Watu wa Linguistics kuna ishu wanaita Speech community.Hahahaha!
Nini kimekufanya uwaze hivi mkuu ??
Hahaha ila mimi nimesema huenda tu.Hahahahaaaaa.
Kuna ukweli ndani yake
Ramli sio kwa Waganga pekee[emoji23]Hahaha ila mimi nimesema huenda tu.
Ikiwa chonganishi ndiyo mbaya ila hii haina madhara.Ramli sio kwa Waganga pekee[emoji23]
Mkuu,kujua mambo mengi kama ww nizingatie nini hasa
Watu wa Linguistics kuna ishu wanaita Speech community.
Unaweza kujua huyu ni mwanasheria kwa urahisi, huyu ni kijana wa uswahilini kwa urahisi, huyu kakulia ushuwani kiurahisi.
Ila sio kila siku.
Nilitaraji kama kawaida yako ukipewa title unashuka nondo[speech community].Indeed mkuu!
Uko sawa kabisa katika hili.
Nimefurahi uliposema "ila siyo kila siku"
Hahaha Daby bwana,Nilitaraji kama kawaida yako ukipewa title unashuka nondo[speech community].
Kuna uzi jukwaa la international mlikuwa mnajadili uhalali wa Israel palestina[Yerusalemu] traced back kwa Ibrahim. nilipick mambo ila sikujua msimamo wako
Hahaha Daby bwana,
Kwenye ishu ya Palestina msimamo wangu ni wazi kabisa. Palestina ni lazima ipewe Statehood kwasababu wamezaliwa pale na hawana mahali pa kwenda zaidi ya pale.
Wayahudi nao wakae pale,
Kwasababu hawana mahali pengine kwenda.
Wakienda Ulaya watu wanatamani kuwaua kabisa.
Hivyo tunaweza kurudi kwenye msimamo wa two State Solution with Jerusalem as a neutral sacred city for both states.
NB: One State Solution haiwezekani mpaka hapa tulipofika. Hakuna anayekubali kushuka.
Got you,
kila mmoja ana claim ni holy city kwa imani yake. UN walishaliona hili pia ndiyi maana hawataki kinachoitwa one state.
Mambo yalivurugika pale mmoja alipopewa mmalaka ya kumpiga mwenzake yeye akalie pa mwenzake[bible].
[emoji125] [emoji125]
Kama lengo Ni Kuwafikia Watanzania Bass Itumike Lugha Asili Ya KitanzaniaTufanyeje ili tuweze kuwa na mijadala au mabandiko yenye uzito kwa jamii ya JF ??
(Hasa kule IF na JI, tutumie lugha ya malkia labda, au tuandike kwa lugha ya kiswahili au njia yoyote ile ili kuwafikia watanzania kwa kiasi kikubwa)
RC Olesendeka mbona anamsakama Mwenyekiti Mh Magufuli hivyo? Tena kwa rugha yao ya kimasai...nini kinaendelea ndani ya chama?Wasalaam ndugu zangu,
Heri ya mwaka mpya 2018.
Binafsi nashukuru kudra za Mwenyezi Mungu kunifanya niuone huu mwaka mpya.
Dhumuni la kuanzisha uzi huu ni kutaka tufahamiane zaidi, tukosoane na turekebishane ili mwaka huu wa 2018 tulifanye jukwaa hili liende sawia kwa michango mbali mbali ambayo tutakiwa tunatoa.
Binafsi mimi naipenda sana JF,
Hili ni tanuli za fikra na natumaini mchango wetu ni mkubwa sana katika jamii ya Tanzania hata kama Serikali, vyombo vya habari na mashirika ya mbali mbali hawaukubali huu ukweli.
Humu ndani tunaishi kama ndugu,
Tunakosoana, tunasifiana, tunakashifiana na hata kutukanana lakini mwisho wa siku UKWELI UTABAKI kwamba KILA MWANA CHAMA ANAMHITAJI MWENZAKE, haijalishi ni tajiri, maskini, msomi au mtu ambaye hajasoma.
Binafsi naishukuru sana JF na wanachama wote. Mimi kama mwanachama nitaendelea kuipenda sana JF na ntazidi kuchangia kwasababu natumai kwa hichi kidogo nilicho nacho naweza kuwagusa watu wawili watatu ndani ya jamii yetu.......
NB1: Baada ya kusema haya yote naruhusu maswali na maoni mbalimbali kuhusu MALCOM LUMUMBA pamoja na maandishi yake humu ndani ya Jukwaa hasa hasa kule SIASANI, JAMII INTELLIGENCE na INTERNATIONAL FORUMS.....
Pia wale wenye madukuduku au kero naomba waseme hapa ili niwaombe msamaha na tuanze huu mwaka vizuri..........
NB2: Unaweza kuuliza swali lolote lile kuhusu MALCOM LUMUMBA lakini naomba lisilenge kumkashifu mtu yeyote yule.
Natanguliza shukrani zangu......
Young Malcom........
CC: Consigliere, cognition, hearly, MSEZA MKULU, mngony, ze kokuyo, espy, Dragoon, Baazigar, RRONDO, Victor wa happy, Red Giant, Da'Vinci , Tobinho, mtembea kwa miguu, born again pagan, God Heals, FisadiKuu, UncleBen, Quinine Mwitu, Complex
Teh teh teh teh,RC Olesendeka mbona anamsakama Mwenyekiti Mh Magufuli hivyo? Tena kwa rugha yao ya kimasai...nini kinaendelea ndani ya chama?
Mkuu kuna clip nimeshindwa kuattach hapa ameongea vibaya kuhusu Mwenyekiti...clip imesambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii.Teh teh teh teh,
Mimi sifahamu kabisa mkuu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pamoja mkuu wangu ntajitahidi kutafsiri kwa kadiri ya uwezo wangu.Kama lengo Ni Kuwafikia Watanzania Bass Itumike Lugha Asili Ya Kitanzania
Kama kweli amemkashifu Mwenyekiti basi hatua stahiki za kinidhamu zitafuatwa ndani ya chama chake.Mkuu kuna clip nimeshindwa kuattach hapa ameongea vibaya kuhusu Mwenyekiti...clip imesambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii.
Sasa najiuliza Magu kamkosea nini jamani huyu, shukrani ya punda ni mateke sio...
Ufafanuzi murua Mkuu! Good night MalcomKama kweli amemkashifu Mwenyekiti basi hatua stahiki za kinidhamu zitafuatwa ndani ya chama chake.
NB 1:Kikubwa zaidi ni kwamba kama haridhiki na utendaji wa serikali yake basi aachie ngazi kwa wengine ambao wanaweza kwendana na matakwa ya chama chake.
Kutokukubaliana na mwenyekiti au kiongozi huwa inatokea sana na siyo mara ya kwanza.
Lakini kiutawala, kama wewe ni kiongozi ndani ya Serikali ni lazima ujue kwamba maamuzi ya Baraza au Serikali ni ya kwenu wote kama viongozi.
Ukitaka usihusishwe na hayo maamuzi basi achilia madaraka ubakie kuwa mwanachama wa kawaida ili tubaki na kumbukumbu kwamba wewe ulikosea tu.
NB 2: Miaka ya nyuma Mzee Kingunge alipishana na chama chake katika mambo fulani wakati akaamua kuachilia madaraka.
Ikithibitika kafanya hivyo basi,
Itakuwa siyo uungwana kiutawala.....
Ndiyo mimi mkuu.Malcom Lumumba, wew ndie The emperor? Kama ndie kuna ulazima gani wa kutumia ID mbili?
Alamsik Mkuu Nali.Ufafanuzi murua Mkuu! Good night Malcom