Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
- Incredible! wagombea ubunge wawili wakipelekana kwenye sheria kwa sababu mmoja haridhiki na ushindi wa mwingine, ni wajibu wa mahakama kutangaza rasmi kwamba legally mmojawao ndiye mbunge anayetambuliwa rasmi.
William
Lakini mahakama haimtamki kuwa "huyu mwingine ndiye mbunge illegal rasmi"
Exactly my point, kuwa mbunge ndiko kuwa mbunge legal, otherwise utatuletea habari za "Daraja la Salender Bridge" na "Barabara ya Kawawa Road" .Lugha na mi concept ya Westminster hii jamani, kama vipi tukubali kujifunza.