Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

Kimweri,
Unaweza ukawa unasema sawa kabisa, kwa upeo wa Tanzania. Tanzania option hazipo. Ukitaka kazi nzuri na inayolipa basi lazima aidha uhonge au uwe na bahati (hasa kwa miaka hii). Sasa hivi hamna kabisa wito na profesion, watu wanaangalia wapi kunalipa. Tanzania private sector ni infant, ukilinganisha na wenzetu unaweza kusema kwetu hapa private sector ni negligible haipo. Tanzania kuna upper class, na middle class sijui ipo wapi.

Mwajiri mkuu ni serikali, sasa hiyo mifano yako inaweza kuwa relevant, lakini uelewe kuwa tuko million 40; who deserves a good paid job?? Assume kuwa wote tunaqualify! Kwa hiyo tusihalalishe ati kwa kuwa mtu ni mzee basi anyimwe kazi, au tu-limit asitumie uwezo wake.
.

Mkuu una boa sana na pengine ndiyo maana umeambia upeo wako ni mdogo.
Kupata kazi siku hizi ni ushindani mkubwa dunian kote na katika ushindani wowote ule, usipokuwa na bahati ni kazi bure na hiyo sio kwa Tanzania tu kama upeo wako ulipoishia.

Sasa unachoandika ni pumba tu na hatukuelewi zaidi ya kujichanganya mwenyewe.
 
Wewe humjui FMES? anamjua kila mtu, kuanzia Kuhani, Fundi Mchundo mpaka Bluray.

Jamaa anakaa chini na kukupachika personality ya mtu yeyote anayemuota, then anakuandikia a lengthy profile mpaka utacheka. Kashakuja na story kwamba Fundi alimkimbia kimada katika ajali ya gari, Kuhani kaonekana kwenye basement DC, halafu akajisahau, akarudia story hiyo hiyo kwa Bluray.

Huyo ndiye FMES, ana force personality yoyote anayotaka.

Halafu haya mambo ya kuandika vitu personally identifiable ni against the rules hapa JF.
.

1.Mkuu Kiranja.
Yaani nimecheka sana.Tangu mwanzo niki argue naye,ananifananisha sijui na kizee gani cha kinyakyusa huko US.Nimemwambia mimi ata huko US sijafika,lakini wapi.

2.Nimejaribu kumkatalia kuwa mimi sio mzee na baado mwezangu kafika na sielewi kwanini anifananishe na hicho kizee cha watu.

3.Mara nyingine ninajiuliza,sijui kilimkosea nini au kiliwahi kugombana na ndugu zake ata sipati jibu.

4.Sasa nimemuomba yaishe na anitafute kwenye PM ili nimwambie mimi ni nani,lakini yeye anaendelea na imani yake kuwa mimi ni mzee.heheh

5.Ndugu yangu FMES.
Mimi ni kijana.Tena kijana sana na tegemeo la nchi yangu hapo baadaye.Baado niko shule na hiyo phd baado sijafikia na sijawahi kuandika ata kitabu kimoja.

6.Ukitaka kushindani na mimi kwa lugha za kimjini utakuwa umeumia kwani ni sawasawa na kushindana na ukuta ambapo matokeo yake utaumia mwenyewe.

7.Tafadhali mwache huyo mzee wa kinyakyusa na kama uliwahi kumsaidia,basi msaidie tu,bila kumsimanga au kumfananisha na watu.Kama wachangiaji walivyosema kuwa uzee unapoingia na Akili nazo zinatoweka ki aina.Kwa hiyo mshua wa Kinyakyusa anahitaji msaada na sio masimango.
 
.



4.Sasa nimemuomba yaishe na anitafute kwenye PM ili nimwambie mimi ni nani,lakini yeye anaendelea na imani yake kuwa mimi ni mzee.heheh

katika makosa utafanya na kujutia nafsi yako maisha yote ni kumwambia wewe ni nani. Hujui sababu ya watu kutumia majina bandia humu?
 
.

1.Mkuu Kiranja.
Yaani nimecheka sana.Tangu mwanzo niki argue naye,ananifananisha sijui na kizee gani cha kinyakyusa huko US.Nimemwambia mimi ata huko US sijafika,lakini wapi.

2.Nimejaribu kumkatalia kuwa mimi sio mzee na baado mwezangu kafika na sielewi kwanini anifananishe na hicho kizee cha watu.

3.Mara nyingine ninajiuliza,sijui kilimkosea nini au kiliwahi kugombana na ndugu zake ata sipati jibu.

4.Sasa nimemuomba yaishe na anitafute kwenye PM ili nimwambie mimi ni nani,lakini yeye anaendelea na imani yake kuwa mimi ni mzee.heheh

5.Ndugu yangu FMES.
Mimi ni kijana.Tena kijana sana na tegemeo la nchi yangu hapo baadaye.Baado niko shule na hiyo phd baado sijafikia na sijawahi kuandika ata kitabu kimoja.

6.Ukitaka kushindani na mimi kwa lugha za kimjini utakuwa umeumia kwani ni sawasawa na kushindana na ukuta ambapo matokeo yake utaumia mwenyewe.

7.Tafadhali mwache huyo mzee wa kinyakyusa na kama uliwahi kumsaidia,basi msaidie tu,bila kumsimanga au kumfananisha na watu.Kama wachangiaji walivyosema kuwa uzee unapoingia na Akili nazo zinatoweka ki aina.Kwa hiyo mshua wa Kinyakyusa anahitaji msaada na sio masimango.

- Samwel, ukifuatilia hii thread hakuna ulipotajwa wala kutuhumiwa, ila ni wewe mwenyewe ndiye uliyeamua kujitishwa responsibility unayodai sio yako, sasa hebu nenda uonyeshe mahali uliposemwa kwamba ni wewe |Samwel, vipi mkuu unajishuku sana? Bwa! ha! ha! inachekesha sana eti!

- By the way vipi tukirudi kwenye hoja ya mada? Can we? Vipi wewe ndiye haka kazee kamekuwa kakirusha sana matusi kule other blogs vipi?

Es!


-
 
Agreed.....and........thank you for atleast acknowledging this.......lets move on................wow.....now you are talking....and im with you on this......but don't forget the bucks again stops with us......how do we solve this problem..........i.e.........viongozi wasioelewa tatizo letu ni nini.......ilhali hata kwenye ballot box in a way hao viongozi tuliowachoka wanaenedelea kutughiribu?................NO.....sio kwamba wasomi hawaelewi.........labda wewe ndio huwaelewi.........wasomi wameainisha moja ya tatizo ambalo linahitaji ufumbuzi.....wanatolea ufumbuzi.........ambapo ume-acknowledge kama ifuatavyo......



....lets move on.......

- Off course, viongozi wetu siku zote ni reflection yetu, wananchi tusio na vision na viongozi pia, maana haiwezekani kukawepo wananchi wenye vision na bado tukaendelea kuchagua viongozi kama Serukamba, Rostam na kina Ndulu, reforms zinahitajika kwanza na sisi wananchi, and then ndio tutaweza kurekebisha taifa, hatuwezi kurekebisha taifa na hizi filimbi za kilevi.

- Bunge letu lina wabunge 80% vijana, lakini juzi tu it took mzee Malecela, kuusimamisha mswaada mbuzi wa Sophia Simba, kama sio Mzee Malecela kuukataa na kupigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza ule mswaada wa ajabu ungepitishwa, sasa hawa wabunge vijana walikuwa wapi? Mind you Sophia naye ni kijana tena alijinadi sana kwamba ni msomi, ndio ninasema hii dhana ya ujana na uzee katika uongozi wetu, bado hakuna enough facts za ku-conclude on anything, binafsi ninasema tunawahitaji sana baadhi ya wazee, ambao wanaweza kusimama kidete, wazee kama Quaresi, Butiku, Ulimwengu, na hawa kina Malecela, ama sivyo hili taifa litaishia kubaya zaidi kuliko lilipo sasa.

- Wasomi hawalazimishi hoja, na kudai eti wagombea binafsi ndio solution hivi Rais gani wa nchi yoyote duniani sasa na huko nyuma alikuwa mgombea binafsi? Hawa matajiri sasa hivi tayari wameshateka our political system imekua kama yao, sasa ukiwapa na luxury ya wagombea binafsi, ndio kabisaa tumekwisha hasa na hizi sheria tulizonazo, cha muhimu kwanza ni kurekebisha katiba, kwa sababu huwezi advance na katiba ya chama kimoja ndani ya siasa za vyama vingi, hata ukipewa ugombea binafsi ni wale wale wenye advantage na hii current political system ndio wataitumia kwa faida yao, it is about a rotten system sio majina ya watu wala viongozi kwa maoni yangu!

- Lakini ishu ya uzee na vijana, kwa mifano ya uongozi niliyokwisha iona sasa Tanzania, siamini kabisa kwamba ni ishu anyways sio siri ya siasa na uongozi yametushinda, sasa tusubiri generation ijayo sio hii wala vijana kina Serukamba, na Rostam, I mean na Karume naye si kijana, tazama anayoyafanya, poleni sana wakuu lakini demokrasia ni kukubali kutokubaliana sometimes, kwa kujali interest ya taifa kwanza!

- Sasa hapa chini masome Dr. Slaa anayeielewa vizuri sana siasa yetu:-

Tunaendelea na tutaendelea kudai, Katiba mpya, japo Serikali haitaki kusikia Kabisa jambo hilo. Lakini pia tubaki kulalamika kusubiri Katiba mpya ipatikane. Wakiendelea kukataa, tunaendelea na maandalizi ya kushinda na Katiba hiyo hiyo Mbaya. Serikali ya Mseto ni ngumu hadi Katiba mpya itakapopatikana.

Tuelimishe Watanzania tupate katika uchaguzi Mkuu, 2010 wapatikane Wabunge wengi, significant enough if not to win outright, to be able to effect major changes.
Hatua nyingine zote zinafia kwenye Ukumbi wa Bunge, au na kwenye Caucus ya Wabunge wa CCM. Kuna Hoja hazifiki hata kwenye ukumbi (iwapo haina maslahi kwao au inawaumiza kwa namna mmoja au nyingine).

Nakubali inauma unapopata kura nyingi za kutosha, na kura hizo zote kwa system ya " First Past the Post" zinaachwa kupotea bure.

Mfumo mzuri katika hali hiyo ingelikuwa full Proportional Representation (Tanzania tunatumia partial- kwa upande wa viti maalum-Wanawake).[/

Es!
 
katika makosa utafanya na kujutia nafsi yako maisha yote ni kumwambia wewe ni nani. Hujui sababu ya watu kutumia majina bandia humu?

- Too low kwa mimi kujibu, pole sana mkuu ila haya majambazi ya CCm kama unavyoyaita yamesaidia wengi sana hata wakimbizi wasio na kwao, ingawa huwa siku zote shukrani ni tatizo sana, haya majambazi ya CCM yametumia hela za taifa kusaidia wakimbizi badala ya kusomesha watoto wa walalahoi wananchi wa Tanzania, sasa ungetegemea kuwe na some respect japo kidogo!

- Sasa uamuzi ni wako kukata ishu na mimi au kwenda personal, I love it maana ni aibuu, you know better! usinilazimishe kwenda hiyo avenue ya kukujua, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu! lakini sina noma ukitaka! na ukitaka kujadili hoja anytime!

- Weekend hii kuna mkali mmoja amenitupia virus nzito sana na kuiua kabisa computer yangu, lakini soon nitarudi tena infull ndio maana ninapotea mkuu na huu mtandao wa kuazima kwa washikaji, otherwise niko na wewe na huu mjadala mpaka kieleweke!

Es!
 
-

- Sasa uamuzi ni wako kukata ishu na mimi au kwenda personal, I love it maana ni aibuu, you know better! usinilazimishe kwenda hiyo avenue ya kukujua, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu! lakini sina noma ukitaka! n

Es!

Sikujui zaidi ya kusoma maandishi yako humu unavyojua watu, dunia nzima!
Haya kanyaga twende, labda unanijua kweli.
 
Sikujui zaidi ya kusoma maandishi yako humu unavyojua watu, dunia nzima!
Haya kanyaga twende, labda unanijua kweli.

- Ukitaka kujuana na mimi ninakukaribisha, sasa mbona unabweka bweka tu vitu hamna, acha kupoteza muda wangu wewe kijana mdogo sana kama una ubavu jaribu basi ebo!! Nikujue wewe utanisaidia nini acha kubweka bweka weka vitu hapa tuvine!

- Otherwise, ninaendelea kukata ishus muhimu kwa masilahi ya taifa! Dogo acha kutisha tisha nyau, hapa ni real deal! mimi sio mkimbizi! wala mlowezi!

FMEs!
 
- Samwel, ukifuatilia hii thread hakuna ulipotajwa wala kutuhumiwa, ila ni wewe mwenyewe ndiye uliyeamua kujitishwa responsibility unayodai sio yako, sasa hebu nenda uonyeshe mahali uliposemwa kwamba ni wewe |Samwel, vipi mkuu unajishuku sana? Bwa! ha! ha! inachekesha sana eti!

- By the way vipi tukirudi kwenye hoja ya mada? Can we? Vipi wewe ndiye haka kazee kamekuwa kakirusha sana matusi kule other blogs vipi?

Es!


-
.

FMES,
Sawa Mkuu kama, sio mimi uliyekuwa una mwandika na kumwita mzee.
 
- Off course, viongozi wetu siku zote ni reflection yetu, wananchi tusio na vision na viongozi pia, maana haiwezekani kukawepo wananchi wenye vision na bado tukaendelea kuchagua viongozi kama Serukamba, Rostam na kina Ndulu, reforms zinahitajika kwanza na sisi wananchi, and then ndio tutaweza kurekebisha taifa, hatuwezi kurekebisha taifa na hizi filimbi za kilevi.

- Bunge letu lina wabunge 80% vijana, lakini juzi tu it took mzee Malecela, kuusimamisha mswaada mbuzi wa Sophia Simba, kama sio Mzee Malecela kuukataa na kupigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza ule mswaada wa ajabu ungepitishwa, sasa hawa wabunge vijana walikuwa wapi? Mind you Sophia naye ni kijana tena alijinadi sana kwamba ni msomi, ndio ninasema hii dhana ya ujana na uzee katika uongozi wetu, bado hakuna enough facts za ku-conclude on anything, binafsi ninasema tunawahitaji sana baadhi ya wazee, ambao wanaweza kusimama kidete, wazee kama Quaresi, Butiku, Ulimwengu, na hawa kina Malecela, ama sivyo hili taifa litaishia kubaya zaidi kuliko lilipo sasa.

- Wasomi hawalazimishi hoja, na kudai eti wagombea binafsi ndio solution hivi Rais gani wa nchi yoyote duniani sasa na huko nyuma alikuwa mgombea binafsi? Hawa matajiri sasa hivi tayari wameshateka our political system imekua kama yao, sasa ukiwapa na luxury ya wagombea binafsi, ndio kabisaa tumekwisha hasa na hizi sheria tulizonazo, cha muhimu kwanza ni kurekebisha katiba, kwa sababu huwezi advance na katiba ya chama kimoja ndani ya siasa za vyama vingi, hata ukipewa ugombea binafsi ni wale wale wenye advantage na hii current political system ndio wataitumia kwa faida yao, it is about a rotten system sio majina ya watu wala viongozi kwa maoni yangu!

- Lakini ishu ya uzee na vijana, kwa mifano ya uongozi niliyokwisha iona sasa Tanzania, siamini kabisa kwamba ni ishu anyways sio siri ya siasa na uongozi yametushinda, sasa tusubiri generation ijayo sio hii wala vijana kina Serukamba, na Rostam, I mean na Karume naye si kijana, tazama anayoyafanya, poleni sana wakuu lakini demokrasia ni kukubali kutokubaliana sometimes, kwa kujali interest ya taifa kwanza!

- Sasa hapa chini masome Dr. Slaa anayeielewa vizuri sana siasa yetu:-



Es!

unajua wewe una matatizo ya kuelewa........hivi kuna sehemu mimi nimesema natetea vijana against wazee au wazee against vijana?..........ninachokataa hapa siku zote si umri wa mtu ninalokataa ni umediocre wa viongozi tulio nao...........
...........Mzee Malecela kauli zake sio end of the world........zinajadilika na ndicho wanachofanya wanaJF hapa.........kuna ubaya hapo?

Kuhusu Mateo na Butiku hao nilishasema.......ni waste of time/Losers......i don't need to go into details..........just know they are big time LOSERS.........

Hakuna aliyelazimisha hoja hapa........hoja imejengwa.........na umei-acknowledege kama moja ya matatizo tuliyonayo.........na ninarudia........independent candidates sio muarobaini wa mamatizo yetu mengi tunayo-face......isipokuwa ni moja ya steps towards solving matatizo tuliyonayo i.e. demokrasia....sasa sijui kigumu hapo kuelewa kiko wapi........

Kudai katiba ni hoja tuliyokuwa kuwanyo tangu bcs, TEF Jambo na sasa JF bado inaendelea.......na hiyo pia ni moja ya ufumbuzi wa matatizo yetu.....watu CCM (majambazi) wakaja na hoja kuwa katiba haina shida na kama kuna shida basi izibwe viraka...........majambazi CCM wakaziba kiraka kwa kwenda bungeni kunyima haki za wagombea binafsi.......DAMN......kama wewe unaona hiyo ndio sawa..........mi nakuambia.........aluta continua.........mapambano yanaendelea...........

achilia mbali akina Serukamba na washikaji zako wengine..............mimi zangu huwa sichagui..........ukichemsha..........i'm free kuongea my mind na ninavyotaka...........na sio upuuzi wa kutaja taja majina........ukifikir ndio kujenga hoja.......kutaja taja/kurudia rudia majina sio ujengaji hoja........

Mimi sio mtu wa kusema ........'hold on fire"........oohh mara yaishe.........no way........i will defend my opinion unless convinced otherwise..........

NOTE: hatuwezi ku-solve matatizo yetu kwa kufunika kichwa huku mwili mzima uko exposed............
 
unajua wewe una matatizo ya kuelewa........hivi kuna sehemu mimi nimesema natetea vijana against wazee au wazee against vijana?..........ninachokataa hapa siku zote si umri wa mtu ninalokataa ni umediocre wa viongozi tulio nao...........

- Hapana ina maana basi wewe una matatizo ya kufikiri kabla ya kusema, kwa sababu kama kuna u-mediocre wa viongozi wetu ninasema unaanzia na sisi wananchi, sisi wananchi hatuwezi kuwa politically correct, halafu tukaishia kuchagua viongozi ambao ni politically mediocre, wananchi mediocre huishia kuchagua viongozi wale wale wanaofanana nao, yaani mediocre one does not need to be a scienticist ku-figure this out! na kutokuelewa hili ni kutokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri kwa any so called Great Thinker!

...........Mzee Malecela kauli zake sio end of the world........zinajadilika na ndicho wanachofanya wanaJF hapa.........kuna ubaya hapo?

- Irrelevant, hakuna aliyezuiwa wala kukatazwa kujadili na ndicho tunachojaribu kukifanya sasa hivi, unless kuna something I am missing hapo, au? Vipi umekatazwa au kuzuiwa kujadili?

Kuhusu Mateo na Butiku hao nilishasema.......ni waste of time/Losers......i don't need to go into details..........just know they are big time LOSERS.........

- Ni mtizamo wako, wa kwangu ni we are better off na Quaresi pamoja na Butiku, kuliko kina Ndulu na Serukamba, nothing is wrong na mitizamo tofauti looking at one ishu ndio demokrasia!

Hakuna aliyelazimisha hoja hapa........hoja imejengwa.........na umei-acknowledege kama moja ya matatizo tuliyonayo.........na ninarudia........independent candidates sio muarobaini wa mamatizo yetu mengi tunayo-face......isipokuwa ni moja ya steps towards solving matatizo tuliyonayo i.e. demokrasia....sasa sijui kigumu hapo kuelewa kiko wapi........

- Kwenye hili la wagombea binafsi, labda kaangalei tena ulipoanzia maana ume-pick up hoja hii toka kwa Reverend, na huu ni muendelezo, kama umeamua sasa kwamba wagombea binafsi sio solution ya matatizo yetu, hilo tuko pamoja sana I am down!

Kudai katiba ni hoja tuliyokuwa kuwanyo tangu bcs, TEF Jambo na sasa JF bado inaendelea.......na hiyo pia ni moja ya ufumbuzi wa matatizo yetu.....

- Sawa sawa, na hapa tupo pamoja sana!

watu CCM (majambazi) wakaja na hoja kuwa katiba haina shida na kama kuna shida basi izibwe viraka...........majambazi CCM wakaziba kiraka kwa kwenda bungeni kunyima haki za wagombea binafsi.......DAMN......kama wewe unaona hiyo ndio sawa..........mi nakuambia.........aluta continua.........mapambano yanaendelea...........

- Kuwaita CCM au chama chochote cha siasaTanzania kuwa ni majambazi siko na wewe on that, kwa sababu in the process ya kuwaita majina, mbele ya wenye akili hata na wewe the caller unaishia kujishusha hadhi, majambazi hawawezi kupewa madaraka na wananchi wasio majambazi, ndio maana ninasema inahitajika elimu kubwa sana ya siasa kwa sisi wananchi, maana wananchi walioelimika na wastaarabu hawawezi kuita chama kinachowatawala kwa kupigiwa kura this kind of names ni dalili za ufukara wa uelewa kama sio kufikiri!

- Again siamini kwamba wagombea huru ndio solution ya matatizo yetu ya uongozi na I could careless kama wanaruhusiwa ua hapana, lakini nina-support idea za kubadili katiba kwanza, kabla ya anything. Wagombea huru hawajawahi anywhere kufanya anything worthy zaidi tu ya kutumika na vyama vikubwa vya siasa katika kuwasaidia kushinda uchaguzi, juzi Scott Brown, ameshinda kiti cha Teddy Kennedy kwa sababu independents wamempigia kura kwa wingi sana mgombea wa Republican, Clinton akishinda urais 1992 kwa sababu Perot mgombea huru alikuwa anam-support hivyo wapiga kura wake walikuwa wanamsaidia Clinton, lakini sio wao as independent party maana they do not stand for anything wothy nationally, zaidi tu ya Global Warming stuff!

- Tanzania wagombea binafsi watatusaidia nini? Hiyo nafasi wataitoa wapi katikati ya CCM na huu Upinzani? Raia gani mwenye akili timamu atachagua Rais asiye na chama cha siasa? Ndio maana ninasema kwamba wasomi wasiwa-miss lead wananchi na hoja hewa ambazo zitaishia kuwakandamiza wananchi under makucha ya wajanja, tumeksoea sana katika kupendekeza priorities zetu nationally, sasa ufike wakati tutafakari kabla ya kukurupuka, maana watawala they are very good kuchukua advantage ya ishu hewa kama hizi za wagombea binafsi, ambazo tutaishia kuchagua matajiri ambao historia iko wazi huwa wanasimamia agenda zao za kulinda na kuendeleza utajiri wao, ndio maana wagombea binafsi karibu wote huko majuu huwa ni matajiri wa kutupwa, sijawahi kuona mgombea binafsi mwenye nafasi ya uongozi, aliye masikini au hata middle class, ndio maana ninasema hii dhana haina tija kwetu Tanzania, labda symbolically tu kwamba na sisi tumo maana tuna wagombea binafsi!


- Now huu ni msimamo wangu na wewe unaweza kwua na wako, inakubalika katika demokrasia!

achilia mbali akina Serukamba na washikaji zako wengine.

- Ambao ni washikaji zako pia, au?

.............mimi zangu huwa sichagui..........ukichemsha..........i'm free kuongea my mind na ninavyotaka...........na sio upuuzi wa kutaja taja majina........ukifikir ndio kujenga hoja.......kutaja taja/kurudia rudia majina sio ujengaji hoja........Mimi sio mtu wa kusema ........'hold on fire"........oohh mara yaishe.........no way........i will defend my opinion unless convinced otherwise..........

- Total nonsense, nimekwambia time and time again kwamba wewe una msimamo wako na mimi nina wa kwangu, sasa hakuna aliuyekukatza kujadili anything, sielewi hiki kilio unachokitoa sana maana unakwua kama kuna anayekulazimisha something usichotaka, no way hapa tunajadili kuchemsha na kutochemsha huonyeshwa kwa hoja sio kubweka bweka bila subtance as you have been doing, na hakuna aliyekuomba kuisha kwa anything unless you are dreaming ni wapi nimekuomba yaishe?

- Wewe una opinion na mimi ninazo ninazisema na sitishiki na hizi ngonjera, na wala hakuna aliyekutisha so far naona unajitisha mwenyewe, na yes kuita majina ya viongozi mediocre ni part ya kujenga hoja, maana inapendeza kuongea kwa mifano, ndio maana ninasema hivi vijana kina Serukamba, Ndulu, na Rostam ni bad idea kwa uongozi wa taifa, I have all the rights kusema hivyo, now what is your problem?

NOTE: hatuwezi ku-solve matatizo yetu kwa kufunika kichwa huku mwili mzima uko exposed............

- Hapana hatuwezi ku-solve matatizo yetu kwa kulilia none-ishus, badala ya kulilia real ishus, tunahitaji kulilia kujenga built in system katika political system yetu ambayo itawa-empower wananchi kuwa na nguvu za kisiasa kurekebisha anything under their system of national leadership, wananchi wa Carlifornia walipoona gavana hana uwezo wa kuongoza walijikusanya na kusaini petition ya kumuondoa madarakani yule gavana Davis, that is what we need sasa hivi Tanzania na huwezi kuwa na hili bila ya kubadilisha katiba.

- Katika siasa zetu Tanzania sioni popote pale palipozibwa kichwa, na ni ufinyu wa kuelewa unaoweza hata ku-suggest kwamba kuna somewhere katika political system yetu ambako kichwa kimezibwa, hapana kila kitu kiko wazi kwamba ni rotten na ni very corrupt, kwa hiyo hakuna kichwa kulichofunikwa wala kuzibwa, wananchi wanahitaji kuelimishwa kuhusu elimu ya siasa yao, sasa tatizo kubwa tulilonalo ni kwamba hata wachache wasomi wenye kuelewa kidogo nao pia wanaonekana kushindwa kutumia hicho kichahce kwa faida ya taifa, bdala yake imekwua ni makelele hewa tu, inasikitisha sana!

- Sasa nipo tena in-full, bring it on!

Es!
 
.

FMES,
Sawa Mkuu kama, sio mimi uliyekuwa una mwandika na kumwita mzee.

- Unajua mkuu ninarudia kwamba something is not very right, maana mbona umekazana sana na hala kazee ambako kwa maneno yako sio wewe? I mean halafu mbona kwa mara ya kwanza sasa unaongea kwa heshima sana vipi kuna nini huko mkuu?

- I mean mimi mwendo wangu ni ule ule mdundo, ninasema ninasonga mbele na whatever comes kwangu ni kujibu mapigo tu, tena anytime, anywhere huwa sichokozi ila huwa ninajibu mapigo tena kiroho mbaya sana! na note this, sikuzaliwa jana!

Wasalimie sana huko Mwanza kama ulivyosema mwenye last time mkuu, Bwa! ha! ha! na hasa watoto kina maduhu, au? Bwa! ha! ha! ha! I love it!


Es!
 
Kwa Tanzania, ukomo utasaidia. Tusijilinganishe na wazungu

- Ni lazima tujilinganishe na wazungu maana tunawaiga kila kitu na kila kizuri tulichonacho wametuletea wao au wametuambia wao,

- Ukomo wa uongozi bila uwezo wa kuongoza hauwezi kutusaidia anything, tuna viongozi wengi wasio na uwezo wa kuongoza, na wananchi wengi tusio na uelewa wa siasa ya taifa letu!


Es!
 
- Hapana ina maana basi wewe una matatizo ya kufikiri kabla ya kusema, kwa sababu kama kuna u-mediocre wa viongozi wetu ninasema unaanzia na sisi wananchi, sisi wananchi hatuwezi kuwa politically correct, halafu tukaishia kuchagua viongozi ambao ni politically mediocre, wananchi mediocre huishia kuchagua viongozi wale wale wanaofanana nao, yaani mediocre one does not need to be a scienticist ku-figure this out! na kutokuelewa hili ni kutokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri kwa any so called Great Thinker!



- Irrelevant, hakuna aliyezuiwa wala kukatazwa kujadili na ndicho tunachojaribu kukifanya sasa hivi, unless kuna something I am missing hapo, au? Vipi umekatazwa au kuzuiwa kujadili?



- Ni mtizamo wako, wa kwangu ni we are better off na Quaresi pamoja na Butiku, kuliko kina Ndulu na Serukamba, nothing is wrong na mitizamo tofauti looking at one ishu ndio demokrasia!



- Kwenye hili la wagombea binafsi, labda kaangalei tena ulipoanzia maana ume-pick up hoja hii toka kwa Reverend, na huu ni muendelezo, kama umeamua sasa kwamba wagombea binafsi sio solution ya matatizo yetu, hilo tuko pamoja sana I am down!



- Sawa sawa, na hapa tupo pamoja sana!



- Kuwaita CCM au chama chochote cha siasaTanzania kuwa ni majambazi siko na wewe on that, kwa sababu in the process ya kuwaita majina, mbele ya wenye akili hata na wewe the caller unaishia kujishusha hadhi, majambazi hawawezi kupewa madaraka na wananchi wasio majambazi, ndio maana ninasema inahitajika elimu kubwa sana ya siasa kwa sisi wananchi, maana wananchi walioelimika na wastaarabu hawawezi kuita chama kinachowatawala kwa kupigiwa kura this kind of names ni dalili za ufukara wa uelewa kama sio kufikiri!

- Again siamini kwamba wagombea huru ndio solution ya matatizo yetu ya uongozi na I could careless kama wanaruhusiwa ua hapana, lakini nina-support idea za kubadili katiba kwanza, kabla ya anything. Wagombea huru hawajawahi anywhere kufanya anything worthy zaidi tu ya kutumika na vyama vikubwa vya siasa katika kuwasaidia kushinda uchaguzi, juzi Scott Brown, ameshinda kiti cha Teddy Kennedy kwa sababu independents wamempigia kura kwa wingi sana mgombea wa Republican, Clinton akishinda urais 1992 kwa sababu Perot mgombea huru alikuwa anam-support hivyo wapiga kura wake walikuwa wanamsaidia Clinton, lakini sio wao as independent party maana they do not stand for anything wothy nationally, zaidi tu ya Global Warming stuff!

- Tanzania wagombea binafsi watatusaidia nini? Hiyo nafasi wataitoa wapi katikati ya CCM na huu Upinzani? Raia gani mwenye akili timamu atachagua Rais asiye na chama cha siasa? Ndio maana ninasema kwamba wasomi wasiwa-miss lead wananchi na hoja hewa ambazo zitaishia kuwakandamiza wananchi under makucha ya wajanja, tumeksoea sana katika kupendekeza priorities zetu nationally, sasa ufike wakati tutafakari kabla ya kukurupuka, maana watawala they are very good kuchukua advantage ya ishu hewa kama hizi za wagombea binafsi, ambazo tutaishia kuchagua matajiri ambao historia iko wazi huwa wanasimamia agenda zao za kulinda na kuendeleza utajiri wao, ndio maana wagombea binafsi karibu wote huko majuu huwa ni matajiri wa kutupwa, sijawahi kuona mgombea binafsi mwenye nafasi ya uongozi, aliye masikini au hata middle class, ndio maana ninasema hii dhana haina tija kwetu Tanzania, labda symbolically tu kwamba na sisi tumo maana tuna wagombea binafsi!

- Now huu ni msimamo wangu na wewe unaweza kwua na wako, inakubalika katika demokrasia!



- Ambao ni washikaji zako pia, au?



- Total nonsense, nimekwambia time and time again kwamba wewe una msimamo wako na mimi nina wa kwangu, sasa hakuna aliuyekukatza kujadili anything, sielewi hiki kilio unachokitoa sana maana unakwua kama kuna anayekulazimisha something usichotaka, no way hapa tunajadili kuchemsha na kutochemsha huonyeshwa kwa hoja sio kubweka bweka bila subtance as you have been doing, na hakuna aliyekuomba kuisha kwa anything unless you are dreaming ni wapi nimekuomba yaishe?

- Wewe una opinion na mimi ninazo ninazisema na sitishiki na hizi ngonjera, na wala hakuna aliyekutisha so far naona unajitisha mwenyewe, na yes kuita majina ya viongozi mediocre ni part ya kujenga hoja, maana inapendeza kuongea kwa mifano, ndio maana ninasema hivi vijana kina Serukamba, Ndulu, na Rostam ni bad idea kwa uongozi wa taifa, I have all the rights kusema hivyo, now what is your problem?



- Hapana hatuwezi ku-solve matatizo yetu kwa kulilia none-ishus, badala ya kulilia real ishus, tunahitaji kulilia kujenga built in system katika political system yetu ambayo itawa-empower wananchi kuwa na nguvu za kisiasa kurekebisha anything under their system of national leadership, wananchi wa Carlifornia walipoona gavana hana uwezo wa kuongoza walijikusanya na kusaini petition ya kumuondoa madarakani yule gavana Davis, that is what we need sasa hivi Tanzania na huwezi kuwa na hili bila ya kubadilisha katiba.

- Katika siasa zetu Tanzania sioni popote pale palipozibwa kichwa, na ni ufinyu wa kuelewa unaoweza hata ku-suggest kwamba kuna somewhere katika political system yetu ambako kichwa kimezibwa, hapana kila kitu kiko wazi kwamba ni rotten na ni very corrupt, kwa hiyo hakuna kichwa kulichofunikwa wala kuzibwa, wananchi wanahitaji kuelimishwa kuhusu elimu ya siasa yao, sasa tatizo kubwa tulilonalo ni kwamba hata wachache wasomi wenye kuelewa kidogo nao pia wanaonekana kushindwa kutumia hicho kichahce kwa faida ya taifa, bdala yake imekwua ni makelele hewa tu, inasikitisha sana!

- Sasa nipo tena in-full, bring it on!

Es!

inabidi ifike mahala ukubali tu kuwa chizi ni chizi maana hata hajui kile kitu anaandika wala kuongea...........na hizo hapo juu ni pure nonsense............endelea..............
 


- I love it acha hasira mkuu njoo tumkome nyani, Bwa! ha! ha ha! si tumekubaliana haogopwi mtu hapa wala hatishwi mtu, au? Ni afadhali kuwa chizi kuliko kuwa ubwabwa, au riziki ya akili, au?

Field Marshall Es!
 
- I love it acha hasira mkuu njoo tumkome nyani, Bwa! ha! ha ha! si tumekubaliana haogopwi mtu hapa wala hatishwi mtu, au? Ni afadhali kuwa chizi kuliko kuwa ubwabwa, au riziki ya akili, au?

Field Marshall Es!

..............hakuna hasira hapa wewe ni bwana mdogo sana............unajua mtu unajisema mwenyewe yale yaliyokufika.............labda kama umebadilika sasa/siku hivi/hizi.........unahitaji ushauri nasaha.....sijui unatoa picha gani kwa vijana wako...........ndio maana hata unanyooshea mikono wanaume................au?.....huruma tupu
 
Back
Top Bottom