balaa!Naye ni huko huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
balaa!Naye ni huko huko
CCM yatosha bwashee!Ukiwemo wewe
Soma [emoji121] upinzani wa Tanzania kama ni mtoto hata kutambaa hajaanzaUsifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Ni kweli. Malawi wana independent judiaciary, jeshi neutral na wananchi wanaojielewa. Matokeo yanaruhusiwa kupingwa mahakamani. Kwa kweli Malawi kuna demokrasia kubwa sana. Hiyo ni tofauti kubwa kati ya Malawi na Tanzania.
Ikiwa wote wanaostahili kupiga kura watapiga kura yanaweza kutokea maajabu. Tatizo wale wenye mawzo mbadala hawataki kupiga kura.Tukiamua tunaweza wafanya hujuma wote tunao huku uswahilini
Hakuna haja ya sheria hio kwa sababu it's officially tumesharudi kwny mfumo huo,au wewe bado haujaona?Kwa ushauri wako tufanyeje? Kama mnaona hatuwezi basi badilisheni sheria turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
Lumumba huwaga mataga kwelikweliUsifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Mipango Bora ndio kila kitu,Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Umeangalia sifa za huyo mgombea? Siyo DJ, Siyo mwanaharakati. Unatumia vigezo duni ili upate matokeo kama ya Malawi?Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Bora kwenye kuleta umasikini labdaUsifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Wa kulaumiwa ni Nyerere ndie aliyetuletea hii mifumo mibovu ya uongozi,Kama mtawala anakuwa juu ya katiba huku kapewa madaraka yote unategemea nn kwann asiswage watu katiba Ina mruhusu.Ni kweli. Malawi wana independent judiciary, jeshi neutral na wananchi wanaojielewa. Matokeo yanaruhusiwa kupingwa mahakamani. Kwa kweli Malawi kuna demokrasia kubwa sana. Malawi polisi siyo ya chama tawala. Ni ya wananchi. Hiyo ni tofauti kubwa kati ya Malawi na Tanzania.
Usisahau Pamoja na PH.d zao walizonazo viongozi wetu lkn wao ndio walikua watu wa kwanza kwenda kwa yule Rais wa Madagascar ambae ni DJ kunywa ile Dawa ya Covid.Umeangalia sifa za huyo mgombea? Siyo DJ, Siyo mwanaharakati. Unatumia vigezo duni ili upate matokeo kama ya Malawi?
Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Mbona unasahau.Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
RUBBISH...!Usifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Bujibuji UMEUA BEND BWASHEEE😜😜🤩🤩Chama Cha Manduli watatumia jeshi, polisi, mgambo na silaha zote za kivita ili kuiba kura.
Nduli mkuu haoni hasara hata akiua nusu ya nchi ili yeye atawale milele
Yaani tumtoe ikulu Magufuli halafu tumuweke nani, Mbowe, Lissu, Msigwa au Nyarandu? hii itakuwa wendawazimu kabisa kwa sasa tuacheni, mkajipange vizuri tukutane 2025.Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Hongera sana kwa Malawi, unaona wenzetu wanavyotupita? Jamani tumwadhibu Nduli huyu anaturudisha nyuma sana.Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.