Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16] hiyo sio fan yangu mkuuSawa Mkuu.
Mungu akuongoze ila angalia usije ukacompasate pombe na chini itakuwa hatari zaidi.
mkuu naendelea kuishi nao lakini bar na maeneo ya kunywa pombe siendiKama umetangaza kuacha ni kazi labda ubadilishe kamapani yako uhame kabisa hata mkoaa
sababu?Sitakunywa soda ya aina yoyote wala enegry drink ya aina yeyote ile
KWENYE ENERGY DRINK NASHUKURU MOLA NIMEWEZA 100%Sitakunywa soda ya aina yoyote wala enegry drink ya aina yeyote ile
Nimmemwambia sio easyKama umetangaza kuacha ni kazi labda ubadilishe kamapani yako uhame kabisa hata mkoaa
Na wengi wanaswitch automatically kutoka kwa ulabu kwenda kulabua mbususu!Sawa Mkuu.
Mungu akuongoze ila angalia usije ukacompasate pombe na chini itakuwa hatari zaidi.
Ina wezekana mbona mimi nili acha, ila sigara ndo ina ni tesaHabari wakuu
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi,,, serengeti lite, konyagi, k vant black&white na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10... sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol!, mimi na maji, soda & juice
Nakuunga mkono Pombe sio nzuri...Habari wakuu
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi,,, serengeti lite, konyagi, k vant black&white na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10... sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol!, mimi na maji, soda & juice
Tanzania itajengwa na wazalendo wewe unapanga kuhujumu uchumi! Hiyo siyo sifa.Habari wakuu
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi,,, serengeti lite, konyagi, k vant black&white na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10... sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol!, mimi na maji, soda & juice
Karibu kwenye kuchanja..buku tano yako tu.pakti moja,big G zako,chipa ya maji,na maziwa fresh.. baada ya kazi..unajumuika na washkaji mpaka saa tatu-nne.. story kibao kucheck mpira,mwenye kuchart na simu sawa..ukimaliza zako unasukutua unapiga maziwa yako fresh unasepa home..kwenye vijiwe vya kuchanja hakuna kupeana round wala offer offer..niwewe namazaga yako ukimaliza unasepa zako.hakunaga ugomvi wala makelele wala mademu.Habari wakuu
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi,,, serengeti lite, konyagi, k vant black&white na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10... sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol!, mimi na maji, soda & juice