa ulinzi waimbaj wakostudio sasahizi wakimaliza unasiksia tanzia
Adui wa Tanzania ni vigogo wa CCMTanzania hatuna adui njee adui yupo ndani tena kati ya ndugu zetu .