igembe2018
Member
- Mar 3, 2018
- 18
- 10
Wadau wote wa JF natumai ni wazima wa afya,
Binafsi kila mtu anayo malengo yake aliyojiwekea na muda wa kuyatimiza. Malengo yangu yametimia na sasa nahitaji mke ili kujenga familia imara yenye upendo wa dhati.
Wasifu wa mke
Awe mkristo na mcha mungu kweli kweli.
Awe mwenye mapenzi ya dhati na anayejua nini thamani ya ndoa
Awe kabila lolote sibagui
Awe anaishi Dsm na si vinginevyo
Awe na kazi halali inayomuingizia kipato.
Asiwe mrefu sana.
Kama ana mtoto basi awe mmoja tu.
Elimu yeyote maana mwanamke ana elimu pia ya kuzaliwa.
Awe tayari kufunga ndoa ili kuishi maisha ya kumpendeza mwenyezi Mungu.
Mimi binafsi nimeajiriwa na kampuni binafsi na shughuli zangu ziko hapa Dsm ndio maana sihitaji mtu kutoka nje ya Dsm.
Kwa yeyote atakayejipima na kuona ana sifa njoo PM tuyajenge.
Binafsi kila mtu anayo malengo yake aliyojiwekea na muda wa kuyatimiza. Malengo yangu yametimia na sasa nahitaji mke ili kujenga familia imara yenye upendo wa dhati.
Wasifu wa mke
Awe mkristo na mcha mungu kweli kweli.
Awe mwenye mapenzi ya dhati na anayejua nini thamani ya ndoa
Awe kabila lolote sibagui
Awe anaishi Dsm na si vinginevyo
Awe na kazi halali inayomuingizia kipato.
Asiwe mrefu sana.
Kama ana mtoto basi awe mmoja tu.
Elimu yeyote maana mwanamke ana elimu pia ya kuzaliwa.
Awe tayari kufunga ndoa ili kuishi maisha ya kumpendeza mwenyezi Mungu.
Mimi binafsi nimeajiriwa na kampuni binafsi na shughuli zangu ziko hapa Dsm ndio maana sihitaji mtu kutoka nje ya Dsm.
Kwa yeyote atakayejipima na kuona ana sifa njoo PM tuyajenge.