Malegendi mnadili vipi na wanawake wanaowapa taarifa wapo siku zao baada ya kula ofa zenu

Malegendi mnadili vipi na wanawake wanaowapa taarifa wapo siku zao baada ya kula ofa zenu

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hii hali mnadeal nayo vipi malegendi.

Kashakula, kashakunywa, shopping, n.k. lakini umeomba game ndio anakupa taarifa kwamba yupo siku zake...

Mbaya zaidi time frame mliyonayo ni siku hizo ambazo atakua kwenye siku zake, hadi azimalize ni yeye au wewe utakuwa umeondoka,
 
images - 2022-04-10T150648.803.jpeg
 
Si tunapitaga mlango wa uwani[emoji41]🤏(jokes mkuu)

Achana nae kunywa si kanywa tu ataenda kunya we nenda utatunikiwa nyingine mbele Kwa mbele

Alafu sometimes hujui umeepuka nn mkuu
 
Baada ya kutoka nae town kumfanyia shopping ya hela yote nikamwambia lazima aje magetoni anioneshe kile alichopewa na mama(kipochi manyoya).

Akaanza kuniletea uswahili wa kipumbavu wakat huo mjuba nimeharbu bajeti yangu ya mwez mzima kumfanyia shopping dem asiye na shukran[emoji23].

Basi bwana, wakat tupo kwenye daladala tunarudi ili kila mtu aende kwake, mim kichwa kikawa kinawaka moto nikifikiri ni namna gani nitarudisha gharama zangu nilizotumia kumgharamikia huyo mwanamke asiye na shukran, yaani agome kuja mageton wakat keshavunja walleti yangu? Hapana kwakweli.

Wazo lililokuja akilini ilikuwa ni kuwasanua wahuni na kuwachoreshea ramani wamlie timing huyu mwanamke tapeli akiwa anaenda kwake, wamfanyie ambushi aporwe kila kitu cha thamani ikiwepo simu yake ya gharama ili namm nifidie hasara[emoji3][emoji16].

Basi bana deal likatiki nikawapanga wahuni kwenye simu nikiwatext, wamiliki njia zote anazotumiaga kupita yaani nikihakikisha huyu mjinga hachomoki mtegon labda apae angani, nako nitamdaka tu.

Maajabu wakati nashuka kwenye daladala baada ya kufika kituo nilichokuwa naenda, nae si akashuka kunifuata[emoji23][emoji23][emoji23] huku akisema ameghaili kwenda kwake hivyo atakuja aongozane namimi magetoni akacheze ndomboroo ya solo[emoji23][emoji23]hapo kimoyo moyo nikajisemea UMEPONA LEO LA SIVYO UNGEJUTA, maana mitego ilikuwa imeshatiki na wahuni walianza kunitext kuulizia windo lao lipo wapi wajiandae kwa kazi[emoji16][emoji23].

Bahat yake hata huko aliko, wanaume tujifunze kuwa na msimamo, hakuna kucheka na hawa wanawake matapeli, wanaogeuza mapenzi kuwa sehem ya kufanyia ujambazi wao na utapeli.mwaka huu tubadirike tuanze kuwatesa wao na sio wao kututesa sisi.
 
Hii hali mnadeal nayo vipi malegendi.

Kashakula, kashakunywa, shopping, n.k. lakini umeomba game ndio anakupa taarifa kwamba yupo siku zake...

Mbaya zaidi time frame mliyonayo ni siku hizo ambazo atakua kwenye siku zake, hadi azimalize ni yeye au wewe utakuwa umeondoka,
There is always next time.. No hurry kama ipo ipo tuu...!
 
Hii hali mnadeal nayo vipi malegendi.

Kashakula, kashakunywa, shopping, n.k. lakini umeomba game ndio anakupa taarifa kwamba yupo siku zake...

Mbaya zaidi time frame mliyonayo ni siku hizo ambazo atakua kwenye siku zake, hadi azimalize ni yeye au wewe utakuwa umeondoka,
Piga Ivo Ivo ,,, asikuzingue labda awe na papuchi mbooovu. Lakini Kuna wanawake Wana papuchi buana unakula ivo Ivo ,,,, hela inauma mwanangu.
 
Back
Top Bottom