Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,711
- 220
watu wako tiyari kumng'oa kikwete ndio maana wanataka isiende kamati kuu
wajumbe wa nec wakipewa nafasi ya kupiga kura watampa mtu mwingine tu na ndio maana wapambe wa JK (malecela na chilagati) wanawakatisha watu tamaa na wanajua ni wakina nani kwa ajili kampeni zi shaanza
wajumbe wa nec wakipewa nafasi ya kupiga kura watampa mtu mwingine tu na ndio maana wapambe wa JK (malecela na chilagati) wanawakatisha watu tamaa na wanajua ni wakina nani kwa ajili kampeni zi shaanza