Hakuna guarantee ya kuwa Obama atapita next time? Itategemea na utendaji wake.
Sasa, kwa nini mtu ambaye anaelewa wazi kuwa binafsi hachagulikiki kwenye vinyang'anyiro vya uraisi, ajaribu kuwazuia wengine wasijaribu bahati zao?
- Robert Kennedy alimchalenge Lyndon Johnson 1968
- Ronald Regan alimchalenge Gerald Ford 1976
- Edward Kennedy alimchalenge Jimmy Carter 1980
Demokrasia ya sasa haiangalii cha utamdaduni ambao umetufelisha.
Huo utamaduni unaousemea usingekuwa umeishiwa nguvu kutokana na mazingira ya kiuchumi na kisiasa, Mzee Malecela asingekuwa na haja ya kutembezea watu mkwara.
- Labda ungeongelea utamaduni wa upinzani tu mkuu, maana ni kwa maneno yako kwamba utamaduni wa CCM haukuhusu, sasa why waste time na utamaduni usiokuhusu tena wa CCM na wala sio taifa? Bwa! ha! ha! ah!
- Utamaduni wa CCM haukuhusu basi ongelea unaokuhusu, yaani utamaduni wa Upinzani, au?
FMES!
Mkuu FMES,
Sasa kama waTanzania hata wale walio na elimu ndogo kuliko Mzee Malecela wameyaona hayo lakini Mzee anatuambia kuwa anayewajibika nayo amefanya kazi nzuri, unataka huu tuuiteje;
- Hali ya umeme kuwa mbaya haya sio mawazo yangu ni facts
- Elimu, Afya, Barabara n.k. kurudi nyuma au kutosonga mbele ipasavyo sio mawazo yangu ni facts
- Mafisadi kutokushughulikiwa sio mawazo yangu hizo ni facts
a. Ujanja
b. Unafiki
c. Upunguwani
Hizi ni sifa za matendo ya mtu na sio name calling. Mzee Malecela alichotufanyia ni UNAFIKI.
Mkuu FMES,
Sasa kama waTanzania hata wale walio na elimu ndogo kuliko Mzee Malecela wameyaona hayo lakini Mzee anatuambia kuwa anayewajibika nayo amefanya kazi nzuri, unataka huu tuuiteje;
- Hali ya umeme kuwa mbaya haya sio mawazo yangu ni facts
- Elimu, Afya, Barabara n.k. kurudi nyuma au kutosonga mbele ipasavyo sio mawazo yangu ni facts
- Mafisadi kutokushughulikiwa sio mawazo yangu hizo ni facts
a. Ujanja
b. Unafiki
c. Upunguwani
Hizi ni sifa za matendo ya mtu na sio name calling. Mzee Malecela alichotufanyia ni UNAFIKI.
Hakuna guarantee ya kuwa Obama atapita next time? Itategemea na utendaji wake.
Sasa, kwa nini mtu ambaye anaelewa wazi kuwa binafsi hachagulikiki kwenye vinyang'anyiro vya uraisi, ajaribu kuwazuia wengine wasijaribu bahati zao?
- Robert Kennedy alimchalenge Lyndon Johnson 1968
- Ronald Regan alimchalenge Gerald Ford 1976
- Edward Kennedy alimchalenge Jimmy Carter 1980
Demokrasia ya sasa haiangalii cha utamdaduni ambao umetufelisha.
Huo utamaduni unaousemea usingekuwa umeishiwa nguvu kutokana na mazingira ya kiuchumi na kisiasa, Mzee Malecela asingekuwa na haja ya kutembezea watu mkwara.
hawa wazee hawajapitwa na wakati kiivyo, ila sometime kauli zao zinatupigisha butwaa. kwa lugha nyingine alitumia press conference kama jukwaa la kampeni za siasa? (CCM) Pia bado hofu yangu iko palepale. mbona tunaubariki umaskini? "CCM ni chama cha maskini"
.............-JK alikubali ushauri wa Melecela kumgeuka Lowassa na kumtapeli. Awali walikubaliana aandike barua ya kujiuzuru lakini sisikubaliwe. Kwa ushauri wa Malecela, JK akaikubali......
Utamaduni wa CCM kama wanataka kuufanya basi waufanye ndani ya chama chao si kuufanya kwa nchi nzima na kuwaathiri Watanzania milioni 36 ambao si wanachama wa CCM (Hata hao milioni 4 tulioambiwa na Chiligati nina wasi wasi nao maana wengi wao si wanachama hai kwa miaka mingi tu kutokana na kutoridhika na mwenendo ndani ya chama cha mafisadi. Hawa jamaa naona wamejisahau kupita kiasi na kudhani chochote watakachosema hata kama hakina kichwa wala miguu kitakubalika na Watanzania. Hawana chochote kizuri cha kusema kuhusu utendaji wa Kikwete ambacho kinastahili kumrudisha tena madarakani kati ya 2010 2015, bali ni utamaduni wao ndani ya chama
Ndiyo maana nasema CCM imefilisika kisiasa wanataka kuiburuza nchi bila kujali maslahi ya nchi kwao wao ni bora liende tu mradi yuko Kikwete basi aachiwe tu aendelee kuvurunda hadi 2015 ili kukidhi utamaduni uliopo ndani ya CCM wa kuachiana Urais kwa miaka 10 bila bughudha yoyote hata kama unavurunda namna gani!!! Tukiundekeza huu utamaduni ambao hauweki mbele maslahi ya nchi bali ya akina Kikwete na CCM kuachaiana kukaa madarakani kwa vipindi viwili basi nchi itazidi kuangamia. Kweli CCM imeshika utamu!!! Kigumu cha cha mafis.....Kigumu!!!!!
Mkuu FMES,
Sasa kama waTanzania hata wale walio na elimu ndogo kuliko Mzee Malecela wameyaona hayo lakini Mzee anatuambia kuwa anayewajibika nayo amefanya kazi nzuri, unataka huu tuuiteje;
- Hali ya umeme kuwa mbaya haya sio mawazo yangu ni facts
- Elimu, Afya, Barabara n.k. kurudi nyuma au kutosonga mbele ipasavyo sio mawazo yangu ni facts
- Mafisadi kutokushughulikiwa sio mawazo yangu hizo ni facts
a. Ujanja
b. Unafiki
c. Upunguwani
Hizi ni sifa za matendo ya mtu na sio name calling. Mzee Malecela alichotufanyia ni UNAFIKI.
.huyu mzee hana nguvu kivile ndani ya chama kama alivyokuwa nyerere.yeye atulie tu kama maji ya mtungi,aache wanamume kina shibuda wafanye mambo.
- I like the hana nguvu part, ila tu ni kwamba bila Malecela hata Shibuda anajua kua angekua amefukuzwa CCM na Mkapa siku nyingi sana, hata sasa anajua kuwemo kwake CCM ni nguvu ya Malecela, lakini still bado ninaipenda hiyo fact yako kwamba hana nguvu tena ndani ya CCM, lakini zipo thread karibu 10 hapa JF kati ya jana na juzi that is wasup! Bwa! ha! ha! ha! ha!
- Naona hoja zimesiha sas ngoja tupumzike.
FMES!
thread kitu gani bwana hata zikiwa 1000 hazitamfanya malecela kuwa kama nyerere ndani ya ccm.mbona kuna ma threads kibao hapa ya mafisadi?huyu mzee mkapa tu alimdhibiti,tena baada ya kummwaga 2005 alimwambia kabisa kama hataki atoke..
- Lakini akabaki na sasa kimgeuka kilio cha damu kwako Bwa! ha
! ha! ha!
Hawa kweli wamefilisika kisiasa. Hawana lolote la kuongea kuhusu ni kipi alichofanya Kikwete kama Rais wa Tanzania ambacho kinastahili kumpa tena nafasi ya kupewa tena awamu nyingine. Wamekalia kutoa kauli ya 'utamaduni wetu' tu!!!!! 🙁 Huu utamaduni wa ndani ya CCM hausaidii nchi yetu hasa pale Rais aliyekuwa madarakani anaonyesha dhahiri kwamba hana uwezo wa kuiongoza nchi. Utamaduni huu umepitwa na wakati na kuna kila sababu ya kuupiga vita kwa nguvu zetu zote.
Utamaduni wa CCM kama wanataka kuufanya basi waufanye ndani ya chama chao si kuufanya kwa nchi nzima na kuwaathiri Watanzania milioni 36 ambao si wanachama wa CCM (Hata hao milioni 4 tulioambiwa na Chiligati nina wasi wasi nao maana wengi wao si wanachama hai kwa miaka mingi tu kutokana na kutoridhika na mwenendo ndani ya chama cha mafisadi. Hawa jamaa naona wamejisahau kupita kiasi na kudhani chochote watakachosema hata kama hakina kichwa wala miguu kitakubalika na Watanzania. Hawana chochote kizuri cha kusema kuhusu utendaji wa Kikwete ambacho kinastahili kumrudisha tena madarakani kati ya 2010 2015, bali ni utamaduni wao ndani ya chama
Ndiyo maana nasema CCM imefilisika kisiasa wanataka kuiburuza nchi bila kujali maslahi ya nchi kwao wao ni bora liende tu mradi yuko Kikwete basi aachiwe tu aendelee kuvurunda hadi 2015 ili kukidhi utamaduni uliopo ndani ya CCM wa kuachiana Urais kwa miaka 10 bila bughudha yoyote hata kama unavurunda namna gani!!! Tukiundekeza huu utamaduni ambao hauweki mbele maslahi ya nchi bali ya akina Kikwete na CCM kuachaiana kukaa madarakani kwa vipindi viwili basi nchi itazidi kuangamia. Kweli CCM imeshika utamu!!! Kigumu cha cha mafis.....Kigumu!!!!!
Kama vile unafahamu jamaa ni chama gani. Huyu rais mchovu siyo wa sisiemu tu ni wa taifa lote la wadanganyika na unafahamu vema hilo. kusema huo utaratibu haumhusu ni kuonyesha tabia ya ki-chama cha mafisadi (CCM) kitu ambacho naamini uko juu yake maana kwenye thread ya "malechela avunja ukimya"
ulitonya kuwa ungependa dr silaha awe rais, swali hapa ni wewe sisiemu mambo ya chadema yanakuhusu vipi?