Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya bwanaUtamjua siku ikifika
Ukweli mchungu.Vyama vya upinzani havijajiandaa kuchukua nchi, mwaka 2015 watu waliumizwa, wengine wakafungwa, wengine wakafa, na wengine walipoteza kazi lengo ni ilikua kuwapigania viongozi na vyama vya upinzani viongoze serikali.
Ila mwishowe hao hao tuliowapigania kwa jasho na damu wameunga juhudi! Huu si usen*** , wapinzani wa Tz hawaaminiki heri maccm yaendelee kuongoza nchi tu.
Vyama vya upinzani havijajiandaa kuchukua nchi, mwaka 2015 watu waliumizwa, wengine wakafungwa, wengine wakafa, na wengine walipoteza kazi lengo ni ilikua kuwapigania viongozi na vyama vya upinzani viongoze serikali.
Ila mwishowe hao hao tuliowapigania kwa jasho na damu wameunga juhudi! Huu si usen*** , wapinzani wa Tz hawaaminiki heri maccm yaendelee kuongoza nchi tu.
Kuputia mgombea gani wa upinzani mboeeeeee au Tundu lisilo na kitu ?. Unataka tuwe kama wakenya au, maana hao wawili wakipewa nchi na hao wazungu wao watakua kila Kona, mwisho utasikia m bongo kufika kariakoo au posta mpaka uwe na electronic kadi tena unailipia kwa mwezi maana wanawaona kama miungu!!
Ina maana Jecha aliongoza tume ya uchaguzi Zanzibar huku akiwa na kadi ya Ccm mfukoni?Iliwachukua wananchi wa Malawi miezi kama 3 kupigania tume huru kwa maandamano ya hatari mpk wakaipata.
Sasa hapa tunajipa moyo wkt boss wa NEC ni type za wakina Jecha ambao wakistaafu wanaenda kugombea urais kupitia CCM.
TUACHE KUJIDANGANYA.
🤣 🤣 🤣 🤣 👆Usifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Naona uwoga umeshawaingia, tulieni sindano ziwangie na watu wapo tayari kuyapokea mageuzi
Si issue ya uwoga Tz hakuna upinzani wa kweli bali wamejaa wachumia tumbo na wapiga dili tu, kifupi wapinzani HAWAAMINIKI.
Watanzania tunapenda na tuko tayari kwa mabadiliko, ila tukifanya mabadiliko wale watakao kabidhiwa nchi HAWAAMINIKI, acha mihemko kijana.