Malawi wameweza, Tanzania tunafuatia

Malawi wameweza, Tanzania tunafuatia

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.

Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.

Malawi wamemaliza Kazi yao!

Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
 
Vile Meko anatoa macho akipata habari hizi!
567801.jpg
 
Iliwachukua wananchi wa Malawi miezi kama 3 kupigania tume huru kwa maandamano ya hatari mpk wakaipata.

Sasa hapa tunajipa moyo wkt boss wa NEC ni type za wakina Jecha ambao wakistaafu wanaenda kugombea urais kupitia CCM.

TUACHE KUJIDANGANYA.
 
Kwa ushauri wako tufanyeje? Kama mnaona hatuwezi basi badilisheni sheria turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
Iliwachukua wananchi wa Malawi miezi kama 3 kupigania tume huru kwa maandamano ya hatari mpk wakaipata.

Sasa hapa tunajipa moyo wkt boss wa NEC ni type za wakina Jecha ambao wakistaafu wanaenda kugombea urais kupitia CCM.

TUACHE KUJIDANGANYA.
 
Ni kweli. Malawi wana independent judiciary, jeshi neutral na wananchi wanaojielewa. Matokeo yanaruhusiwa kupingwa mahakamani. Kwa kweli Malawi kuna demokrasia kubwa sana. Malawi polisi siyo ya chama tawala. Ni ya wananchi. Hiyo ni tofauti kubwa kati ya Malawi na Tanzania.
Usifananishe Tanzania
 
Back
Top Bottom