PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Nimekupata Mkuu.ila kijijini tena kuna tutoto tuko mjini tunawaka hapa kama vinaogea maji ya kilimanjaro only.Ushago ni Sheng(Kenya slang) means Rural aka Kijijini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupata Mkuu.ila kijijini tena kuna tutoto tuko mjini tunawaka hapa kama vinaogea maji ya kilimanjaro only.Ushago ni Sheng(Kenya slang) means Rural aka Kijijini.
Asee umetema yai apo nime elewa neno You tu apo. Au umetutukana [emoji16]Kwa malengo haya makini ujue malaika wa nuru Paradiso wanapongezana na kushangilia kwa machozi ya furaha kwa kuongeza idadi ya raia wa Ufalme. But, resolutions are just as strong as nothing kama hakuna corresponding, intelligent action steps on a daily basis. Lastly, to every action there is an equal and opposite reaction.
You have simply declared a terrible war against the forces of darkness, the chief of which is the Devil & Satan himself -- the most wicked, gullible & the bitterest of all formidable foes. This is to say the journey upwards will never be easy for you, but fortunately God has promised abundant and constant grace and power to carry you through to the very end triumphantly.
Unagonga wa buku 2?Mi ni no 2 pekee ndo inanitesa sana vingine vyote situmii ila kwa mwezi natumia elf 20 tu kwenye hilo suala
Kweli kijijini kuna vichenchede vikali.Nimekupata Mkuu.ila kijijini tena kuna tutoto tuko mjini tunawaka hapa kama vinaogea maji ya kilimanjaro only.
Kuna kuacha na kuachw na pombe, usipokunywa kwa sababu huna hela hapo jua pombe ndiyo imekuachaSema usawa umebana sio unaacha
Thubutuukioa unaweza kuacha vyote.
Una mipango mizuri ambayo itakutoa hapo ulipo na kukupeleka hatua nyingi sana mbele.Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Mkuu umesema ukweli mtupu. Hongera na asanteMi nakushauri usiache chochote hapo bali ufanye kwa kiasi. kila kimoja hapo kinakamilisha maisha. la utajikuta unajizuia kitu hadi ni kama unajiandaa kuishi tena baada kutoishi huku. anza kunywa kwa kias hasa kwako na uache kunywa kikampan vya leta kama tulivyo. pili fanya ngono kwa kias. kwamba mhusika amekuvutia na si tu ukojoe. tatu beti mpira tu.
Usikose kubet jackpots za 100 au 1000 na ujue utafidia wapi hicho kias kidogo kama kuhairisha bia 1 tu, au bet mechi 1 tu odd ya uhakika tia kamzigo kakubwa hutajuta sana hata kama utapata kidogo. ni biashara hiyo, ni utafutaji. ila kamwe usioe ili upate k ya uhakika, utaikinai. oa rafiki yako unayemwitaji nje ya kitandan. LIVE RESPONSIBLY! {Life has got only one formula, which t is; NO FORMULA}
Sema una pumzika. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Bush, lugha ya Kenya hiyoMkuu nifungue "ushagoo"ni nin??
Nakushauri usiache, ila punguza kwa asilimia 50, hapo kwenye 500k utabakiwa na chenji utafanya maendeleo mengine.Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
[emoji106]Bush, lugha ya Kenya hiyo
Ohoooo!!!!Watu wakiwa wamefulia wanakuwa na mawazo mazuri ngoja sasa warudi kwenye hali zao washike mahela yao watasahau kila kitu walichosema
[emoji23][emoji23]Chagua dhambi moja iwe kipaumbele chako na ufanye sana, maana unamjazia shetani mafaili mengi wakati dhambi nyingine unafanya kidogo.
Ha ha ha ha haha[emoji23][emoji1787][emoji1787]Watu wakiwa wamefulia wanakuwa na mawazo mazuri ngoja sasa warudi kwenye hali zao washike mahela yao watasahau kila kitu walichosema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] halafu kweli aseeKuna kuacha na kuachw na pombe, usipokunywa kwa sababu huna hela hapo jua pombe ndiyo imekuacha