MICHAEL SON
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 458
- 536
Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI