Euroleague
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 515
- 1,410
Kashindwa Iran kuipata helicopter ndio sembuse Malawi. Uzuri Mungu lazma atatoa GG kujidhihirisha yeye ni nani.Kwenye ule mgogoro wa Ziwa Nyasa ndo Malawi walitaka vita na Tanganyika/Tanzania? Aisee ngoja nikaushe tu. Ndege inatafutwa siku 2 hapo hapo Lilongwe? Bado mnaomba Msaada dunia nzima. Hapo hapo Chakwera alitaka kwenda holiday Bahamas?