Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
It dependsWatu wakiwa wamefulia wanakuwa na mawazo mazuri ngoja sasa warudi kwenye hali zao washike mahela yao watasahau kila kitu walichosema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It dependsWatu wakiwa wamefulia wanakuwa na mawazo mazuri ngoja sasa warudi kwenye hali zao washike mahela yao watasahau kila kitu walichosema
Find something better than pombe ili uwekeze nguvu yako.Mimi binafsi swala la pombe kwakweli linanitesa sana, niko katika mchakato wa kupunguza iwe napiga Friday na Saturday tu
Utimamu ndio ushamrudia hivyo mwenzio, ameua ndege watatu kwa fimbo moja. Kiroho safi.Anza na kimoja kwanza,acha pombe ili urudi kwenye utimamu wa akili,baadae acha kubeti
Namshukuru sana Mungu nimekuwa mshindi na nimeamini ukimtanguliza yeye hakuna kitu kitakachoshindikana kwake,maana ilifikia kipindi niliwaza nitafute dawa ya kuacha Pombe lakini jitihada zote ziligonga mwamba😂 lakini mbele Bwana wa Majeshi everything imekuwa poaHii ni poa sana
Shetani kamwe hajawaigi kuwa rafiki wa mwanadamu yeyote; atakupa incentives zote unazotaka wewe ili umefikishie mzigo wake anakotaka yeye. At the end of the day, ukimpa nafasi ndiyo hivyo tena. May God save those who are intelligent enough kiasi cha kutambua duniani ni mahali pa maandalizi tu kwa ajili ya maisha mengine endlessly happy & fulfilling. Iblisi asingependa kabisa watu wajue ama kuelewa ama kufanyia kazi wazo hilo.dunia ipo siku za mwisho
mtu anafany dhambi kubwa kubwa halaf anaingia mtandaoni (Jf) kujimwambafai
Mkuu nimependa jibu lako kwa huyu ndugu yetu,Nina swali dogo tuu,Nini tofauti ya devil na Satan? Mimi najuaga ni kitu hichohicho! Je ni sawa?Kwa malengo haya makini ujue malaika wa nuru Paradiso wanapongezana na kushangilia kwa machozi ya furaha kwa kuongeza idadi ya raia wa Ufalme. But, resolutions are just as strong as nothing kama hakuna corresponding, intelligent action steps on a daily basis.
Lastly, to every action there is an equal and opposite reaction. You have simply declared a terrible war against the forces of darkness, the worst of which is the Devil & Satan himself -- the most wicked, gullible & the bitterest of all formidable foes. This is to say the journey upwards will never be easy for you, but fortunately God has promised abundant and constant grace and power to carry you through to the very end triumphantly.
Umesema vizuri sana mkuu kwenye hiyo paragraph ya pili,wengi wanapokiri kuacha dhambi huwa hawajui kua wametangaza vita na shetani,mwisho wa wengi ni kuishia njiani kwa kuona kuwa mbona hali zao zimekuwa mbaya zaidi kuliko za mwanzoni,ila kama umedhamiria kuwa uko tayari hata ikibidi kutoa uhai wako kwa ajili ya kutokurudi ulikokuwa,utashangaa mambo yanayokuwa rahisi kwako...Kwa malengo haya makini ujue malaika wa nuru Paradiso wanapongezana na kushangilia kwa machozi ya furaha kwa kuongeza idadi ya raia wa Ufalme. But, resolutions are just as strong as nothing kama hakuna corresponding, intelligent action steps on a daily basis.
Lastly, to every action there is an equal and opposite reaction. You have simply declared a terrible war against the forces of darkness, the worst of which is the Devil & Satan himself -- the most wicked, gullible & the bitterest of all formidable foes. This is to say the journey upwards will never be easy for you, but fortunately God has promised abundant and constant grace and power to carry you through to the very end triumphantly.
😂😂 pisi kali zinazokunywa pombe na kupenda mpiraShetani nae hapendezwi na mipango yako, Maana wafuasi wake watapungua. Atakuletea pisi kali zinazokunywa pombe badala ya kuacha pombe utaongezewa zaidi wanywaji na kampani kama hizo usingetangaza maana umetangaza vita na shetani.
Umenipa wazo zuri sana. Shida huyu raia wa Mwanza akija atakaa mpaka mwaka mpya.Hongera mkuu una pisi ushaziandaa msimu huu wa sikukuu moja ipange wiki la xmass nyingie mwaka mpya.
Wacha mafumbo mtoto wa kiume. Go straight to the point. Kwanza usinihubirie.....hapa sio jukwaa la diniSina hakika kama kuna ushirikiano linganifu kati ya vidole vyako vinavyoandika hizi sintofahamu zako pamoja na mfumo wako mkuu wa uchakataji taarifa. Hebu fikiria tena kama binadamu na wala siyo virtual member aliyejificha kwenye fake ID. Aliyeleta usemi wa "Wekeni akiba ya maneno maana kuna maisha baada ya…" aliona mbali sana.
Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
VP KWENYE CHAPUTAA HAUPO KWEL😅😅Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Utakuwa unashinda kwenye gahawa kupiga domoNakusudia kuacha kama wewe lakini naona muda ambao nilikuwa natumia kunywa pombe, umalaya na kubet nitakuwa nafanya nini ili nisiviweke kwenye ratiba