Malazi ya £10 kwa siku kwa wasio na nyumba huko Ulaya

Malazi ya £10 kwa siku kwa wasio na nyumba huko Ulaya

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Rafiki yangu mahusiano yake yalipovunjika ilibidi aondoke nyumbani akimuacha mke na watoto watatu. Anasema ndoa ilivunjika zamani sana kuasi cha yeye kuwa na ki camp bed chake chumbani ila alikaa kulea watoto wake.

Hali ilifikia kuwa mbaya, aliondoka nyumbani. Aliweka mizigo yake storage akawa officially homeless. Ukiwa na shida utapata tu ufumbuzi. Aligundua mjini kuna homeless centres, hizi wengi wao ni wahanga wa ndoa kuvunjika lakini wanaajira zao.

Ni ndani ya hall kubwa mfano wa boarding school. Kuna vitanda kama 40, kila kitanda kimetandikwa shuka safi na duvet. U. Wafanyakazinalipa £10 usiku, unaweza kuoga na kulala. Asubuhi ikifika saa tatu, wote muwe mmeondoka. Wafanyakazi wana toa shuka na kufua, wanatandika shuka safi kwaajili ya siku mpya.

Rafiki yangu ananiambia ilimgharimu £300 kwa mwezi, yeye aliona ni maisha bora na yenye amani mpaka alipojipanga kupata kwake.

Niliwaza hii fursa ukiianzisha karibu na stand kubwa. Wasafiri waliokwama unakula 10,000 kwa kichwa.
 
Elfu 10 nyingi sana,maana kuna guesthouse za Elfu 10 na chini ya hapo pia,unapokuja na wazo kama hilo inabidi usiangalie faida kwanza angalia ni jinsi gani utatoa huduma bora zaidi,utajipanga vipi ikitokea ushindani,na mpango utaodumu kwa Muda gani!
 
Kibongo bongo huruma za hivyo wanafanya Wanaume wachache!!
Yaani akalale Nje wewe ulale ndani?

Muraa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwasababu bongo nyumba inajengwa na mara nyingi ni pesa ya mwanaume. Lakini wanaume wengine ni wastaarabu hasa kukiwa na watoto. Ndoa ikivunjika anaangalia usalama wa watoto wake kwanza na anamuacha mama na watoto kwenye nyumba.
 
Rafiki yangu mahusiano yake yalipovunjika ilibidi aondoke nyumbani akimuacha mke na watoto watatu. Anasema ndoa ilivunjika zamani sana kuasi cha yeye kuwa na ki camp bed chake chumbani ila alikaa kulea watoto wake.

Hali ilifikia kuwa mbaya, aliondoka nyumbani. Aliweka mizigo yake storage akawa officially homeless. Ukiwa na shida utapata tu ufumbuzi. Aligundua mjini kuna homeless centres, hizi wengi wao ni wahanga wa ndoa kuvunjika lakini wanaajira zao.

Ni madani ya hall kubwa mfano wa boarding school. Kuna vitanda kama 40, kila kitanda kimetandikwa shuka safi na duvet. U. Wafanyakazinalipa £10 usiku, unaweza kuoga na kulala. Asubuhi ikifika saa tatu, wote muwe mmeondoka. Wafanyakazi wana toa shuka na kufua, wanatandika shuka safi kwaajili ya siku mpya.

Rafiki yangu ananiambia ilimgharimu £300 kwa mwezi, yeye aliona ni maisha bora na yenye amani mpaka alipojipanga kupata kwake.

Niliwaza hii fursa ukiianzisha karibu na stand kubwa. Wasafiri waliokwama unakula 10,000 kwa kichwa.
Kwa hiyo hiyo £300 haitoshi kupanga nyumba huko ulaya mpaka akalale holini?
 
Elfu 10 nyingi sana,maana kuna guesthouse za Elfu 10 na chini ya hapo pia,unapokuja na wazo kama hilo inabidi usiangalie faida kwanza angalia ni jinsi gani utatoa huduma bora zaidi,utajipanga vipi ikitokea ushindani,na mpango utaodumu kwa Muda gani!
Kwa bongo wazo hili kwa muda mrefu linaweza kusaidia wenye ndugu wagonjwa hospitali na wasafiri waliokwama. Unaweza kuweka 3,000 kwa usiku. Hata wale wanaotoka mbali kuwahi vipimo hospital.
 
Rafiki yangu mahusiano yake yalipovunjika ilibidi aondoke nyumbani akimuacha mke na watoto watatu. Anasema ndoa ilivunjika zamani sana kuasi cha yeye kuwa na ki camp bed chake chumbani ila alikaa kulea watoto wake.

Hali ilifikia kuwa mbaya, aliondoka nyumbani. Aliweka mizigo yake storage akawa officially homeless. Ukiwa na shida utapata tu ufumbuzi. Aligundua mjini kuna homeless centres, hizi wengi wao ni wahanga wa ndoa kuvunjika lakini wanaajira zao.

Ni ndani ya hall kubwa mfano wa boarding school. Kuna vitanda kama 40, kila kitanda kimetandikwa shuka safi na duvet. U. Wafanyakazinalipa £10 usiku, unaweza kuoga na kulala. Asubuhi ikifika saa tatu, wote muwe mmeondoka. Wafanyakazi wana toa shuka na kufua, wanatandika shuka safi kwaajili ya siku mpya.

Rafiki yangu ananiambia ilimgharimu £300 kwa mwezi, yeye aliona ni maisha bora na yenye amani mpaka alipojipanga kupata kwake.

Niliwaza hii fursa ukiianzisha karibu na stand kubwa. Wasafiri waliokwama unakula 10,000 kwa kichwa.
Ni likua na wazo kama hilo nilivo rudi, ila iwe kwa freelance students private kulipa kwa siku 3000 tu ila changamoto zoliopo ni hizi:
*Indiscipline za watanzania ngono ndo kila kitu ata yule masikini wa kutupwa
*Ulevi wa pombe na madawa ya *kulevya
*Wizi wa ndani hara ndara mtzania anaiba hayo mashuka kila wiki unanunua mapya
*Uchafu wa watanzania ni wakiwango cha juu hilo holi litanuka ile mbaya
*Umalaya funjo nk

ila ni biashara nzuri sana wengi wanashindwa ku kodi nyumba na kulea familia zao
 
Aisee bonge la idea, nenda Kariakoo asubuhi sana mida ya saa 10 utakuta watu wamelala hovyo hawana makazi hao utawakamata sana
 
Ni likua na wazo kama hilo nilivo rudi, ila iwe kwa freelance students private kulipa kwa siku 3000 tu ila changamoto zoliopo ni hizi:
*Indiscipline za watanzania ngono ndo kila kitu ata yule masikini wa kutupwa
*Ulevi wa pombe na madawa ya *kulevya
*Wizi wa ndani hara ndara mtzania anaiba hayo mashuka kila wiki unanunua mapya
*Uchafu wa watanzania ni wakiwango cha juu hilo holi litanuka ile mbaya
*Umalaya funjo nk

ila ni biashara nzuri sana wengi wanashindwa ku kodi nyumba na kulea familia zao
Hili tatizo la uchafu kwa Watanzania nikubwa sana. Unakuta mama lishe anafanya biashara kando ya mtaro wa maji machafu.

Unaingia nyumbani kwa mtu, ukiomba uonyeshwe choo ndiyo unaambiwa subiri kwanza tusafishe.

Kwa hii 3,000 atakayolipa atajiona ana haki kabisa ya kuingia wa mwanamke wangonoke wakati malazi ni kwenye hall.
 
Back
Top Bottom