Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Pombe niliacha 2016 October
Japo siku moja moja (occasionally labda mara 1 baada ya miezi kadhaa huwa napiga)

Umalaya dah......huu ni mtihani wangu mkubwa sana. Hapa nilipo kuna mwanamke keshanipanga xmass twende Moro.

Kuna mwingine keshaniambia anatoka Mwanza anakuja....anataka kunfirmation akasuke kabla ya Jumatano. Nawaza sana sijui niwe na nani kwa xmass?

Huyu aliyenipanga twende Moro ni chombo mpya nimetindua mara 1 tu.

Kubet sibet kabisaaa. Nina miaka zaidi ya 7 sijaweka mkeka. Nakumbuka mi nilikua nabet enzi hizo kwa USSD miaka ya 2013. Nikaachaga na sibet tena.

Nimepanga kuoa mwaka 2021. Huenda nikaacha umalaya. By the way kubarikia.

Mungu nisaidie.
Naona mnpanga, mnajipanga na kupangana tuuu, mnasahau Mungu pia anapanga. Hivi ukiamua kuacha huo umalaya leo kwani utakufa??? Jifunzeni kuwa na spidi-gavana. Dunia hadaa, ulimwengu shujaa.
 
Naona mnpanga, mnajipanga na kupangana tuuu, mnasahau Mungu pia anapanga. Hivi ukiamua kuacha huo umalaya leo kwani utakufa??? Jifunzeni kuwa na spidi-gavana. Dunia hadaa, ulimwengu shujaa.
Wewe acha kujifanya malaika hapa. Inawezekana huna demu ila una roho mbaya, dhaifu, mchoyo, una wivu, husda, chuki, mchawi, mshirikina...kutwa kucha kwa waganga, mwizi, mla rushwa kwa jirani na watu unaofanya nao kazi.

Sasa si bora mimi namkosea Mungu na namuomba samahani yeye peke yake. We unatakiwa ukawaombe samahani hao uliowakosea kwanza.
 
Wakuu salaam!

Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:

1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet

Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.

Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!

MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE

NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Uache na kula tigo a.k.a topenzi
 
Wewe acha kujifanya malaika hapa. Inawezekana huna demu ila una roho mbaya, dhaifu, mchoyo, una wivu, husda, chuki, mchawi, mshirikina...kutwa kucha kwa waganga, mwizi, mla rushwa kwa jirani na watu unaofanya nao kazi.

Sasa si bora mimi namkosea Mungu na namuomba samahani yeye peke yake. We unatakiwa ukawaombe samahani hao uliowakosea kwanza.
Sina hakika kama kuna ushirikiano linganifu kati ya vidole vyako vinavyoandika hizi sintofahamu zako pamoja na mfumo wako mkuu wa uchakataji taarifa. Hebu fikiria tena kama binadamu na wala siyo virtual member aliyejificha kwenye fake ID. Aliyeleta usemi wa "Wekeni akiba ya maneno maana kuna maisha baada ya…" aliona mbali sana.
 
HATUA SABA ZA KUACHA KUVUTA SIGARA.
1. Elewa kwamba kuvuta sigara ni dhambi dhidi ya mwili wako na Mungu wako.
"Basi ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana." (Rumi 12:1).
"Wala ninyi si mali yenu wenyewe; Maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu." (1 Kor 6:19,20).
2. Kiri kwamba wewe ni mdhaifu na huwezi kuacha mwenyewe. Inawezekana umetafuta msaada kwa miaka mingi kama yule mwanamke aliyekuwa "akitokwa damu", au kama yule mtu aliyekuwa kando ya Birika la Bethzatha kwa miaka 38, inawezekana umehangaika sana ukijaribu kuacha kuvuta sigara (soma Yohana 5:5-8). Kubali kwamba wewe ni dhaifu. Kiri kwamba huwezi kufanikiwa wewe mwenyewe. "Pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lo lote." (Yohana 15:5).
3. Amini kwamba japokuwa u mdhaifu, Yeye ana nguvu. Japokuwa huwezi, yeye ana uweza wote. Tunapoamua kuweka makusudi yetu dhaifu, yenye kusitasita chini ya makusudi yake yenye uweza wote, uwezo wote uliomo ulimwenguni utakuwa wetu (Flp. 4:13; 1 Yoh. 5:14,15).
4. Jitoe kwa Mungu pamoja na sigara zako zote ( Yos. 24:15; 2 Kor. 6:2).
5. Amini kwamba, sasa ushindi ni wako, kisha mshukuru Mungu sasa hivi kwa kukupa ushindi dhidi ya kuvuta sigara (1 Kor. 15:57; Mt. 7:7; 1 Yoh. 5:4). Unaweza kuwa na hamu ya sigara, kama matokeo ya athari za nikotini iliyobaki katika mfumo wa chembe chembe za mwili wako. Lakini si lazima uvute. Kuvuta ni suala la uamuzi. Kuna tofauti kati ya hamu na ushindi. Ushindi ni wako kwa njia ya imani katika Yesu Kristo.
6. Haribu sigara zako zote. Zitupe. Usibakize hata kidogo mahali ulipo. Jitoe kwa Mungu na umpinge Shetani (Yak. 4:7,8).
7. Amini kwamba sasa ushindi ni wako. Kudumisha ushindi huo, mshukuru Mungu kwa ajili ya ushindi huo! Msifu kwa kuwa umekombolewa, kisha fuata kanuni zilizoorodheshwa hapa chini ili kuiondoa nikotini mwilini mwako.
  • Unapokuwa na hamu ya kuvuta sigara, vuta pumzi taratibu kwa kina hadi hamu inapokwisha.
  • Kunywa bilauri 10 hadi 12 za maji kila siku kwa siku tano mfululizo.
  • Pumzika kwenye maji ya uvuguvugu katika bafu kabla ya kulala.
  • Panga kulala kwa saa zisiyopungua nane kila siku.
  • Epuka kutumia kahawa na pombe.
  • Fanya mazoezi ya kutembea kwa dakika 30 mara mbili kila siku.
Endelea kumsifu Mungu kwamba uweza wake ni mkubwa kuliko sigara (1 Yohana 4:4).
Nimekuletea mada hii muhimu ya kushinda kuvuta sigara mada nyingine ya pombe nenda fb ingia kwa majina Sospeter Magobo utajifunza mada nyingi zilizomo humo.
Mungu Akubariki wewe na wengine wote wanaotaka kushinda kutoka kwenye uraibu wa sigara, pombe, umalaya na kubet.
 
HATUA SABA ZA KUACHA KUVUTA SIGARA.
1. Elewa kwamba kuvuta sigara ni dhambi dhidi ya mwili wako na Mungu wako.
"Basi ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana." (Rumi 12:1).
"Wala ninyi si mali yenu wenyewe; Maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu." (1 Kor 6:19,20).
2. Kiri kwamba wewe ni mdhaifu na huwezi kuacha mwenyewe. Inawezekana umetafuta msaada kwa miaka mingi kama yule mwanamke aliyekuwa "akitokwa damu", au kama yule mtu aliyekuwa kando ya Birika la Bethzatha kwa miaka 38, inawezekana umehangaika sana ukijaribu kuacha kuvuta sigara (soma Yohana 5:5-8). Kubali kwamba wewe ni dhaifu. Kiri kwamba huwezi kufanikiwa wewe mwenyewe. "Pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lo lote." (Yohana 15:5).
3. Amini kwamba japokuwa u mdhaifu, Yeye ana nguvu. Japokuwa huwezi, yeye ana uweza wote. Tunapoamua kuweka makusudi yetu dhaifu, yenye kusitasita chini ya makusudi yake yenye uweza wote, uwezo wote uliomo ulimwenguni utakuwa wetu (Flp. 4:13; 1 Yoh. 5:14,15).
4. Jitoe kwa Mungu pamoja na sigara zako zote ( Yos. 24:15; 2 Kor. 6:2).
5. Amini kwamba, sasa ushindi ni wako, kisha mshukuru Mungu sasa hivi kwa kukupa ushindi dhidi ya kuvuta sigara (1 Kor. 15:57; Mt. 7:7; 1 Yoh. 5:4). Unaweza kuwa na hamu ya sigara, kama matokeo ya athari za nikotini iliyobaki katika mfumo wa chembe chembe za mwili wako. Lakini si lazima uvute. Kuvuta ni suala la uamuzi. Kuna tofauti kati ya hamu na ushindi. Ushindi ni wako kwa njia ya imani katika Yesu Kristo.
6. Haribu sigara zako zote. Zitupe. Usibakize hata kidogo mahali ulipo. Jitoe kwa Mungu na umpinge Shetani (Yak. 4:7,8).
7. Amini kwamba sasa ushindi ni wako. Kudumisha ushindi huo, mshukuru Mungu kwa ajili ya ushindi huo! Msifu kwa kuwa umekombolewa, kisha fuata kanuni zilizoorodheshwa hapa chini ili kuiondoa nikotini mwilini mwako.
  • Unapokuwa na hamu ya kuvuta sigara, vuta pumzi taratibu kwa kina hadi hamu inapokwisha.
  • Kunywa bilauri 10 hadi 12 za maji kila siku kwa siku tano mfululizo.
  • Pumzika kwenye maji ya uvuguvugu katika bafu kabla ya kulala.
  • Panga kulala kwa saa zisiyopungua nane kila siku.
  • Epuka kutumia kahawa na pombe.
  • Fanya mazoezi ya kutembea kwa dakika 30 mara mbili kila siku.
Endelea kumsifu Mungu kwamba uweza wake ni mkubwa kuliko sigara (1 Yohana 4:4).
Nimekuletea mada hii muhimu ya kushinda kuvuta sigara mada nyingine ya pombe nenda fb ingia kwa majina Sospeter Magobo utajifunza mada nyingi zilizomo humo.
Mungu Akubariki wewe na wengine wote wanaotaka kushinda kutoka kwenye uraibu wa sigara, pombe, umalaya na kubet.
cc: MICHAEL SON
 
Hii nayo ni shida,nina wanawake 6,na 3 ni wake za atu ambao ndani hawapati dyudyu vzr.Mikuno yangu imewachanganya
Mkuu sio kwamba nakutisha ila komaa na hao 3 hao wengine wake za watu potezea ni Sumu,matokeo yake ni "kifo,kuumizwa vibaya,kupakwa mafuta na magonjwa ya hovyo"kama huwamini endelea nao!!!
 
Pombe niliacha 2016 October
Japo siku moja moja (occasionally labda mara 1 baada ya miezi kadhaa huwa napiga)

Umalaya dah......huu ni mtihani wangu mkubwa sana. Hapa nilipo kuna mwanamke keshanipanga xmass twende Moro.

Kuna mwingine keshaniambia anatoka Mwanza anakuja....anataka kunfirmation akasuke kabla ya Jumatano. Nawaza sana sijui niwe na nani kwa xmass?

Huyu aliyenipanga twende Moro ni chombo mpya nimetindua mara 1 tu.

Kubet sibet kabisaaa. Nina miaka zaidi ya 7 sijaweka mkeka. Nakumbuka mi nilikua nabet enzi hizo kwa USSD miaka ya 2013. Nikaachaga na sibet tena.

Nimepanga kuoa mwaka 2021. Huenda nikaacha umalaya. By the way kubarikia.

Mungu nisaidie.
Hongera mkuu una pisi ushaziandaa msimu huu wa sikukuu moja ipange wiki la xmass nyingie mwaka mpya.
 
Naona mnpanga, mnajipanga na kupangana tuuu, mnasahau Mungu pia anapanga. Hivi ukiamua kuacha huo umalaya leo kwani utakufa??? Jifunzeni kuwa na spidi-gavana. Dunia hadaa, ulimwengu shujaa.
Acha Mkuu ale vinono unaweza kuta mmoja hapo akawa ndio shemeji yetu akamsogeza ndoani.
 
Mkuu sio kwamba nakutisha ila komaa na hao 3 hao wengine wake za watu potezea ni Sumu,matokeo yake ni "kifo,kuumizwa vibaya,kupakwa mafuta na magonjwa ya hovyo"kama huwamini endelea nao!!!
Hakuna ushauri mzuri hapo. The moment mwanaume akishavuka mpaka na kukwea beyond mke mmoja ajiandae kukabili countless, needless contingencies. Halafu, cha ajabu, usikute mshauri yuko peace & kiroho safi innocent bachelor au happily married, sasa mwendo kuwaharibia wengine. Ningekuona wa maana ungemshauri hiyo mipesa inayoning'inia bila kazi ya maana ikatumike kuwasaidia yatima na wahitaji ambao mostly wamefikishwa hapo kwa utekelezwaji wa ushauri bubu kama huu.
 
Hakuna ushauri mzuri hapo. The moment mwanaume akishavuka mpaka na kukwea beyond mke mmoja ajiandae kukabili countless, needless contingencies. Usikute mashauri yuko peace & kiroho safi, sasa mwendo kuwaharibia wengine. Ningekuona wa maana ungemshauri hiyo mipesa inayoning'inia bila kazi ya maana ikatumike kuwasaidia yatima na wahitaji ambao mostly wamefikishwa hapo kwa utekelezwaji wa ushauri kama huu.
Uko sahihi nimekupata mkuu.
 
Mkuu mengine yote acha ila kubeti sikushauri uache,labda sema hujui kubeti ndo maana unapoteza pesa,kubeti ni kazi kama kazi zingine,
IMG-20201210-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom