Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Anza na kimoja kwanza,acha pombe ili urudi kwenye utimamu wa akili,baadae acha kubeti
 
Mimi binafsi swala la pombe kwakweli linanitesa sana, niko katika mchakato wa kupunguza iwe napiga Friday na Saturday tu
Find something better than pombe ili uwekeze nguvu yako.

It is rather worthwhile to make decisions right on time, even though hauko sure nazo 100%, kuliko kudelay hadi baadaye mbeleni kutafuta which is which and which way and how to go.
 
dunia ipo siku za mwisho

mtu anafany dhambi kubwa kubwa halaf anaingia mtandaoni (Jf) kujimwambafai
Shetani kamwe hajawaigi kuwa rafiki wa mwanadamu yeyote; atakupa incentives zote unazotaka wewe ili umefikishie mzigo wake anakotaka yeye. At the end of the day, ukimpa nafasi ndiyo hivyo tena. May God save those who are intelligent enough kiasi cha kutambua duniani ni mahali pa maandalizi tu kwa ajili ya maisha mengine endlessly happy & fulfilling. Iblisi asingependa kabisa watu wajue ama kuelewa ama kufanyia kazi wazo hilo.
 
Kwa malengo haya makini ujue malaika wa nuru Paradiso wanapongezana na kushangilia kwa machozi ya furaha kwa kuongeza idadi ya raia wa Ufalme. But, resolutions are just as strong as nothing kama hakuna corresponding, intelligent action steps on a daily basis.

Lastly, to every action there is an equal and opposite reaction. You have simply declared a terrible war against the forces of darkness, the worst of which is the Devil & Satan himself -- the most wicked, gullible & the bitterest of all formidable foes. This is to say the journey upwards will never be easy for you, but fortunately God has promised abundant and constant grace and power to carry you through to the very end triumphantly.
Mkuu nimependa jibu lako kwa huyu ndugu yetu,Nina swali dogo tuu,Nini tofauti ya devil na Satan? Mimi najuaga ni kitu hichohicho! Je ni sawa?
 
Kwa malengo haya makini ujue malaika wa nuru Paradiso wanapongezana na kushangilia kwa machozi ya furaha kwa kuongeza idadi ya raia wa Ufalme. But, resolutions are just as strong as nothing kama hakuna corresponding, intelligent action steps on a daily basis.

Lastly, to every action there is an equal and opposite reaction. You have simply declared a terrible war against the forces of darkness, the worst of which is the Devil & Satan himself -- the most wicked, gullible & the bitterest of all formidable foes. This is to say the journey upwards will never be easy for you, but fortunately God has promised abundant and constant grace and power to carry you through to the very end triumphantly.
Umesema vizuri sana mkuu kwenye hiyo paragraph ya pili,wengi wanapokiri kuacha dhambi huwa hawajui kua wametangaza vita na shetani,mwisho wa wengi ni kuishia njiani kwa kuona kuwa mbona hali zao zimekuwa mbaya zaidi kuliko za mwanzoni,ila kama umedhamiria kuwa uko tayari hata ikibidi kutoa uhai wako kwa ajili ya kutokurudi ulikokuwa,utashangaa mambo yanayokuwa rahisi kwako...
 
Shetani nae hapendezwi na mipango yako, Maana wafuasi wake watapungua. Atakuletea pisi kali zinazokunywa pombe badala ya kuacha pombe utaongezewa zaidi wanywaji na kampani kama hizo usingetangaza maana umetangaza vita na shetani.
😂😂 pisi kali zinazokunywa pombe na kupenda mpira
 
Sina hakika kama kuna ushirikiano linganifu kati ya vidole vyako vinavyoandika hizi sintofahamu zako pamoja na mfumo wako mkuu wa uchakataji taarifa. Hebu fikiria tena kama binadamu na wala siyo virtual member aliyejificha kwenye fake ID. Aliyeleta usemi wa "Wekeni akiba ya maneno maana kuna maisha baada ya…" aliona mbali sana.
Wacha mafumbo mtoto wa kiume. Go straight to the point. Kwanza usinihubirie.....hapa sio jukwaa la dini
 
Vyuma vimekaza na griss hakna lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
watu tunaangaika kwa matatizo tunayo yatengeneza wenyewe, mkuu unaeza acha hivyo vitu hata bila kuokoka
Wakuu salaam!

Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:

1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet

Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.

Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!

MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE

NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
 
Wakuu salaam!

Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:

1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet

Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.

Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!

MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE

NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
VP KWENYE CHAPUTAA HAUPO KWEL😅😅
 
Back
Top Bottom