Malecela avunja ukimya!

- Incredible! wagombea ubunge wawili wakipelekana kwenye sheria kwa sababu mmoja haridhiki na ushindi wa mwingine, ni wajibu wa mahakama kutangaza rasmi kwamba legally mmojawao ndiye mbunge anayetambuliwa rasmi.

William

Lakini mahakama haimtamki kuwa "huyu mwingine ndiye mbunge illegal rasmi"

Exactly my point, kuwa mbunge ndiko kuwa mbunge legal, otherwise utatuletea habari za "Daraja la Salender Bridge" na "Barabara ya Kawawa Road" .Lugha na mi concept ya Westminster hii jamani, kama vipi tukubali kujifunza.
 

Nimekuelewa hapa Malecela,kweli sheria zetu zina utata na bado zinahitaji marekebisho na ndio maana kuna shida sana kwenye utafsiri.
Malecela alikuwa anashiriki shughuli za bunge wakati alikuwa si mbunge bali waziri...Na wakati huo si lazima uwe mbunge ili uwe waziri. Ila kuingia bungeni kama mbunge ni lazima uwe legally elected member of parliament...Inaweza kumake sense,ni suala gumu,ngoja tusikilize maoni zaidi.
 
kama Malecela amekuwa mbunge legally kuanzia 1975, kabla ya hapo alikuwa mbunge illegally?

- Legally, ameanza kupewa legal rights za ubunge kuanzia mwaka 1975, aliposhinda ubunge, kabla ya hapo alikuwa akishiriki bungeni lakini hakuwa na legal rights kama za wabunge waliochaguliwa kisheria,

- Sasa fill in the blank kabla ya hapo alikuwa legal au illegally mbunge help me na wengine wengi hapa badala ya kukimbilia gotcha politics!

William.
 
Invisible nasria audio hiyo naona 30 minute zimepita haujaweka
 
Hapa ndiyo hamna kitu kabisa.

Malecela aliingia bungeni legally baada ya kuchaguliwa na wananchi(1975) kabla ya hapo alikuwa pia akiingia bungeni,lakini hakuna aliesema kuwa ilikuwa "Illegal" Yeye kuingia bungeni,soma maoni ya wenzako kwa makini Kiranga na usome between lines,Malecela alishakuuliza kuwa neno "Illegal" umelitoa wapi?
 
Ingawa alikuwa waziri wa nje na anaingia bungeni, how do you call that sijui, lakini hakuwa mbunge, na hakuwahi kuitwa mbunge period, mpaka aliposhinda legally mwaka 1975.

-Waziri anayeingia bungeni bila kuwa mbunge, kama member wa cabinet, katika cabinet inayoruhusu mtu asiye mbunge kuwa waziri, si mbunge, legally or illegally

- mpaka aliposhinda legally 1975, kuna kwingine alishinda illegally?

Kama hakuchaguliwa wala kuteuliwa kuwa mbunge kabla ya 1975 basi hakuwa mbunge, so there is no sense kusema alikuwa mbunge legally 1975 kwa sababu hakuwahi kuwa mbunge illegally kabla, this is a misnomer and confusing misrepresentation that could lead a reasoning man to conclude that Malecela must have acquired a parliament seat illegally prior to 1975.
 
1
.Kiranga:
Lakini mahakama haimtamki kuwa "huyu mwingine ndiye mbunge illegal rasmi"

- then inatamka nini kuhusu mbunge aliyeshindwa?

2.
Exactly my point, kuwa mbunge ndiko kuwa mbunge legal, otherwise utatuletea habari za "Daraja la Salender Bridge" na "Barabara ya Kawawa Road" .Lugha na mi concept ya Westminster hii jamani, kama vipi tukubali kujifunza.

- Hakuna uhusiano wowote na hoja ya msingi ya mbunge ambaye anatambulika legally, asiyetambulika anaitwa nini tusaidie hapo mkuu ili tusipoteze muda! au kubali na wewe umepitiwa, umesahau, au hujui!



William.
 

kwa hiyo kabla ya 1975 Malecela alikuwa anaingia bungeni legally au illegally?

Kama legally kwa nini useme Malecela alianza kuingia bungeni legally 1975?

Kama illegally kwa misingi ipi?
 
W.J.Malecela nina swali, kama nilivyoelewa,wakati huo(before 1975) Dk Malecela alikuwa akiingia bungeni akiwa waziri,je bado alikuwa akibeba title ya ubunge? Ama ni ya uwaziri tu?
 


W. J. Malecela,

Kwanza nashukuru kwa baadhi ya mawazo yako.

Unaponijibu kwa kusema mimi nime "claim kuwa msomi mwenye kuona mbali kielimu" ni aina za mijadala inayoweza kupelekea kuchafuka kwa hali ya hewa na kuvunjika kwa amani. Si vizuri.

Sijawahi kusema mimi ni msomi kwa sababu mimi si msomi.

Pia mimi sijakuchezea "gotcha games," ila nimesema si vibaya ukidaiwa umakini wa kauli. Unaanza makaripio!

Quick background ambayo utakuwa huna, utanisamehe kama unayo kwa kuwepo hapa kivingine kama vile kufuatilia jamvi bila kuwa member, background yetu mojawapo hapa ni kwamba tuna tatizo kubwa la majadiliano kuanza vizuri na kuishia mrama, vurugu na hata abuse. Moja ya vyanzo vya tatizo ni kuwaka tunaposahihishwa.

Wewe ni damu mpya hapa, au nisema, umeonyesha kuja na damu mpya, hivyo tusaidie kwenye suluhishi.

Natanguliza shukurani.
 
kwa hiyo kabla ya 1975 Malecela alikuwa anaingia bungeni legally au illegally?

Kama legally kwa nini useme Malecela alianza kuingia bungeni legally 1975?

Kama illegally kwa misingi ipi?
Na ndio maana nasubiri Malecela ajibu hilo swali langu la mwisho,kwasababu kama alikuwa akiingia bungeni kama mbunge na wakati huo sheria ya wabunge wa kuteuliwa haipo then ni diffrent issue,at the same time,ilikuwa si lazima kuwa mbunge kabla hujawa waziri kabla ya mwaka 1990,so mjadala huu unaendelea ili kuweza kujua sheria ilitafsiriwa kivipi.
 
Amesha recruit WILLIAM JOHN MALECELLA ambaye ni member mpya hapa sasa😀
 
1

- then inatamka nini kuhusu mbunge aliyeshindwa?

Huyo siyo mbunge, kwishne, haimtamki kwamba huyu si mbunge legally, kwa sababu mbunge ndiye mbunge legally.Ukisema "Huyu si mbunge legally" unaweza kutafsiriwa kwamba kuna process, condition au position ya kuwa "mbunge illegally"

2.

- Hakuna uhusiano wowote na hoja ya msingi ya mbunge ambaye anatambulika legally, asiyetambulika anaitwa nini tusaidie hapo mkuu ili tusipoteze muda! au kubali na wewe umepitiwa, umesahau, au hujui!



William.

Asiyetambulika huyo si mbunge, aweza kuwa mjumbe wa nyumba kumi au mwananchi wa kawaida au ana cheo kingine, lakini si mbunge, huwezi kusema "huyu si mbunge legally" kwa sababu ukisema hivyo una imply kuna process au condition ya kuwa "mbunge illegally"

Hatuna "Pretenders" kama waliokuwa katika British throne when it comes to wabunge bongo.
 
Kwa mara nyingine tena mkuu William, ni kweli unajiandaa kugombea ubunge 2010?
 
Last edited:
1.
Kiranga;-Waziri anayeingia bungeni bila kuwa mbunge, kama member wa cabinet, katika cabinet inayoruhusu mtu asiye mbunge kuwa waziri, si mbunge, legally or illegally

- Sawa sawa tupo pamoja hapa.

- mpaka aliposhinda legally 1975, kuna kwingine alishinda illegally?

- Acha ku-distort what I said, nimesema alianza kuwa mbunge legally mwaka 1975, ndipo alipoanza kupewa rights zote za ubunge na kuitwa mbunge lakini not before that, sasa tusaidie what was he before that?


- Hamna uhusiano wowote na hoja ya msingi, ila ahsante kwa elimu ya bure, my conclusion ni kwamba hata na wewe huna clue kama mimi on what was DK. Malecela kabla ya kuchaguliwa kuwa mbunge 1975, na legally kuwa mbunge.

Ahsante Mkuu na great debate, pia I am looking forward na mijadala mingine mbele ya safari.

William.
 

Kuhani,

It is exactly this kind of not only imprecise buffoonery and intolerably presumptuous chicanery, but also concocted cavalier callousness and lack of clear thought process which leads to reading what was not written and saying god only knows what that I find nauseating to the point of driving my intellectual intestines to rise in an uproar of what I can only decribe as organic vomit.

Comprehenison comprehension comprehension muhimu.

Mtu akisema mimi sijioni kama msomi, mtu mwingine ana m quote kwamba amesema yeye ni msomi!
 
W.J.Malecela nina swali, kama nilivyoelewa,wakati huo(before 1975) Dk Malecela alikuwa akiingia bungeni akiwa waziri,je bado alikuwa akibeba title ya ubunge? Ama ni ya uwaziri tu?

- Alikuwa na title ya uwaziri tu, ya ubunge alianza kuwa nayo from 1975, sasa nisaidieni kabla ya 1975 alikuwa what pamoja na kwamba alikuwa akiingia bungeni kama waziri, lakini hapewi haki za ubunge mpaka 1975 aliposhinda ubunge?

William.
 
Kiranga...La msingi ni kwamba Dk Malecela hakuwa mbunge kwa miaka 40 licha ya kwamba inawezekana aliingia bungeni kwa miaka inayokaribiana na hiyo. Hivyo miaka aliyoingia bungeni bila kujali kama ni mbunge ama ala,minus hiyo miaka aliyokuwa mbunge halali wa kuchaguliwa na wananchi then utapata jibu.
 

- Hillarious!



william.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…