Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
Naomba nimuulize swali Baba Mkubwa Mzee Malecela,
Je kuzuia Wagombea binafsi wasio na chama nako si kukiuka Demokrasia au ni ruksa kwa Demokrasia kuamua ni lazima fulani awe katika Chama fulani ili agombee Udiwani, Ubunge au Urais?
Je kuzuia Wagombea binafsi wasio na chama nako si kukiuka Demokrasia au ni ruksa kwa Demokrasia kuamua ni lazima fulani awe katika Chama fulani ili agombee Udiwani, Ubunge au Urais?