Malema na Waafrika wengine wanaoonyesha chuki zao kwa mwendazake Malkia Elizabeth ni wavivu wa kufikiri

Malema na Waafrika wengine wanaoonyesha chuki zao kwa mwendazake Malkia Elizabeth ni wavivu wa kufikiri

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Ninaandika nikionyeshwa kusikitishwa sana na matamko yanayotolewa na watu mbalimbali hasa wanasiasa maarufu wa kiafrika kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth wa Uingereza. Julius Malema wa SA pamoja na watu wengine wameonyesha chuki zao kwa hoja za mambo ya ukoloni wa UK kwenye nchi za kiafrika.

Mimi naona ni sawa na kupoteza muda kwa sasa kuanza kumlaumu malkia kuhusu ukoloni wakati miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru bado Afrika haina maendeleo. Lazima tukubali kuna mambo mabaya yalishawahi kutokea na hatuna jinsi kuyaondoa kwenye historia yetu hivyo yatupasa kushikilia vizuri tulicho nacho mkononi na kusonga mbele. Muhimu tupambane tusiporudi tulipotoka.

Waafrika tukibaki kukumbatia mambo yaliyopita tutabaki hivi hivi kwa vizazi vingi vijavyo. Mbona India na nchi zingine za Asia zilitawaliwa ila wakakataa kubaki walivyokuwa na sasa hivi wana maendeleo karibia au hata kuwazidi wakoloni wao?

Kumchukia Mwendazake Malkia pamoja na mabeberu wenzake haina msaada wowote kwenye maendeleo yetu. Ni kujipa tu stress. Mabeberu walishakuwa na akili nyingi sana kitambo. Tujiulize wakati Mabeberu Mababu walipokuwa wanajenga Eiffel Tower Paris mwaka 1905 sisi mababu zetu walikuwa wanafanya nini?

Wakati mabeberu mwaka 1903 wanapambana kuunda ndege je sisi tulikuwa tunafanya nini? Wakati babu wa mabeberu Isak Newton anapambania mambo yake ya kisayansi je babu zetu walikuwa wanafanya nini? Kuna muda tukubali tu kuna mambo ilibidi yatokee ili sisi pia tupige hatua. Tusamehe na tu-move on.

Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati acheni upuuzi wa kupotosha umma ili kupata sifa za kisiasa. Mabeberu bado wana umuhimu mkubwa hata kama tunajifanya kuwapinga. Nendeni hapo Zimbabwe muone maisha magumu ya raia kwa ushenzi uliofanywa na mtu aitwae Mugabe. Halafu pia kwa mila zetu huu sio wakati wa kuonyeshana chuki.
 
MALEMA NA WAAFRIKA WANAOONYESHA CHUKI ZAO KWA MWENDAZAKE MALKIA ELIZABETH NI WAVIVU WA KUFIKIRI

Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi...
Ni africa tu bado inalalamika kunyonywa/kuibiwa na mkolon wakati mataifa mengine yaliyotawaliwa km sisi yalishasahau yakajipanga yakasonga
 
Kuacha historia na machungu ambayo mwafrika amepitia hasa katika utumwa na ukoloni bado waafrika wenyewe tuna matatizo ambayo chanzo kikuu ni sisi wenyewe kushindwa kwetu hasa kuwa na viongozi wicked, myopic and cupidity tunatoa lawama kwa watu sio kabisa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Namkabili bila wasi wala woga wewe mama samia2025 uliozungumza inadhihirisha dhahiri shahiri kuwa wewe na chama chako ni wapuuzi wasio na maono kabisa mnashusha bendera ya Taifa letu nusu mlingoti kumlilia bibi wa kikoloni mwafanya hayo KWA kihoro cha madeni mliyokopa na kujigeuza mbwa wa mwingereza . Kuna msiba uingereza sio hapa. ni kulitia aibu Taifa letu hatuna msiba Tanzania . Upuuzi mtupu
 
Kuacha historia na machungu ambayo mwafrika amepitia hasa katika utumwa na ukoloni bado waafrika wenyewe tuna matatizo ambayo chanzo kikuu ni sisi wenyewe kushindwa kwetu hasa kuwa na viongozi wicked, myopic and cupidity tunatoa lawama kwa watu sio kabisa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na hasa huyu mama samia. Uongozi wake ni wa hovyo uliojaa aibu.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Ninaandika nikionyeshwa kusikitishwa sana na matamko yanayotolewa na watu mbalimbali hasa wanasiasa maarufu wa kiafrika kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth wa Uingereza. Julius Malema wa SA pamoja na watu wengine wameonyesha chuki zao kwa hoja za mambo ya ukoloni wa UK kwenye nchi za kiafrika.

Mimi naona ni sawa na kupoteza muda kwa sasa kuanza kumlaumu malkia kuhusu ukoloni wakati miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru bado Afrika haina maendeleo. Lazima tukubali kuna mambo mabaya yalishawahi kutokea na hatuna jinsi kuyaondoa kwenye historia yetu hivyo yatupasa kushikilia vizuri tulicho nacho mkononi na kusonga mbele. Muhimu tupambane tusiporudi tulipotoka.

Waafrika tukibaki kukumbatia mambo yaliyopita tutabaki hivi hivi kwa vizazi vingi vijavyo. Mbona India na nchi zingine za Asia zilitawaliwa ila wakakataa kubaki walivyokuwa na sasa hivi wana maendeleo karibia au hata kuwazidi wakoloni wao?

Kumchukia Mwendazake Malkia pamoja na mabeberu wenzake haina msaada wowote kwenye maendeleo yetu. Ni kujipa tu stress. Mabeberu walishakuwa na akili nyingi sana kitambo. Tujiulize wakati Mabeberu Mababu walipokuwa wanajenga Eiffel Tower Paris mwaka 1905 sisi mababu zetu walikuwa wanafanya nini?

Wakati mabeberu mwaka 1903 wanapambana kuunda ndege je sisi tulikuwa tunafanya nini? Wakati babu wa mabeberu Isak Newton anapambania mambo yake ya kisayansi je babu zetu walikuwa wanafanya nini? Kuna muda tukubali tu kuna mambo ilibidi yatokee ili sisi pia tupige hatua. Tusamehe na tu-move on.

Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati acheni upuuzi wa kupotosha umma ili kupata sifa za kisiasa. Mabeberu bado wana umuhimu mkubwa hata kama tunajifanya kuwapinga. Nendeni hapo Zimbabwe muone maisha magumu ya raia kwa ushenzi uliofanywa na mtu aitwae Mugabe. Halafu pia kwa mila zetu huu sio wakati wa kuonyeshana chuki.
Tunaona nyendo zenu toka KWA Tonny brayour chama chenu kimeloose direction
 
Waafrica ni watu wa ovyo sana, Tunaendekeza chuki kuliko chengine chochote.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.

Ninaandika nikionyeshwa kusikitishwa sana na matamko yanayotolewa na watu mbalimbali hasa wanasiasa maarufu wa kiafrika kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth wa Uingereza. Julius Malema wa SA pamoja na watu wengine wameonyesha chuki zao kwa hoja za mambo ya ukoloni wa UK kwenye nchi za kiafrika.

Mimi naona ni sawa na kupoteza muda kwa sasa kuanza kumlaumu malkia kuhusu ukoloni wakati miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru bado Afrika haina maendeleo. Lazima tukubali kuna mambo mabaya yalishawahi kutokea na hatuna jinsi kuyaondoa kwenye historia yetu hivyo yatupasa kushikilia vizuri tulicho nacho mkononi na kusonga mbele. Muhimu tupambane tusiporudi tulipotoka.

Waafrika tukibaki kukumbatia mambo yaliyopita tutabaki hivi hivi kwa vizazi vingi vijavyo. Mbona India na nchi zingine za Asia zilitawaliwa ila wakakataa kubaki walivyokuwa na sasa hivi wana maendeleo karibia au hata kuwazidi wakoloni wao?

Kumchukia Mwendazake Malkia pamoja na mabeberu wenzake haina msaada wowote kwenye maendeleo yetu. Ni kujipa tu stress. Mabeberu walishakuwa na akili nyingi sana kitambo. Tujiulize wakati Mabeberu Mababu walipokuwa wanajenga Eiffel Tower Paris mwaka 1905 sisi mababu zetu walikuwa wanafanya nini?

Wakati mabeberu mwaka 1903 wanapambana kuunda ndege je sisi tulikuwa tunafanya nini? Wakati babu wa mabeberu Isak Newton anapambania mambo yake ya kisayansi je babu zetu walikuwa wanafanya nini? Kuna muda tukubali tu kuna mambo ilibidi yatokee ili sisi pia tupige hatua. Tusamehe na tu-move on.

Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati acheni upuuzi wa kupotosha umma ili kupata sifa za kisiasa. Mabeberu bado wana umuhimu mkubwa hata kama tunajifanya kuwapinga. Nendeni hapo Zimbabwe muone maisha magumu ya raia kwa ushenzi uliofanywa na mtu aitwae Mugabe. Halafu pia kwa mila zetu huu sio wakati wa kuonyeshana chuki.
Wewe ndio mvivu wa kufikiri huko UK kwenyewe kuna watu wanampinga na wamefurahia alivyokufa, wewe na li ngozi lako jeusi tii unajidai kujipendekeza!!Uliiona mechi ya UCL ya Celtic waliocheza yale mabango ya kufurahia?? Au mechi ya Shamrock Rovers walivyokua wakidhihaki huo msiba??? anyway Miafrika ndivyo tulivyo!!!
 
Back
Top Bottom