Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiache pia kutuletea constant mrejesho na updates za hasara utakazokuwa ukipata: time wasted, money, relationships, job, God, health, purpose and your personal integrity & dignity!Malengo yangu nianze kubet 2021
You cannot solve problems by the same approach and mindset you used to create them in the first place. ~ Albert EinsteinNamba 2 linanitesa sana kila nikkualibu kuach a n a shndwa
Wewe jina lako tu limekutambulisha kuwa ni legend hapo namba 3 😂Mi ni no 2 pekee ndo inanitesa sana vingine vyote situmii ila kwa mwezi natumia elf 20 tu kwenye hilo suala
Thanks for your advice.Nothing is impossible with God. Jaribu kushughulikia withdrawal symptoms kwa kutumia mbadala harmless.
basi mkuu sitobeti nimeghairi.Usiache pia kutuletea constant mrejesho na updates za hasara utakazokuwa ukipata: time wasted, money, relationships, job, God, health, purpose and your personal integrity & dignity!
In this world, there people who are, as it were, especially designed to simply wake up, walk-on and work mutedly; expect almost an irrevocable poignancy every time they open up their seemingly innocent mouth to utter anything.Mi nakushauri usiache chochote hapo bali ufanye kwa kiasi. kila kimoja hapo kinakamilisha maisha. la utajikuta unajizuia kitu hadi ni kama unajiandaa kuishi tena baada kutoishi huku. anza kunywa kwa kias hasa kwako na uache kunywa kikampan vya leta kama tulivyo. pili fanya ngono kwa kias. kwamba mhusika amekuvutia na si tu ukojoe. tatu beti mpira tu.
Usikose kubet jackpots za 100 au 1000 na ujue utafidia wapi hicho kias kidogo kama kuhairisha bia 1 tu, au bet mechi 1 tu odd ya uhakika tia kamzigo kakubwa hutajuta sana hata kama utapata kidogo. ni biashara hiyo, ni utafutaji. ila kamwe usioe ili upate k ya uhakika, utaikinai. oa rafiki yako unayemwitaji nje ya kitandan. LIVE RESPONSIBLY! {Life has got only one formula, which t is; NO FORMULA}
Hivi umalaya unaachwa kirahisirahisi hivi?.....ucfanye hivo bana. Endelea kupiga mashine kiongozi aka kusukuma kizazi.Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jina lako tu limekutambulisha kuwa ni legend hapo namba 3 [emoji23]
NINA ACHA KABISAA ,,,, NIMEAMUAHuwezi kuacha.
Sheikh wangu Najitahidi niwe Stamalah wajadah!... Inshallah nitafanya kwa halali,,, 4 sunnah!..Usiache wanawake hyo NI Sunnah ya mitume..
Kumbuka hajaoa je zina ni suna?Usiache wanawake hyo NI Sunnah ya mitume..